hata ujitahidije kumchafua magufur huyo ndiye rais ajaye eti unazuga mshamba ulikuwa nae wapi kakuonesha ushamba au alishaku ..... hadi ukamwona mshamba ,nyie mnamalaya wa siasa waliotaka ubunge wa ccm wakaukosa nawakakimbilia chadomo hadi leo wanalipwa kama wabunge yote hayo siyo kutaka hera? huna jipya lakumchafua huyu bwana mnajitahidi nakutaman lowasa ahame ili nanyi muona angalau nafuu hata iwe hivyo mtapigwa tu
Mimi nimefurahi tu lowasa hata reserve hakuwepo
Wizara ya ujenzi inalipa hamani......ndio.maana.nkashangaa lukuvi kaanza lini mahusiano ya bd gd na. Magufuli??
Bora coz huyu riz moko tulishamchoka
We muangalie kikwete akiongea jana hana raha kabisa anaongea kiunyonge.anachapia chapia kila saa.mpk akasahau kuwa yeye ni mwenyekiti. Pombe hakuwa chaguo lake bali aliwekwa km povu coz walikuwa na uwezo wa kumkata kirahisi.....hawakutegemea mori za kimasai zingepindua kila kitu. Alikuwa anataka kuongoza akiwa msoga kupitia kwa membe!! Yameenda kombo.kwa magufuli lazima aogope coz ni mtu ambaye haeleweki...dakika mbili mbele na ukumbuke 2005 wakina kikwete walimzimisha kabisa huyu jamaa coz alkuwa nae anataka urais..........je nae atarudi kwa kisasi? Kumbuka pia pombe kaibuliwa na mr.ben.....na ben hakupenda kikwete kabisa...na yaliyotokea jana nasikia kafurahi sana.........
Kwenye msafara wa Mamba hata Kenge wamo.Lowasa!
Ulimwona jana yeye na mama yake walivyokuwa hawaamini kilichotokea,actually wanaumia zaidi maana no more drama za kuendeshwa from Msoga!
Magufuli si mtu wa JK wala Lowasa, subiri aapishwe muone pale ni kazi kwa kuzingatia taratibu, si ni huyu huyu JK na Pinda walikuwa wanamuingilia kwenye majukumu yake kwa sababu tu ya siasa wananchi wasichukie
Na mambo ya ikulu mara leo kaenda diamond kesho Ruge yataisha
ulitaka achaguliwe nani kama wewe huna mihemko hadi unasema eti mkabila kana kwamba wizara alizowahi kuziongoza alijaza wasukuma thibitusha ukabila wake ,na ushamba wake ili nione kama kweli unahoja by the way kura tayar magufur ndo kapeta na lowasa hahami
Sawa yote mipango ya Mungu je mmejiandaa vipi kisaikolojia niliuliza hili swali!https://www.jamiiforums.com/uchaguz...e-lowasa-jina-lisipo-rudi-2.html#post13259158Yeah, ndivyo imekuwa!
Katika tano bora alikuja na watu wake watatu. Kaja na Membe (mtu wake), akaja na Asha Migiro (mtu wake) akaja na January Makamba (mtu wake). Amina Salum Ali (uzanzibari) na John Magufuli aliwekwe kiboya kiboya tu!
TeamLowassa tukafanya yetu pale Halmashauri kuu!
Tukala kichwa cha membe teh teh ............. kura 120
Tukala kichwa cha january teh teh ............ kura 124
Tukampaisha John Magufuli ........kura 290
Tukaenda pale Mkutano mkuu, nako tukafanya yetu!
Tumempaisha John Joseph Pombe Magufuli!
Hii si timu ya kupimia kwa kijiko.....utaumia!
Tatizo la Magufuri ni mkurupukaji anatoa maamuzi bila kuangalia negative effects mfano kuvunja shell kule Mwanza na Meli ya wachina na kuna wakandarasi kibao alivunja mikataba bila kufuata mwisho wa siku serikali inaliwalipa fidia.