Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Samia alikuwa Waziri katika serikali ya Mapinduzi Zanzibari...
Kwa sasa ni Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais katika serikali ya Jamhuri ya Muungano..Anashughulikia Muungano...Hivyo anao uzoefu na ofisi ya Makamu wa Rais...
Pia ndiye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
Pia anakubalika Zanzibar...Atasaidia sana kuimarisha Muungano.
Kwa sasa ni Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais katika serikali ya Jamhuri ya Muungano..Anashughulikia Muungano...Hivyo anao uzoefu na ofisi ya Makamu wa Rais...
Pia ndiye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
Pia anakubalika Zanzibar...Atasaidia sana kuimarisha Muungano.