Kwani magufuli lilikuwa ni Chaguo lenu kweli team Lowasa? Au nyie ndo mmeshindwa kupata mnachokitaka, Magufuli ni one of the loyal people to Kikwete, hamuwezi kusema Kikwete hajampata mtu wake, you must be Joking. Mngetoka na Amina Salum au Migiro tungejua kweli mmemnyima Kikwete Chaguo lake. Unachosema sasa ni kujitafutia faraja.
He's a chemical engineer..fanya utafiti ndo utoe post
aje magufuli aje migiro ukawa ushindi ni lazima sisi hatuangalii mtu tunaangalia na chama alichomo
kina ajenda gani??
ukawa tuna ajenda ambazo hata magufuli hawezi tia mguu hawazi kabisa kufurukuta
1. kufufua mchakato wa katiba mpya -rasimu ya warioba
2.kuimarisha muungano wa jamuhuri ya tanzania kwa muundo wa serikali tatu
3. kubana matumizi ya serikali -kusitisha ununzi wa magari na maposho yasiyo na tija
5. kufuta misamaha ya kodi kwa makampuni makubwa pamoja na kufuta na kupunguza viwango vya kodi
kwenye bidhaa vifaa ya ujenzi kilimo viwanda na vyakula
6.kudhibiti matumizi ya dola na usafirishaji dola nje, pamoja na kupunguza inflation
7. kushusha kodi kwenye bidhaa za ujenzi
8. kutoa elimu bure mpaka chuo kikuu
9. kurudisha miswada yote iliyopitishwa kwa hati ya dharula ili ipite katika utaratibu wa kawaida ili ijadiliwe na bunge ipitishwe
10. kutengua mikataba17(MOU) ya kinyonyaji aliyoisani jk na wachina
11 kusitisha ujenzi wa bandari ya bagamoyo ili kuimarisha bandari ya dar tanga na mtrwara
13.kupitia upya mikataba ya madini,mafuta na gesi na nakuifuta ilie isiyo na maslahi kwa nchi
14 mengine mtaongeze
kwa hayo niliyo yaainisha hapo juu sidhani kama yanaweza kuwemo kwenye ilani ya CCM ambayo kama magufuli ateuliwa kugombea uraisi itabidi ainadi,
kwa mantiki hiyo pamoja na uchapakazi wa maghufuli hizo ajenda hapo juu hawezi zigusa labda kama hajipendi,
kwa jinsi ninavyo wajua ccm kwenye ilani yao watakuja na ahadi za ulaghai, kama kuongeza mishahara, kujenga barabara, kununua meli, na vivuko
ajenda nzito zinzoweza inua uchumi wa nchi kwa miaka mitano hawawezi kuzikubali wakabaki salama
hizo ajenda zitawezekana tu tukiwapa nchi ukawa, kama mnampenda mghufuli mchukueni mkanyywe naye chai
Kwani magufuli lilikuwa ni Chaguo lenu kweli team Lowasa? Au nyie ndo mmeshindwa kupata mnachokitaka, Magufuli ni one of the loyal people to Kikwete, hamuwezi kusema Kikwete hajampata mtu wake, you must be Joking. Mngetoka na Amina Salum au Migiro tungejua kweli mmemnyima Kikwete Chaguo lake. Unachosema sasa ni kujitafutia faraja.
mkuu hii si hoja ,hakuna hoja hapa hizi ni delusions za mtu hapa!nadhani itakuwaa ni kujishusha tukijadili uwewesekaji huu!hoja dhaifu sana umeweka hapa,
Magufuli ni mzinzi balaa
He's a chemical engineer..fanya utafiti ndo utoe post
Kwa magufuli hata mimi ccm wamepata kura yangu....
Yeah, ndivyo imekuwa!
Katika tano bora alikuja na watu wake watatu. Kaja na Membe (mtu wake), akaja na Asha Migiro (mtu wake) akaja na January Makamba (mtu wake). Amina Salum Ali (uzanzibari) na John Magufuli aliwekwe kiboya kiboya tu!
TeamLowassa tukafanya yetu pale Halmashauri kuu!
Tukala kichwa cha membe teh teh ............. kura 120
Tukala kichwa cha january teh teh ............ kura 124
Tukampaisha John Magufuli ........kura 290
Tukaenda pale Mkutano mkuu, nako tukafanya yetu!
Tumempaisha John Joseph Pombe Magufuli!
Hii si timu ya kupimia kwa kijiko.....utaumia!
Sio kama ukawa watashindwa , UKAWA hawawezi kushinda CCM isimamishe yeyote yule ukawa hawaweziii
magufuli mtu wa kazi! hajipendekezi hana huo muda!
Asha tumemla! Amina hauziki, tutamuuza wapi? Jembe magufuli from halmashauri kuu to mkutano mkuu!
Kwa magufuli hata mimi ccm wamepata kura yangu....