Ni dhahiri sasa Magufuli ndie Mgombea uraisi kwa ticket ya CCM na UKAWA ni Dr.Slaa(ukimya wao ni mkakati tu wa kisiasa).
Je,kati ya hao wawili, ni nani anafaa kuwa raisi wa awamu ya tano?
Ukawa washachukua nchi... hii naapa.. iko wazi, Magufuli hana nyota ya kupendwa sana..
Yaani Dr. Slaa au Lowassa akiamua kugombea kupitia chama chochote, URAIS KWAO NI LAZIMA...!!!!
Lowassa akigombea CCM kwisha kazi yake, sbb wamemuonea sana... na najua ata react tu... CCM inakufa kabla ya Oct 25
Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tunaenda kupata RAISI engeneer. Iko wazi watu hawa hawana public speaking skills achilia mbali wao wenyewe kuandaa speech. hawana mbinu za kusoma audience wanayoihutubia kwa kuzielewa nyuso zao., na mengine mengi. Hivyo ni wakati muafaka kwa wahusika kumrejesha raisi huyu class akapige course ya COMMUNICATION SKILLS ili asije sababisha matatizo huko mbele. Natoa hoja.
magufuli haongeki na hana mchezo mtaishia jela kwa ufisadi
kWA Taarifa yako Magufuli ameongezewa ulinzi na IKULU toka mwezi mmoja uliopita, na alikatazwa kutoa tamko au kuongea kuhusu kampeni. Na alizungukwa na watu wa kariub wa JK muda wote Dodoma. Poleni sana TeamLowassa. JK kawachezea shere si kidogo.