sebastian wagalinde
New Member
- Dec 20, 2014
- 4
- 0
Mkuu Dr. Magufuli alitengenezwa na Mkapa kisha Kikwete akaja kukerezahivi kati ya mkapa na kikwete nani alimtengeneza magufuli?
Mkuu NCHAGWA JOSEPH tulia uone jinsi Magufuli (PhD) atakavyoitendea haki nchi yako.Shida yangu si magufuli,tatizo ni kuendelea chini ya mfumo ulioza wa ccm.tusitegemee chochote toka ccm.
acha kuogopa wewe lowasa amekomaa kisiasa kura zake kazielekeza kwa magufur by the way hasira zake zilikuwa kwa membe tu
Zamu ta Wakatoriki ndg (hiden ajenda). Hongera kwa kujifariji.
Mama Mwenyewe naona kama mweupe kichwani. Kabebwa tu na jina la baba yake.
Kwa uteuzi huu wa CCM kwa kumpitisha Magufuli hakika nakuambia UKAWA lazima wagawane mikeka.Bavicha hoi...padri kapingwa na CUF na NCCR....
Haya mambo ya udini siyapendi.hivi kwa mfano akitokea Amina Ally kuteuliwa na ccm kugombea urais hiyo kauli yako utaifuta ama?
lowassa hatafanya lolote usijidanganye,anaomba Amina awe mgombea urais ili amteue kuwa mgombea mwenza.zaid ya hapo hana jengine
Nadhani hii thread ndo imevunja rekodi ya kuws thread ndefu kuliko zote JF, hata hivyo UKAWA ndo Watachukua nchi.
Kwa uteuzi huu wa CCM kwa kumpitisha Magufuli hakika nakuambia UKAWA lazima wagawane mikeka.
Natamani kusikia nasaha za ocampo four
Bavicha hoi...padri kapingwa na CUF na NCCR....
Bavicha hoi...padri kapingwa na CUF na NCCR....
We mgeni humu JF..zipo nyingi sana ni ndefu kuliko hii..ata za ufisadi wa 2007 au ya freemason..za michezo n.k
Jamii forums limekuwa jukwaa la umbea km Facebook. Badala ya kuweka feedbacks, wanaongelea mambo mengi ambayo hayapo.Wakati mwingine badala ya kuandika bora uwe unasubiri mpaka upate uhakika wa hiyo habari kwanza.
Mkuu nadhani humfahamu vizuri Dr. Magufuli, hayo unayoyasema nadhani umeambiwa tu ama unayasikia toka kwenye mitandao. Kwanza mkandarasi maana yake ni hapo?Mkuu usijidanganye.
Kuongoza nchi inataka Hekima na busara za hali ya juu ukisaidiwa kwa karibu sana na Roho wa Mungu.
Amini nakwambia hivyo vitu huyo mkandarasi hana, alichonacho ni misifa na kiburi.
Na zaidi ningependa ujue kuwa kulingana na Katiba yetu kauli ya Raisi ni sheria inapaswa kutekelezwa na hapingwi hata mahakamani.
Sasa imagine huyo mkandarasi anavyopenda sifa na kiburi kilivyomtawala ataiweza nchi.
Cha pili nikwambie tu, Huyo mkandarasi in nature ni bonge la mshamba sasa sijui kama nchi itasonga .
N tatu nimalizie kwa kusema, Kama huyo mkandarasi atapewa nchi (japo ni jambo la kusadikika) Migomo itatamalaki kila maali kutokana na element za Kiburi/majidai/zarau na ushamba alionao. Zaidi jamaa ni mkabila kinoma. Mark my word