Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

umenisononesha sana ! unakesha kwa ajili ya chama cha upinzani ccm ?
 

Hatulali tunataka MKONO sivyo mtuache tijidanganye turidhike
 
huku jmani kingunge na madabida niwanted atakaefanikiwa hat kupiga Kofi shavu lammoja wao ameahidiwa reward kubwa na jamii
 
we utaumia matumbo sana ,tunasubiri kumjenga kisyphologia ili tukimkata asipata presha mkuu,lakin lazima tumkate iwe isiwe..maana hakuna namna sasa lazima akatwa..
 
Nimeamin el ndo chama na chama ni yy hakuna wa kumgusa.,,,,gusa unase, cku mbil tano nafuu haitok kulikon??
 
umbea tu ndio unakuwek macho mpaka sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…