Mwalimu tena anategemewa kuwa Rais wa JMT. Mwl JK Nyerere alifanya kazi nzuri,akafuata Mwl Alli H. Mwinyi,naye alifanya yake. Lakini marais waliofuata wakiwa na taaluma tofauti na ualimu walifilisi/walinajisi hii nchi kwa kila aina ya ufisadi. Mwalimu John Pombe Magufuli Rais mtarajiwa kwa tiketi ya CCM