TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Wewe umetudanganya, Kamati ya Maadili na Mbowe wapi na wapi? Mbowe labda Mkutano mkuu na hii ni kama wamealikwa.Namuona mbowe anaingia kama msikilizaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umetudanganya, Kamati ya Maadili na Mbowe wapi na wapi? Mbowe labda Mkutano mkuu na hii ni kama wamealikwa.Namuona mbowe anaingia kama msikilizaji
Lowassa hakatwi
wamasai hawakatwi
Wamasai hawakatwi
huyu mtoa mada yupo kigamboni hizo update ni feki tu.itapendeza zaidi kama ukitupatia na picha mkuu
Thubutuuuuuuu! Tusiwe wanafiki, raisi atatoka kwa MAGAMBA.
Tetesi EL ametemwa nje! time will tell!!
Lowassa
Kama EL hayuko kwenye list njia ya M4C iko tambarare.
Mwalimu aliwaambia SIKILIZENI WANANCHI WANACHOKITAKA.
Wananchi wameonesha wazi kwamba wanampenda E Ngoyaye L