Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


Jamaa ndo mana hawajashinda akili zao kama Team Wema sepetu
 

15.Kuwawajibisha wale waliokwapua mali za umma na kuzirudisha pamoja na kuzitaifisha mali zao.....
 

Kwa mfumo wetu una waforce mawaziri kuwa loyal kwa rais! Ni waziri yupi hakuwa loyal kwa Kikwete zaidi Sitta ambaye alikuwa na machungu ya kutopewa u-PM?
 
Mamvia anaendeleaje leo na marejesho yake yatapatikana vipi aka mnarudisha chenji?
 
Kwa magufuli hata mimi ccm wamepata kura yangu....

kitu kibaya kabisa kwa ccm ni system.utamuona mtu mzuri kabisa wakati wa kugombea but akishaingia madarakani "system"iliyomuweka madarakani ndiyo inamuendesha.yaani utashangaa ule moto aliokuwa nao wote unapotea anabaki mtizamaji tu.yaani utabaki unashangaa hata huyu?.hapo kuna system inambeba,akishaingia lazima aitumikie
 


kWA Taarifa yako Magufuli ameongezewa ulinzi na IKULU toka mwezi mmoja uliopita, na alikatazwa kutoa tamko au kuongea kuhusu kampeni. Na alizungukwa na watu wa kariub wa JK muda wote Dodoma. Poleni sana TeamLowassa. JK kawachezea shere si kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Haya taja bei
 

Attachments

  • 1436683255344.jpg
    8.6 KB · Views: 169
magufuli haongeki na hana mchezo mtaishia jela kwa ufisadi
 
Speech? Hata bubu ana speech! We need action jamani. Hata shemeji alikuwa na sweet speech matokeo yake watanzania tumeachwa in hell!
 
Ni dhahiri sasa Magufuli ndie Mgombea uraisi kwa ticket ya CCM na UKAWA ni Dr.Slaa(ukimya wao ni mkakati tu wa kisiasa).

Je,kati ya hao wawili, ni nani anafaa kuwa raisi wa awamu ya tano?
 
Ataweka watu wanaojua hiyo kazi na mambo yataenda . . . . . . . .
 
Kwa wakati huu, mgombea yeyote anatakiwa ajikite kwenye masuala ya kiuchumi kwanza, awe na mipango ya kuunganisha mazao ya kilimo na viwanda kwa kujenga viwanda vya kusindika mazao. Aimarishe taasisi za serikali kama vile Benki Kuu, mifuko ya hifadh, TRA, TANESCO, TRL, TAZARA , Mamlaka ya bandari na nyinginezo, apunguze uwezo wa wanasiasa au viongozi wa wizara kuziingilia, zipewe nafasi zifanye kazi kwa weledi, ziwekewe malengo na zipimwe, sehemu ya faida za taasisi igawiwe serikalini. Tuangalia uwekezaji kwenye madini, mafuta, gesi, utalii, na chuma, uwekezaji uwe wa manufaa kwa nchi , ushirikishe kampuni za umma, watanzania binafsi na wageni. Kwa kukuza haya uchumi utakua sana ndipo tutakua na uwezo wa kuboresha huduma za jamii. Bila kusahau kuongeza walipa kodi na kupunguza matumizi ya fedha taslim, hii itabana mianya ya ukwepaji kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…