Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

kajifunze tena mathematics mweupe wewe...x5 hint(max)
imagejpeg

Kwa nini *5 wakati mjumbe mmoja anapigia majina matatu?
 
Tena kiherehere cha hali ya juu, wewe kila mkoa umeambiwa wadhamini 450 unaenda kuandikisha milioni! Kama siyo utaahira sijui ni kitu gani. Safari ya matumaini chaliii hata kabla haijaanza.

Mtu anazunguka nchi nzima kutafuta wadhamini 450, sasa wengine ndio waone faida ya kiherehere bila kujua kuwa unavunja kanuni za chama lkn hata hivyo Lowasa na watu wake wanajua mchezo wote uliochezwa kuamua au kutokuamua wafanye nn ni juu yao.Tuendelee kutega masikio huu ni mwaka wa matukio na tukio la kwanza ni Lowasa tusubiri mengine.
 
Wameamua kuanza zoezi la uchakachuaji kura kuelekea October 25th mapema zaidi ili waweze kuifanya kazi hiyo vizuri sana. Zoezi lote tangu mwanzo hadi mwisho limegubikwa na usiri mkubwa mno na ujanjaujanja.

Kuhesabu kura tu hadi kesho? Hapa kuna namma inafanywa ngoja tusubiri.
 
Wameamua kuanza zoezi la uchakachuaji kura kuelekea October 25th mapema zaidi ili waweze kuifanya kazi hiyo vizuri sana. Zoezi lote tangu mwanzo hadi mwisho limegubikwa na usiri mkubwa mno na ujanjaujanja.
Ujue kuwa upinzani hauna chance ya kushinda
Uchaguzi
 
kuchelewa kutoa matokea maana yake iwe isiwe lazima apite anayetakiwa na wakubwa ambaye ni magufuli au migiro, wanajua team ya lowasa wanaweza mpa amina na vile umri wake umeenda mikeke mikeke ya kampeni imshinde ili ukawa wabebe kilaini, hivyo iwe isiwe kura zipigwe au zisipigwe atapita anayetakiwa kweli na wakuu.

Mkuu tuko pamoja hapa. Zengwe linasukwa, tutarajie matokeo ya kupikwa baadae leo.

Tiba
 
Kati ya watu zaidi ya 50 waliohesabu kura za wajumbe wa MM hakuna alielikisha matokeo? Tuliyapata ya NEC mapema... Iweje hayatoki asibuhi hii?
 
Sasa turudi kwenye mada!! kiujumla with no doubt definetely CCM they are defeated!! tunamtaka material president sio hawa jamani hawawezi kabisa kutegua mitego ya mabepari wanaoitumbulia mimacho Nchi yetu. Tunataka mtu ambaye hayumbishwi si tu hapa nyumbani bali hata anapokuwa kule ng'ambo asizuzuliwe na madalali wa kimataifa kama comvoy ya mabepari wa Rostam Aziz ambao wana namna na mbinu za ushawishi zilizoenda shule so tracking them easily without being stable upstairs unastukia zamaani wakati huo walishakuliza kitambo sana na walishachukua chao kitambo!! si mnakumbuka chain ya Richmond-Dowans-Symbion walivyo tubamiza?? nani alijua cyndicate hii mapema??
Tunahitaji Rais ambaye anauelewa mtambuka wa kipi na yupi wa kuingia nae mkataba kwenye masuala nyeti ya raslimali zetu kwa tahadhari kubwa. Sio zoba zoba km Magufuli hata ungekuwa mkali au dicteta kiasi gani kwenye masuala ya utaalam ukikaa vibaya utalizwa tuu na kuishia kutimua subodinates kwenye suala ambalo lilikuwa na uwezekano mkubwa wa kuchukua tahadhari kabla athari haijatokea.

Hapa anae tufaa ni Prof Lipumba anauelewa mtambuka kwenye masuala makubwa na uzoefu pia anao. UKAWA should watchout this km lengo ni kutupeleka kuzuri sehemu ambayo kila mtanzania atanufaika na raslimali zetu.

Hahahahahaaaaa...

Lipumba tunamwachia form four failures wamshughulikie tuu....kina rostam wamuuwa..wale failures wanatosha tuu
 
Ccm inataka kuchakachua mpaka kura zake wenyew duh hawa jamaa hawafai kabisa..
 
Kwa kweli kwa Magufuli kupewa cheo cha kugombea uraisi nimepata funzo kuwa wakati mwingine bidii huweza kulipa.huyu baba anapenda kazi na anafanya kwa moyo sana.
 
Back
Top Bottom