Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
I can't find logic in ur statement
mgombea mwenza samia suluhu hassan.
Sidhani kama atakuwa msaada kwa magufuli.
Angetafuta jembe la uhakika
Mama Ana Makinda anasema wanawake walikuwa hawafiki kileleni mpaka hii awamu ya nne ndio wamefika kileleni shukrani zimuendee JK😂😂😂😂
Mnaukumbuka huu utabiri wangu?Makamu wa Rais anaweza kuwa yule mama aliyekuwa makamu wa Sitta kule #BMK . Huyu Amina kajichubuachubua hadi basi
Wadau Lowassa simuoni ktk huu mkutano huu wa leo. Kuna nini?
Samia Hassan jamaani , si mtendaji mzuri hata kidogo.........
Hapo ndio magufuli kaingia Choo cha kike
Acha uongo mkapa alikua anasali KKKT AZANIA FRONTT