MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
ilikuwa kuvuana maGAMBA sasa hivi kumKATA
kumvua gamba mlishindwa mtaweza kumkataaaaaaaaaaa???????????????
Wasaidie mkasi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilikuwa kuvuana maGAMBA sasa hivi kumKATA
kumvua gamba mlishindwa mtaweza kumkataaaaaaaaaaa???????????????
Wadau mmeshaambiwa, majina matano yatajulikana kesho yatakapopelekwa kwenye kikao cha NEC, so taarifa zingine ni uongo jamani, tuwe Makini na kukumbuka kuna sheria ya makosa ya mtandao, tukale tuisubiri kesho nayo siku, mwisho wa siku atajulikana tu. Mnayetaka AKATWE, atakatwa tu, eenh, maana sasa Hamna namna
Januari
Wasira
SSumaye
MMwigulu
Muhongo
tetesi yoyote yenye best 5 isiyo na jina la Prof. Mwandosya inakuwa null.
huku jmani kingunge na madabida niwanted atakaefanikiwa hat kupiga Kofi shavu lammoja wao ameahidiwa reward kubwa na jamii
umbea tu ndio unakuwek macho mpaka sasaNimepitia tovuti moja
Inayoheshimika wanadai kikao
kinaendelea na matokeo ya 5;nafuu yatatolewa kesho!!!
Kama ni kweli matokeo ya 5nafuu yAtatolewa
Basi Nuru na Giza vimekutana !!!!
:
Hata hivyo sitarajii kumpa yeyote kura yangu,,!
Natia zangu UKAWA !!!
Kwendraaaaaaaaaaaaa
Mmmh! Tano chafu
Akatwe tu huyo fisadi