Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

kikwete mhuni kabisa..kaahirisha kikao mpaka kesho asubuhi
 
Sasa nani atalinda kura? Maana hawa jamaa kwa wizi wa kura na mizengwe hawajambo
 
Ndio sisiemu hiyo, kula bata tu. Kura 2500 zinahesabiwa usiku mzima! Haya mmeongezewa siku moja ya posho...
 
Wote hawakutegemea ... wameokota dhahabu njiani...tuna kazi kweli watanzania!
 
Hapa wamestuka timu lowasa inaweza mpiga chini magufuli, so wanataka kwenda kucheza na matokeo kwanza
 
Inategemea nini sasa km nina IQ kubwa na uzalendo mkubwa kuliko wewe kengde hata nikilewa nini kitakuongezea gray matter?

Inategemea, mwenye IQ kubwa si lazima kujisema, Watu wanakuona na kusema.

Kumbe IQ ni umahiri wa matusi, sikujua!!
 
Wanabodi leo nguvu ya Lowasa ndani ya CCM imejidhihirisha wazi na hii ni kutokana na wajumbe wanaomsapoti kuamua kupiga kura za bora tukose wote na hili likifanyika watamchagua mgombea mwanamke tena wa kutoka Zanzibar na hilo likifanikiwa tu Lowasa njia nyeupe Magogoni kwani kwa gharama alizotumia na ambazo anaendelea kutumia mpaka sasa na kama kweli ACT ni chama chake na kwa jinsi alivyotumia nafasi ya kutafuta wadhamini kujitangaza nchi nzima na kuona jinsi anavyokubalika je akigombea kupitia ACT au chama chochote huyo Mama ataweza kupambana na Mamvi? Kwa mnaoanglia mkutano wa CCM unaoendelea sasa hivi imedhihirisha wazi EL ni chaguo la wajumbe karibu wote wa mkutano huo kwani kila linapotajwa jina lake ukumbi wote unalipuka kwa kushangilia je hamuoni kama hao wajumbe wanaweza mpigia mgombea mwanamke ambae kwa hali halisi Nchi yetu bado haijawa tayari kuongozwa na Mwanamke? Pia Mamvi ana sapoti kubwa sana ya wab

Mkuu nilisema mchana kama team lowassa akiamua kucheza michezo yao tunayoifahamu....membe akatizi top 3 ...kwa taarifa nilizonazo zisizo rasmi ni kwamba membe ndo alipata kura kidogo kuliko wote...120 yaani hata January kamzidi....sas nahisi team lowassa watamweka mwanamke tena yule wanayemtaka ili litimie lile neno la ukimwaga unga namwaga mboga...halafu ccm wanalala njaa...
 
Ni Msukuma au Mhaya?

Ni Msukuma si mhaya.

Wilaya ya Chato ina wasukuma wengi sana na kabla ya Geita kuwa mkoa ilikuwa ndani ya mkoa wa Kagera ila sasa ipo ndani ya mkoa wa Geita, kama Edson alivonisahihisha hapo juu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom