Na Hapo Atakayepitishwa Na CCM Ni Dr. John Pombe Magufuli Kwani TEAM LOWASSA Wote Wataamua Kumuunga Mkono Yeye ILI Kumkomoa Membe Na Hapa Ndipo Ule Ubashiri Wangu Kwenu Wa Muda Mrefu Kuwa Rais Atakuwa Kati Ya Magufuli au Muhongo au Mwandosya Unakaribia Kutimia. Kama Unajua Siasa Na Fitna Zake Hutopata Shida Kujua Kuwa MAGUFULI Ndiyo CCM Flag Bearer Na Possible 80% Our Next President. Mliokuwa Mnanitusi Kuhusu Lowassa Wenu Endeleeni Kunitusi Na Mliobaki Najua Kesho Saa 11 Jioni Mtanivulia Kofia Kwani Magufuli Ndiyo Anapitishwa Rasmi.