Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

yaani watu kama wewe ni mizigo kwa taifa! dini na urais Tanzania vinahusiana nini? akiwa muanglikana au muislam hafai kuwa rais? acha ubaguzi kama unataka rais wa dhehebu lako basi mumchague aongoze dhehebu lenu na si nchi...ikiwa unavyotaka wewe basi rais achaguliwe padri au shekhe! shame on you...

No doubt,and by denying an authentic truth,men we could be making fallacious arguments. Look at the presidential candidates top five,only Magufuli belongs to the other group of believers,the rest are of the same faith!
 
Wewe utakufanna kijiba roho chako hiko mwehu weeeee wenzako ndo hao tumeshamjua Presdent wetu hatutaki shida.

Acha kupaniki kila mtu ana haki ya kutoa maoni.Mabilioni ya Libya na kodi msizolipa kwenye biashara zenu zitawatokea puani.Acha kila mtu awe huru kutoa maoni yake.
 
Huyo(Makamba) kawekwa kwa sababu kuu 4
1.Hana kundi kubwa la kuweza kumuathiri Membe kwenye NEC na Mkutano Mkuu


2.Wanamuandalia mazingira ya 2025

3.Wanajaribu kuzuga kuwa hata vijana wana nafasi-amewakiisha kundi la vijana

4.Ni kulipa fadhila za mzee Makamba
Mkuu,
Ninakubaliana na uchambuzi wako.
 
Wafuasi wa Lowasa watamtoa Membe kwa kura ya hasira. But this is a Makumbusho guy! Who knows. Magufuli anachagulika nje ya Chama. Anyway, let's wait and see. JK has exercised what Mkapa failed to do!
 
Sasa naendelea kuthibitisha kwa vitendo kuwa lowasa ni muongo. kikwete na lowasa walikutana barabarani
 
ukawa tushindwe wenyewe tu maaana huu ugomvi wao hauishi leo
 
Ahsante Mungu kwa kusikia kilio cha watanzania, manake angepitishwa huyu mamvi waja wako tungepata shida sana.
Membe iz our new prezidaaaaaaaaa
 
Hii taarifa kama ni ya kweli na ya mwisho kwa Top 5 ya ccm!! Basi kinachotegemewa ni kua:
Mh.Magufuli kupeperusha bendera ya urais.

na muelekeo wa serikali ijayo ni km hivi:-
-Rais = Magufuli
-Makamo = Bilali
-PM = Membe, Sita, Mwakiembe, Migiro au Muhongo.

-Nchimbi, Mwingulu, Makamba = uwaziri kamili.
-Makongoro, Amina = Nafasi nyeti kitaifa au kimataifa.
 
Dua za watanzania zinamekubalika ndani ya mwezi huu mtukufu ccm inakwenda kuangamia
 
Ukiona habari ina membe top5 ujue ni fiksi... Huyo jamaa hata top 20hawezi kuwepo

kwa taarifa hilo ndo chaguo la mkuu. angalia nafasi ya uwaziri alioipata. aliwekwa ile mkuu aliokua nayo kabla ya ukuu ahifadhi MAMBO. ILE ya mambo ya nje. SASA Mkuu anang'atuka anataka ashike nafasi yake ili ahifadhi MAMBO
 
1.Members:.Huyu ni ndugu na kipenzi wa mwenyekiti na familia kwa ujumla, alishaandaliwa toka siku nyingi,ndo maana hata jana Rais alipoteua wasaidizi wake Ikulu ilikua lazima mtu ufikirie Mara mbili mbili na huyu ndiye mgombea atakayepeperusha bendera ya chama.
2.Magufuli:Huyu nae utendaji wake pekee ndiye uliempatia nafasi hakuna kiingine japo nae ni swahiba wa karibu wawenyekiti.Kwake kupenya kwenye vikao vya mbele ni ngumu sana Labda busara ya kawaida tu itumike.Anaweza kua PM japo kiuhalisia yeye ni bora kuliko wote walioteuliwa.
3.Asha Rose Migiro: Huyu kwanza jinsia ndiyo kigezo pekee japo nae alikwishaandaliwa toka siku nyingi lakini baadae upepo ukahamia kwa mebe. Kwake kupenya mbele inategemeana na kelele za wanawake wenzake mkutano mkuu.
4.Mama Amina: Huyu jinsia na Uzanzibar wake kama mwanamke ndivyo vilivyombeba, Kuna uwezekano mkubwa akawa makamu wa Rais maana naye kupenyeza kwake mbele ni kelele za wanawake wenzie huko mkutano mkuu.
5.January Makamba: Ikumbukwe kwamba huyu bwana baba yake aliwahi kua katibu mkuu wa chama, hiyo pia ni sababu kwahiyo kuna uwezekano kwamba hii ni fadhila na anaandaliwa kwa baadae kumrithi atakaekua Rais,Sidhani kama Janauary Makamba Anaweza kumkaribia Mwigulu nchema kiutendaji wa kazi.Anayo nafasi kubwa sana kupenyeza huko mbele maana wanaomuunga mkono ni wengi lakini atawekwa kando kama JK 1995 nasubiri baadae.

Ukweli na uhalisia ndo huo!

Uchambuzi mzuri usio kuwa biased.
 
Back
Top Bottom