We bibie mpaka ramadhani inakata hata kunialika futuru?
Bora Ata asikualike. .atakubokoharamu shauri ako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We bibie mpaka ramadhani inakata hata kunialika futuru?
Umeharibu uliposema wapo kwenye mchakato wa kutafuta 3 bora wakati kikao kitakachofanya hivyo hakifanyiiki sasa,hii ndio inafanya habari yako nzima kuwa porojo
Dada kalale
Go and sleep my dear sons and daughters, let us meet here tomorrow at 10 am.
Confirmed: Kikao kimemalizika na wajumbe wametawanyika, hakuna taarifa zozote za majina matano. Tusubiri msemaji wa chama.
Kikwete anamalizia muda wake na wala hajali ni nani ataekuwa Rais ajae, wameshindwa kumchezea jana na juzi wataweza leo?
Unanshangaza!
Never mind of this language bro. I went to Saint Kayumba. Will that information satisfy you? Next time dont use capital letters at the beggining of every word you type.
Nape katamka kuwa baadaye kukikucha ndipo watataja majina hayo matano
Hii si shule ya kiingereza, kama umeelewa maudhui topa hoja na si kupanua mdomo wako u--kao kwa kupoteza muda wako na mambo ya kiingereza. Siku nyingine fikiri kidogo kabla ya kumwaga wino. Umeelewa au ndio kichwa chako ki-gu-mu.
Go And Learn The Meaning Of Trademark Then Come Back To Me Quickly So That We Can Now Argue Logically. Otherwise I Just Advice You To Keep Your Pig Mouth Shut.
I Just Admire Your English BUT I am very Keen To Know Which School Did You Go To And If Possible To Know Which Teacher Taught You This Kind Of English Otherwise I Appreciate Your Compliment Towards Me And May You Please Keep On Trusting Me.
Mwaka wetu huu TEAM ENL
Kikao kimeisha.mweshimiwa nchimbi anasikitika haki haikufuatwa.anasema nape atatangaza majina matatu yaliyopitishwa. Kiukweli bwana Lowassa amepigwa chini. Membe Ana nafasi kubwa ya kupitishwa kuwa rais. Nchimbi amelalamika Sana.
Nchimbi na Sofia wamelianzisha tayari inaonesha Lowasa atakuwa katolewa na ndo maana imekuwa ngumu hadi sasa