Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


Hujamjua mkwere vizuri. Subiri wapige chini Magufuri mpewe rozi ndo mkome.
 
WildCard,

Naona umeishampitisha kabisa Dr.Magufuli, vipi UKAWA hawawezi kuchukuwa dola na kuunda cabinet.
Lengo la UKAWA halikuwa hili wanalofanya sasa na hawatafanikiwa. Warudi kwenye KATIBA. Kutoa mgombea mmoja watakuwa wameirahisishia sana CCM.
 
Kweli maccm wanajua kusoma alama za nyakati kidogo tu walikuwa wanakosea hata hivyo najua hilo ni goli la mkono .pole team lowasa punguzeni pressure.
 

acha kujamba hovyo wewe kwan yule padri huo kweli na je yule mbowe sifa zake kwa wadada wakuteua chaman mwake ikoje acha hoja mfu wewe
 
Yeah, ndivyo imekuwa!

Katika tano bora alikuja na watu wake watatu. Kaja na Membe (mtu wake), akaja na Asha Migiro (mtu wake) akaja na January Makamba (mtu wake). Amina Salum Ali (uzanzibari) na John Magufuli aliwekwe kiboya kiboya tu!

TeamLowassa tukafanya yetu pale Halmashauri kuu!

Tukala kichwa cha membe teh teh ............. kura 120
Tukala kichwa cha january teh teh ............ kura 124

Tukampaisha John Magufuli ........kura 290

Tukaenda pale Mkutano mkuu, nako tukafanya yetu!

Tumempaisha John Joseph Pombe Magufuli!

Hii si timu ya kupimia kwa kijiko.....utaumia!
 
Ndio sasa utambue ya kuwa Mungu ametusaidia na yawezekana Magufuli akaitendea haki nchi yetu kwani tumelia kwa muda mrefuk

ni kweli kabisa ndugu Mungu yupo nasi bado maana magufuli analeta hata amani ya moyo
 

Huo mchepuko wa UDSM huwa hauhitimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…