Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

hata ujitahidije kumchafua magufur huyo ndiye rais ajaye eti unazuga mshamba ulikuwa nae wapi kakuonesha ushamba au alishaku ..... hadi ukamwona mshamba ,nyie mnamalaya wa siasa waliotaka ubunge wa ccm wakaukosa nawakakimbilia chadomo hadi leo wanalipwa kama wabunge yote hayo siyo kutaka hera? huna jipya lakumchafua huyu bwana mnajitahidi nakutaman lowasa ahame ili nanyi muona angalau nafuu hata iwe hivyo mtapigwa tu

Upo sahihi kabisa mkuu mi ukawa kura yangu inaenda kwa magufuli mbunge ndo ntampa wa ukawa..namkubali sana magufuli
 
Mimi nimefurahi tu lowasa hata reserve hakuwepo

Hunishindi mimi. Huyu jamaa kwa kweli wamemuweza.CCM sasa itakuwa na heshima yake. Imerudi kuwa chama cha wanyonge. Fisadi alibaki kutoa mimacho tu. Au sijui ule ugonjwa ndo unamfanya vile, anakuwa kama robot. Akili na mwili haviendani!!
 
We muangalie kikwete akiongea jana hana raha kabisa anaongea kiunyonge.anachapia chapia kila saa.mpk akasahau kuwa yeye ni mwenyekiti. Pombe hakuwa chaguo lake bali aliwekwa km povu coz walikuwa na uwezo wa kumkata kirahisi.....hawakutegemea mori za kimasai zingepindua kila kitu. Alikuwa anataka kuongoza akiwa msoga kupitia kwa membe!! Yameenda kombo.kwa magufuli lazima aogope coz ni mtu ambaye haeleweki...dakika mbili mbele na ukumbuke 2005 wakina kikwete walimzimisha kabisa huyu jamaa coz alkuwa nae anataka urais..........je nae atarudi kwa kisasi? Kumbuka pia pombe kaibuliwa na mr.ben.....na ben hakupenda kikwete kabisa...na yaliyotokea jana nasikia kafurahi sana.........

Kwa taarifa yako, ile top 5 iliyopitishwa na CC ni watu wa JK. Na bado ataendelea kuwaendesha tu.
 
Yani hiki chama nichamajungu na uzushiuzushi tu.

Toka jana mnasema sijui Makufuli ndio kapitishwa lakini mpaka sasa hakuna uthibitisho!

Sasa si mumutangaze huyo mkandarasi wenu kuwa ndie atakae pambana na Simba wa Yuda/Raisi wa mioyo ya Watanzani/Kamanda/Mteule/Mpakwa mafuta/Mkombozi Dr. Willbroad Mwana wa Slaa TUMAINI LA WALIOKATA TAMAA
 
Magufuli si mtu wa JK wala Lowasa, subiri aapishwe muone pale ni kazi kwa kuzingatia taratibu, si ni huyu huyu JK na Pinda walikuwa wanamuingilia kwenye majukumu yake kwa sababu tu ya siasa wananchi wasichukie

Halafu pana watu hap wanataka kutuaminisha eti ni mtu wa Kikwete.Unakumbuka kipindi kile wanamfrustrate akitoa maamuzi ya kubomoa wanamzodoa mchana kweupe! Kikwete na familia yake wanaugulia kwa sana tu kitendo cha Membe na Migiro kushindwa.
 
Na mambo ya ikulu mara leo kaenda diamond kesho Ruge yataisha

Nawaza Clouds kwenda kuandaa Birthday za Rais,maana Magufuli si mtu wa kushobokea hizo birthday,au sasa watakuwa wanakwenda Msoga!
 
ulitaka achaguliwe nani kama wewe huna mihemko hadi unasema eti mkabila kana kwamba wizara alizowahi kuziongoza alijaza wasukuma thibitusha ukabila wake ,na ushamba wake ili nione kama kweli unahoja by the way kura tayar magufur ndo kapeta na lowasa hahami

Achana nao binadamu hata ufanyeje hawaridhiki ..watu kama hawa dawa yao ni magufuli ndo anawafaa wataridhika tu..go magufuli
 
John pombe mbona ni mzungumzaji mzuri tu...
Sema tu labda pengine kwa sababu ilikuwa ni very sudden na pengine "hakutarajia" kwamba angelifikia hatua hiyo kutokana na ushindani uliokuwepo so hakuwa na muda wa kutosha kujipanga kuzungumza kwa wakati huo....
 
Yeah, ndivyo imekuwa!

Katika tano bora alikuja na watu wake watatu. Kaja na Membe (mtu wake), akaja na Asha Migiro (mtu wake) akaja na January Makamba (mtu wake). Amina Salum Ali (uzanzibari) na John Magufuli aliwekwe kiboya kiboya tu!

TeamLowassa tukafanya yetu pale Halmashauri kuu!

Tukala kichwa cha membe teh teh ............. kura 120
Tukala kichwa cha january teh teh ............ kura 124

Tukampaisha John Magufuli ........kura 290

Tukaenda pale Mkutano mkuu, nako tukafanya yetu!

Tumempaisha John Joseph Pombe Magufuli!

Hii si timu ya kupimia kwa kijiko.....utaumia!
Sawa yote mipango ya Mungu je mmejiandaa vipi kisaikolojia niliuliza hili swali!https://www.jamiiforums.com/uchaguz...e-lowasa-jina-lisipo-rudi-2.html#post13259158
 
Tatizo la Magufuri ni mkurupukaji anatoa maamuzi bila kuangalia negative effects mfano kuvunja shell kule Mwanza na Meli ya wachina na kuna wakandarasi kibao alivunja mikataba bila kufuata mwisho wa siku serikali inaliwalipa fidia.

Poa tu ilimradi discpline iwepo
 
Back
Top Bottom