Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

mkuu hiyo futari bado tuu?
 
Jamani juice yangu inapata moto na pirton zangu zitaexpire. Si mtangaze tu nijue nakunywa juice au pirton?
 
Jamani na umeme nao wamekata sasa tutaangaliaje habari uuuwwwiiiiii.....
 
Nadhani na watanzani wanachukulia mgombea wa ccm kama vile ndio Rais, kwanini?? Kama ccm anang'oka October waacheni na mambo yao. Au watz bado tunataka mafisadi???

Mkuu hujaelewa picha kamili. Wengi wetu tunavutiwa na kitakachotokea baada ya majina makubwa kukatwa. Huenda CCM ikafa kibudu. Kuna ka tamthiliya kazuri mno hapo!
 
Makongoro is the 5th president of Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…