Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kuna stori niliwahi kusikia kuwa aliye achiwa kafimbo na nyerere ni lazima aje kuwa rais.
 
Magufuli atatekeleza ilani ya ccm. Na ilani ya ccm inaamini katika wizi wa mali ya uma. Hatatusaidia as long anatoka ccm
 
Hahahaaa kumbe na wewe umestukia eeh?

Ukiona mtu anaogopwa sana na mpinzani wako basi jua kuwa huyo ndo anafaa.

Manake kama angekuwa hafai wangejinyamazia kimya tu ili CCM wamchague mgombea bomu halafu waje wamshinde kwenye uchaguzi.

Lakini sasa hivi ni kana kwamba wana-UKAWA wanaishauri CCM kuhusu nani anafaa na nani hafai.

I mean, kwa nini Lowassa anachukiwa hivyo?

I guess if you ain't got no haters you ain't poppin' and on that note Lowassa is definitely poppin'.

Ina maana magamba wote wanampenda hata akina Nape ila wanaomchukia ni UKAWA tu?
 
Kweli ccm imeishiwa maarifa/maamuzi/mipango/mbinu hata mawazo/maono.

Kinachoendelea hapo dodoma ni kama michezo fulani ya kuigiza yani kiwango hafifu. Sijui ni nani kawaloga....!!!

Aibuuuuu
 
Back
Top Bottom