Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Nimegundua mtoa mada ni muongo.. hayuko Dodoma..ngoja niwe mvumilivu..fisadi lazima ling'oke
 
lowasa Ana mkono wa sweta? mana naona Kila mtu anakatwa, hakatwi. kwan hakukatwa mpaka sasa?
 
Kikao cha maadil na usalama chini ya Mwenyekiti wake Ndg Jakaya Mrisho Kikwete kilichokutana katika ukumbi wa whitehouse kimemaliza hivi punde.

Kikao hicho kilichokuwa na ajenda moja tu ya kujadili na kupitisha majina ya wagombea watano watakaopitishwa na NEC ya CCM baadae leo.

Taarifa iliyopo ni kuwa Jaji Augustino Ramadhani, Mhe Pinda, Bernard Membe, prof Mwandosya pamoja na mzee Wassira ndio waliopitishwa na kikao hicho.

Kikao cha Kamati Kuu kitakachoanza saa kumi na moja kitajadili majina matano hayo..

hizi mbwembwe hazidaidii tena kuwa na akili

watu wapo kazini hizi kelel zako hawazisomi
 
Walaumu na hao wengine pia kwamba wanatakiwa kuonyesha utumishi uliotukuka kuitoa CCM, kumbuka pia wapiga kura ni wengi kuliko wanachama wa CCM sema na hao mbadala wamekosa weledi wa kuonyesha vitu tofauti katika kuboresha maisha ya waTZ.

Matamshi yao na matendo yao kwa muda waliopata unawatisha wananchi na wanaona bora waendelee kuwa na Zimwi likujuualo, wapambe wao wamezuia wasikosolewe ili kuwajengea uwezo zaidi wakufanya maajabu na badala yake wanajichelewesha katika safari ya mageuzi.
 
........................
..........................
UPDATES.......
Tuhuma nzito zimetolewa na idara ya usalama wa taifa dhidi ya Edward Lowassa kuwa aliisambaratisha vilivyo idara hiyo nyeti. Kufuatia tuhuma hizo wazee waliowahi kuwa viongozi waandamizi wa juu serikalini waliokuwepo ndani ya kikao cha kamati ya maadili na usalama wamependekeza kuwa Lowassa aondolewe mara moja na asijadiliwe tena kamati kuu.

Hizo ni habari za uhakika kutoka kwangu G Sam

haa haa vipi patachimbika? maana kingunge kasema kama lowasa atakatwa patachimbika.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa ngoja nisuke mkeka 5top (Augustino Ramadhani, Asha rose Migiro, Magufuli, Makongoro Nyerere, Mark Mwandosya .


Top 3 Augustino Ramadhani, Magufuli, Mark Mwandosya.


Na mwisho watakuwa hawa Augustino Ramadhani na mgombea mwenza Magufuli namaliza kufunga mkeka tuonane Jumapili.
Kama Makufuli akiwa mgombea mweza ni bora angebak kuwa waziri tu....
 
Back
Top Bottom