Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


AAGHH, NIMEUDHUNIKA, NILIMTAKA EDO KWANI UYU NI UTELEZI WA KUTUSAIDIA UKAWA KWENDA IKULU, SI MBAYA LAKINI, NAJUA ATAWAJOIN ACT NA KUAMISHA KURA NYINGI ZA CCm
 



Mtu mzima na akili zako unaambiwa tafuta wadhamini 450 mikoa 15 unakwenda kuandaa mabus matatu ya kusumbua watu siku ukipewa nchi utafanya mambo ya ajabu.
Alifanya vizuri sana. Kawarahisishia kazi kina Nape.
 
Kama EL hayuko kwenye list njia ya M4C iko tambarare.
Mwalimu aliwaambia SIKILIZENI WANANCHI WANACHOKITAKA.
Wananchi wameonesha wazi kwamba wanampenda E Ngoyaye L
 
Swali ni je Anakatwa au Akatwii?

Updates; muda huu kikao cha kamati kui(cc) kimesha anza ambapo kinatazamia kupata majina 5 ya wagombea..
 
sisi tuchotaka ule mtandao wa majambazi iwe mwisho wao na wakatafute nchi yao maana wametutishia sana hata baadhi ya watu hawana amani,
 
Hata usipo tuletea hayo yanayo endelea Dodoma kwetu siyo Shida sana Kwa sababu macho na masikio yako UKAWA
 
fukuzeni majambazi sisi watanzania wenye mapenzi mema na taifa hili tuko nyuma yenu wala msiongope majambazi na mitandao yao,
 
wacha kujifanya mkali wa taarifa umeketi hom kwako unajidai kuweka updet ni vigumu hii porojo uliwekaje?
 
Mbona wengi hawapo mwakyembe, january makamba
 
Kama EL hayuko kwenye list njia ya M4C iko tambarare.
Mwalimu aliwaambia SIKILIZENI WANANCHI WANACHOKITAKA.
Wananchi wameonesha wazi kwamba wanampenda E Ngoyaye L

Unampenda wewe na familia yako pamoja na ndugu zako wa ukoo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…