We naye sijui unaongea nini? Unapata wapi courage ya kuingilia maisha binafsi ya watu na kuwasonga kisa tu wako ccm!!!?
Huyo mke wa slaa ni mke halali? Amekuwa mchumba tangu lini na ndoa ni lini?! Mbowe kazaa na nani yule viti maalumu wake!! Lipumba unamjua mke wake?!
Slaa msafi, hajawahi hata kuiba mke wa mtu...
Kijiji cha Magufuli pale Chato kinawapa ushawishi baadhi ya watu kumuona Magufuli kama fisadi!
Hebu tujaribu kuiuliza historia na hisabati ili tuweze kumjadili vizuri. John Magufuli (JM) amekuwepo Bungeni na Serikalini tangu awamu ya 3 ya Mhe. Ben Mkapa hadi awamu hii ya 4 ya JK. Ni wazi kuwa JM amekuwepo kwenye taasisi hizo takribani tangu miaka 20 iliyopita. Nyumba 60 kila moja inaweza kuwa na construction value isiyozidi Tsh. 35,000,000/= ambapo jumla yake ni takribani 2.1 billion/-. Ukichukua 2.1billion ukawagawanya kwa miaka 20 utapata Tsh. 105,000,000/= kwa mwaka. Ukienda mbali kidogo ukagawa 105,000,000/= kwa miezi 12 utapata Tsh. 8,750,000/= kwa mwezi, kipato ambacho ni cha kawaida tu hata kwa mtu ambaye siyo mbunge wala waziri. Ikumbukwe pia kuwa Enzi za Mkapa kachukua Gratuity ya Bunge mara 2, kipindi cha Kikwete kachukua Gratuity ya Bunge mara 1 na sasa anachukua nyingine ya 2. Kiwango cha Gratuity ya Bunge unakijua vizuri. Aidha zipo fursa nyingi za mikopo kwa wale wanaoukwaa ubunge hivyo kwa mtu mwenye vision ya maisha haitamsumbua kujenga nyumba 60 kama za JM pale Chato.
Hahaha......!!!
kwanini mke???
hujaona ndani ya chama....%???
Urais ni taasis mkuu usikate tamaa wewe kubali matokeo kilichopo mbele yetu ni kukubaliana na yule ataeingia magogoni na kupiga makelele anapofanya blunder hata huyo unaemfikiria nae ana mapungufu. KUMBUKA MWANADAMU NI MTU ANAEBADIRIKA NDO SIFA KUU NA NDIO MAANA KUNA RAIA WEMA WAKAWA MAJAMBAZI NA MAJAMBAZI YAKAWA RAIA WEMA. Wanzanzibar waliwahi kupiga kura za maruhani wapendwa wao walipoondolewa hivyo na kwanini team Lowasa ambao wanawakilisha hao wananchi wanaomtaka jamaa wasingeshiriki kupiga kura kwa mtu ambae anawekwa kwa ajili ya kulinda mafisadi
Kijiji cha Magufuli pale Chato kinawapa ushawishi baadhi ya watu kumuona Magufuli kama fisadi!
Hebu tujaribu kuiuliza historia na hisabati ili tuweze kumjadili vizuri. John Magufuli (JM) amekuwepo Bungeni na Serikalini tangu awamu ya 3 ya Mhe. Ben Mkapa hadi awamu hii ya 4 ya JK. Ni wazi kuwa JM amekuwepo kwenye taasisi hizo takribani tangu miaka 20 iliyopita. Nyumba 60 kila moja inaweza kuwa na construction value isiyozidi Tsh. 35,000,000/= ambapo jumla yake ni takribani 2.1 billion/-. Ukichukua 2.1billion ukawagawanya kwa miaka 20 utapata Tsh. 105,000,000/= kwa mwaka. Ukienda mbali kidogo ukagawa 105,000,000/= kwa miezi 12 utapata Tsh. 8,750,000/= kwa mwezi, kipato ambacho ni cha kawaida tu hata kwa mtu ambaye siyo mbunge wala waziri. Ikumbukwe pia kuwa Enzi za Mkapa kachukua Gratuity ya Bunge mara 2, kipindi cha Kikwete kachukua Gratuity ya Bunge mara 1 na sasa anachukua nyingine ya 2. Kiwango cha Gratuity ya Bunge unakijua vizuri. Aidha zipo fursa nyingi za mikopo kwa wale wanaoukwaa ubunge hivyo kwa mtu mwenye vision ya maisha haitamsumbua kujenga nyumba 60 kama za JM pale Chato.
Talking of nani msafi, kuiba kwa aina yeyoye tunakufanya uwe mchafu... asiyeiba, kuibia mwananchi yeyote including kuiba mke... huyo msafi.
Unaweza kuongezea,
Barabara ya Bwanga Chato hadi njia kuu Biharamulo Muleba imejengwa na hela zilizokuwa diverted na Magufuli kutoka Kipande cha Bwanga - Biharamulo
mkuu ni vigumu kuwa aminisha watanzania hayo mambo..!!!
Bora ukae kimya kwa sababu sioni ukweli....!!!
Slaa msafi, hajawahi hata kuiba mke wa mtu...
Hahaha hahahaha... Upo wewe!!
Mkuu sita sikitika kama mmoja wapo atakuwepo katika top 5 ndoto itakuwa imetimia kidogo