namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 610
Amekatwa tayari
Amekatwa nini ? sikio kama Petro wa Yesu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekatwa tayari
Hiyo namba tano ikipenya hapa unaiokotea magogoni trust me.
Kwa habari zi sizo rasmi lakini za uhakika hawa ndiyo tano bora ,
1 Asha Rose
2 January Makamba
3 Muigulu Nchemba
4 Magufuli
5 Lowasa
Hii ndiyo CCM..... ! !
Hakuna fisadi wala mwana makundi ataingia ikulu ila mtu safi mwenye kumuogopa Mungu.
Acha uwongoHata usipo tuletea hayo yanayo endelea Dodoma kwetu siyo Shida sana Kwa sababu macho na masikio yako UKAWA
Mkuu una chuki[emoji15] [emoji12]Kama ana ubavu ahamishie mabasi yake act! Tutamsikia kaungana na kina Mramba kabla ya hiyo Oktoba 25.
Habari Zilizonifikia Hivi Punde Kutoka Mkutanoni Dodoma Ni Kwamba Tayari Yale Majina 5 Yameshapatikana Na Sasa Mazingira Yanatengenezwa Ili Kuyataja Rasmi Na Kwa Mlio Dodoma Hapo Chungulieni Nje Mnaona Ugeni Gani Mkubwa Wa Ghafla Wana Ulinzi Na Usalama Hapo? Mnajua Ni Kwanini ULINZI Huo UMEIMARISHWA Ghafla Mchana Huu? Muda Wowote Kuanzia Sasa Hayo Majina Yatatajwa Na Mchana Huu Baada Ya Mapumziko Kidogo Wajumbe Wanarudi Upesi Ukumbini Kufanya Mchujo Na Kuwabakisha Watia Nia 3 Tu Ambao Kesho Ndiyo Watashindanishwa Ukumbini Na Hatimaye Kupatikana Mmoja. Ninaloweza Kusema Na Ambalo Ni Fumbo Kwenu Sisi Wazalendo Tunamshukuru Sana Na Mno Mzee Philip Mangula, Wazee Wa CCM Na Wenye Heshima Kubwa Na Mdahalo Ule Wa Juzi Wa Taasisi Ya Mwalimu Nyerere Kwani KILICHOPITISHWA Kimetokana Na Matamshi, Matakwa Na Wosia Wao Na NASEMA KUWA CHAMA SASA KIMERUDI KATIKA MISINGI YA BABA WA TAIFA Na Watanzania Wenzangu Haswa WAZALENDO Na Wenye UCHUNGU Na Nchi Hii POPOTE MLIPO TAFADHALINI Anzeni Kufurahi Kwani Mwenyezi Mungu AMESIKIA KILIO CHETU. Nimefurahi, Nimefurahi, Nimefurahi Na Akhsante Mungu. Sasa NITALALA USINGIZI.
Kama Upo Makini PASOME Vizuri Na Kwa Umakini Mkubwa Hapo Nilipoweka Rangi Nyekundu Kisha Utaelewa Namaanisha Nini. KAZI IMEKWISHA Hakuna Cha KASKAZINI Wala KUSINI Na Maslahi Na Ustawi Wa Chama Ndiyo Umezingatiwa Ili Kuua Makundi Ambayo Yangeidhoofisha Chama.
Mchana Mwema Nyote ILA Msikae Mbali Na Radio Zenu Kwani Muda Wowote Patakuwa Na Breaking News Ya UTANGAZWAJI Wa Majina Hayo Ya 5 Bora Mimi Sasa Kwa Furaha Iliyoje Nakwenda Zangu KUFURAHI. Nchi IMERUDI Rasmi Kwa WAZALENDO.
mchungaji wa kanisa la king Henry "church of England" ama?Hakuna fisadi wala mwana makundi ataingia ikulu ila mtu safi mwenye kumuogopa Mungu.
Kikao cha cc ndio kimeanza now
Habari Zilizonifikia Hivi Punde Kutoka Mkutanoni Dodoma Ni Kwamba Tayari Yale Majina 5 Yameshapatikana Na Sasa Mazingira Yanatengenezwa Ili Kuyataja Rasmi Na Kwa Mlio Dodoma Hapo Chungulieni Nje Mnaona Ugeni Gani Mkubwa Wa Ghafla Wana Ulinzi Na Usalama Hapo? Mnajua Ni Kwanini ULINZI Huo UMEIMARISHWA Ghafla Mchana Huu? Muda Wowote Kuanzia Sasa Hayo Majina Yatatajwa Na Mchana Huu Baada Ya Mapumziko Kidogo Wajumbe Wanarudi Upesi Ukumbini Kufanya Mchujo Na Kuwabakisha Watia Nia 3 Tu Ambao Kesho Ndiyo Watashindanishwa Ukumbini Na Hatimaye Kupatikana Mmoja. Ninaloweza Kusema Na Ambalo Ni Fumbo Kwenu Sisi Wazalendo Tunamshukuru Sana Na Mno Mzee Philip Mangula, Wazee Wa CCM Na Wenye Heshima Kubwa Na Mdahalo Ule Wa Juzi Wa Taasisi Ya Mwalimu Nyerere Kwani KILICHOPITISHWA Kimetokana Na Matamshi, Matakwa Na Wosia Wao Na NASEMA KUWA CHAMA SASA KIMERUDI KATIKA MISINGI YA BABA WA TAIFA Na Watanzania Wenzangu Haswa WAZALENDO Na Wenye UCHUNGU Na Nchi Hii POPOTE MLIPO TAFADHALINI Anzeni Kufurahi Kwani Mwenyezi Mungu AMESIKIA KILIO CHETU. Nimefurahi, Nimefurahi, Nimefurahi Na Akhsante Mungu. Sasa NITALALA USINGIZI.
Kama Upo Makini PASOME Vizuri Na Kwa Umakini Mkubwa Hapo Nilipoweka Rangi Nyekundu Kisha Utaelewa Namaanisha Nini. KAZI IMEKWISHA Hakuna Cha KASKAZINI Wala KUSINI Na Maslahi Na Ustawi Wa Chama Ndiyo Umezingatiwa Ili Kuua Makundi Ambayo Yangeidhoofisha Chama.
Mchana Mwema Nyote ILA Msikae Mbali Na Radio Zenu Kwani Muda Wowote Patakuwa Na Breaking News Ya UTANGAZWAJI Wa Majina Hayo Ya 5 Bora Mimi Sasa Kwa Furaha Iliyoje Nakwenda Zangu KUFURAHI. Nchi IMERUDI Rasmi Kwa WAZALENDO.
Kama EL hayuko kwenye list njia ya M4C iko tambarare.
Mwalimu aliwaambia SIKILIZENI WANANCHI WANACHOKITAKA.
Wananchi wameonesha wazi kwamba wanampenda E Ngoyaye L
Hata usipo tuletea hayo yanayo endelea Dodoma kwetu siyo Shida sana Kwa sababu macho na masikio yako UKAWA