Diva Beyonce.Team LOWASA mna mihasira khaa! ( joking). BTW i miss you.Apunguze mihemko na mijaziba isiyo na msingi kuwa raisi si jambo dogo. Kule alizoea command ila huku kwingine inabidi ajitafakari na awe na hekima kabla ya kuzungumza.
Team LOWASA mna mihasira khaa! ( joking). BTW i miss you@Diva beyonce.
Simple like this:
Alishindwa ku perform UN
Nikukumbushe kule UN alipelekwa na JK
Lengo lake aje amrithishe kiti.
JK kasahau kuwa there are mafia behind the political game.
Wana njaa na kiti mbaya. JK kajifanya anaweza kutumia urais na uenyekiti wake
wa chama kumpitisha. Tunamchora mtu!
Siku ikafika, akamleta. Tukala kichwa!
Kimsingi alikuja na option tatu. Membe, Asha na January. Wote tukawala!
Mwishowe JK analilia, tukamwambia tulia, unalia nini mbona mchezo bado!?
Tukampaisha John Magufuli. Kwa sasa tunamcheki kama swala, sisi ni chetah.
Mkononi tumebeba 'world order'. Lazima magufuli apewe. Na atapewa!
Time will tell.
Ni hayo tu kuhusu Asha!
Ni katika mkutano mkuu wa taifa jana ambapo mikoa na kanda kadhaa zilionekana kufadhaishwa na matokeo ya mchujo wa tano bora na tatu bora. Mikoa hiyo haikuweza kutoa ushirikiano kwa mheshimiwa mwenyekiti kwa kuwa ilitawaliwa na huzuni huenda na chuki. Mikoa mingine iliyonuna ni Mtwara na Lindi kwani nao hawakuipokea salam ya JK kama ilivyozoeleka .Membe alitarajia sana ,Lowasa alitaraji sana. Mwandosya alidhani kama ya kikwete kuwa safari hii watamuonea aibu wakala kichwa Tanga walikua na ndoto za ghafla zikatoweka. Mfumo wa vyama vya siasa kuketi kikanda na kimikoa unabidi kutazamwa ki-great thinking
Hunishindi mimi. Huyu jamaa kwa kweli wamemuweza.CCM sasa itakuwa na heshima yake. Imerudi kuwa chama cha wanyonge. Fisadi alibaki kutoa mimacho tu. Au sijui ule ugonjwa ndo unamfanya vile, anakuwa kama robot. Akili na mwili haviendani!!
Shauri yako hata mamvi alivyokatwa hamkutaka kuamini lakini ndivyo hali halisiSiamini
Nape roho kwatuuuuu! Fisadi limeangushwaEeeeeh!
Nape anakung'uta gitaaa! Nimemuona ktk luninga kaunga tela na TOT jukwaani.
Nape roho kwatuuuuu! Fisadi limeangushwa
Dr.Slaa
Dr. Slaa
Lowasa!
Dr Slaa
Dr W P SLAA
Dr slaa
dr. slaa
Dr slaa
Dk Slaa anatosha.
Dr Slaa
dr wilbroad slaa
Hapa ni Dr slaa tu.
Dr W P Slaa
Dr. Slaa
Dr Slaa
Dr W P SLAA
Dr W.P Slaa
Apunguze mihemko na mijaziba isiyo na msingi kuwa raisi si jambo dogo. Kule alizoea command ila huku kwingine inabidi ajitafakari na awe na hekima kabla ya kuzungumza.