Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Apunguze mihemko na mijaziba isiyo na msingi kuwa raisi si jambo dogo. Kule alizoea command ila huku kwingine inabidi ajitafakari na awe na hekima kabla ya kuzungumza.
Diva Beyonce.Team LOWASA mna mihasira khaa! ( joking). BTW i miss you.
 
Last edited by a moderator:
Simple like this:

Alishindwa ku perform UN

Nikukumbushe kule UN alipelekwa na JK

Lengo lake aje amrithishe kiti.

JK kasahau kuwa there are mafia behind the political game.

Wana njaa na kiti mbaya. JK kajifanya anaweza kutumia urais na uenyekiti wake

wa chama kumpitisha. Tunamchora mtu!

Siku ikafika, akamleta. Tukala kichwa!

Kimsingi alikuja na option tatu. Membe, Asha na January. Wote tukawala!

Mwishowe JK analilia, tukamwambia tulia, unalia nini mbona mchezo bado!?

Tukampaisha John Magufuli. Kwa sasa tunamcheki kama swala, sisi ni chetah.

Mkononi tumebeba 'world order'. Lazima magufuli apewe. Na atapewa!

Time will tell.

Ni hayo tu kuhusu Asha!

Huko UN alichemka naskia wakamtimua! hapo kwenye blue pana kitu kizito embu ongezea hapa nyama!
 
Ni katika mkutano mkuu wa taifa jana ambapo mikoa na kanda kadhaa zilionekana kufadhaishwa na matokeo ya mchujo wa tano bora na tatu bora. Mikoa hiyo haikuweza kutoa ushirikiano kwa mheshimiwa mwenyekiti kwa kuwa ilitawaliwa na huzuni huenda na chuki. Mikoa mingine iliyonuna ni Mtwara na Lindi kwani nao hawakuipokea salam ya JK kama ilivyozoeleka .Membe alitarajia sana ,Lowasa alitaraji sana. Mwandosya alidhani kama ya kikwete kuwa safari hii watamuonea aibu wakala kichwa Tanga walikua na ndoto za ghafla zikatoweka. Mfumo wa vyama vya siasa kuketi kikanda na kimikoa unabidi kutazamwa ki-great thinking

Hayatuhusuuu.
 
Jamani, hatutegemei kumpata malaika kugombea, kila mtu atakua na mapungufu yake! Kwa hawa tuwaombee Mungu tu ili awaongoze ktk kutoa maamuzi!
 
Hunishindi mimi. Huyu jamaa kwa kweli wamemuweza.CCM sasa itakuwa na heshima yake. Imerudi kuwa chama cha wanyonge. Fisadi alibaki kutoa mimacho tu. Au sijui ule ugonjwa ndo unamfanya vile, anakuwa kama robot. Akili na mwili haviendani!!

Ha ha aliapa hata juu ya machela ataingia ikulu
 
Hivi Magufuli ndiye aliyetumia nafasi yake kama Waziri wa Ujenzi/barabara kuweka traffic lights kijijini kwake? Inaonekana huyu jamaa ni mshamba sana.
 

Attachments

  • Taa Chato.jpg
    Taa Chato.jpg
    43.6 KB · Views: 109

Matokeo halisi ya kura za wagombea kuto Mkutano Mkuu ni:

▶Mh. John Magufuli 87%,
▶Balozi Amina Ali 10%,
▶Dk.Asha Migiro 3%

 
Magufuli hata ofisini kwake hataki wageni, sasa nyinyi mliozoea kwenda ikulu kama chooni kwenu mlijue hilo.
 
Eeeeeh!
Nape anakung'uta gitaaa! Nimemuona ktk luninga kaunga tela na TOT jukwaani.
 
Naona kila anayesimama kuongea anawaponda mafisadi. Kumbe walikuwa wanakula tu fedha zao lakini kura hawaampa fisadi mkuu
 
Apunguze mihemko na mijaziba isiyo na msingi kuwa raisi si jambo dogo. Kule alizoea command ila huku kwingine inabidi ajitafakari na awe na hekima kabla ya kuzungumza.

Lazima ajirekebishe hapo. Sasa inabidi awe mwanasiasa, na sio chemist. Aanze kujifunza cheusi kuita cha njano. Teh teh.
 
Back
Top Bottom