ZULUECO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 587
- 233
hata ujitahidije kumchafua magufur huyo ndiye rais ajaye eti unazuga mshamba ulikuwa nae wapi kakuonesha ushamba au alishaku ..... hadi ukamwona mshamba ,nyie mnamalaya wa siasa waliotaka ubunge wa ccm wakaukosa nawakakimbilia chadomo hadi leo wanalipwa kama wabunge yote hayo siyo kutaka hera? huna jipya lakumchafua huyu bwana mnajitahidi nakutaman lowasa ahame ili nanyi muona angalau nafuu hata iwe hivyo mtapigwa tu
Upo sahihi kabisa mkuu mi ukawa kura yangu inaenda kwa magufuli mbunge ndo ntampa wa ukawa..namkubali sana magufuli