Nadhani hawakuwa na timing nzuri. Hamuwezi kuendesha vikao vyenu kama vya sendoff wakati chama kubwa linaendesha vikao vyake. Walipaswa kusubiri kwanza mpaka CCM wamalize mchakato wao ndo na wao wajipangeHahaahahhhaha.... Ukawa wanatia huruma sana
Nasikia walikuwa wanaendelea na mkutano wao. Yaani kama watoto yatima vile
Inafurahisha kuona akina Nchimbi wakiimba CCM mbele kwa mbele
Kwani yeye ni mujumbe? Yaani yule mzee nina hasira naye sana. Alitaka kutuharibia chama chetuJamani hamjanionea mzee kingunge hapa ukumbini? Namtafuta simuoni wazee wote wa heshima WA nchi hii wapi high table yeye simuoni kajificha wapi?
Yupo ukumbini mkuu. Nimemuona kwa macho yanguNchimbi yupo ukumbini?asubuhi alichanganyikiwa
VOTE FOR UKAWA
Kanisa lina nguvu sana..Hamna namna tena inabidi uame nchi tu.
​Ili ukawa wapete kwa urahisi siyo?
Magufuli hawezi kuteuliwa mtarudi kesho kumeza maneno yenu
Dr slaa ukawa hata hawasikiki tena wamefunikwa na ccm! ccm wamesha chukua nchi hamna jinsi
Nadhani hawakuwa na timing nzuri. Hamuwezi kuendesha vikao vyenu kama vya sendoff wakati chama kubwa linaendesha vikao vyake. Walipaswa kusubiri kwanza mpaka CCM wamalize mchakato wao ndo na wao wajipange
Wazungu wanasema TO MUCH KNOWLEDGE IS DANGEROUS.... Raisi inabidi awe msikivu wa kusikiliza na kupokea maoni ya wananchi na viongozi wanamzunguka unapochagua kiongozi ambaye anaona ye anajua kila kitu kama magufuli ni jambo la kuogopa sana katika nchi ni vyema kuteua raisi tegemezi ambaye atakuwa msikivu katika nchi na kufanya maamuzi yake...
I am not 100% supporting magufuli kuwa raisi ila I am supporting women Mara mia awe raisi..Nina sababu mia za kupinga magufuli kuwa raisi
Hahaahahhhaha.... Ukawa wanatia huruma sana