Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

mbona ukumbini anashangiliwa saana

WATU WANAFAHAMU A~Z,KUHUSU LOWASSA KUONEWA NA KUSINGIZIWA UONGO,JIULIZE?
sisi tunaopiga mavuvuzela mitaanj NA hao wajumbe in Nani anayeufahamu ukweli????
 
Kuchagua ccm ni sawa na kuongozwa na kikwete tena 10 yearz watanzania tuamke...!!
 
Team ya Lowasa wanamuunga mkono mgombea yupi kati hao watatu?
 
Mbona pombeeee magufuli anaongea pointless kama anaomba kura za ubunge
Kinachohitajika hapo ni kuwashawishi wajumbe wamchague....

Mambo mengine yameshawekwa kwenye Ilani ya chama ambayo endapo atachaguliwa atatumwa kuinadi na baadae kuitekeleza akichaguliwa kuwa Rais....
 
thisi idiot is too naive ?mGufuli hawezi kuwa raisi kwa vile ana kiherehere huu ni uhuni, watz mtakuwa wapuuzi km ccm vivu inayodhani kwani kwamba kuwajibika ni sifay akutofautisha watu ziadi ya sifa ya kuingilia
 
niko nairobi naangalia speeches hizi kupitia clouds tv na ingawa sijui hawa wana siasa watatu vyema, walivyoongea Magufuli kesha shinda. Inakaa delegates wanamfahamu vyema na ana kipawa cha kuongea vyema
 
Kama wamemuweza akiwa CCM, wamshindwe akiwa ACT... teh teh teh teh!!!!!!! UKISIKIA YA WAJUMBE CHANGANYA NA ZAKO.:fish:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…