Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu kwa mujibu wa mjumbe ndani ya kikao cha Nec amesema January magufuli na migiro ndio waliopenya tatu bora
From Inside: Tatu bora(3)
▶January Makamba.
▶Magufuli.
▶Migiro tatu.
Inapangwa (Tetesi)
▶Magufuli
Anaandaliwa kuwa Rais.
Oya acheni uzushi bwanaa
ccm ni watoto wa baba mmoja hawana tofauti ni walewale tu.refer Bunge la katibaYule bingwa wakukariri km za barabara na mtendaji bora ktk baraza la mawaziri kipenz cha wa Tz ndie atakayekuwa rais wa Jamuhuri ya muungano. Tumuombe nakumwambia Mungu ampe nguvu na ustadi mkubwa kulitumikia taifa la Tz. Thank you God
Dont tell me all four options of WAMA PROJECT have failed to convince members. Basi thanks to GodYule bingwa wakukariri km za barabara na mtendaji bora ktk baraza la mawaziri kipenz cha wa Tz ndie atakayekuwa rais wa Jamuhuri ya muungano. Tumuombe nakumwambia Mungu ampe nguvu na ustadi mkubwa kulitumikia taifa la Tz. Thank you God
Mwanzo wa mwisho wa CCM ndio sasa.
- Dr. John Pombe Magufuli
- Bernard Camillius Membe
- Dr. Asha Rose Migiro
Baadae Atakayepita Mwishoni Atakuwa Ni Dr. John Pombe Magufuli Kwasababu Wajumbe Wote Wa Mkutano Mkuu Na Waliokuwa Wakimuunga Mkono TEAM NIMEKATWA NALIA Wataamua Kumuunga Mkono Magufuli Kwani TEAM NIMEKATWA NALIA Hawawezi Kuthubutu Kuwapitisha Membe Na Migiro Kwakuwa Wanajua Kuwa Wote Hao Ni Pro JK Hivyo Wataamua KUKINUKISHA Ili Kuwakomoa. Magufuli Ndiyo CCM Flag Bearer Na Possible Next President IWE ISIWE Na Mazingira Yote Yanambeba Na Kama Ni Mtanzania Unayejitambua Basi Ni Lazima Tu UTAPENDA Magufuli Awe Kiongozi ( Siyo Mtawala ) Ajaye. Kiongozi Ni Mtu Anayekubalika Na Mtendaji Wakati Mtawala Yeye Ni Mpenda Utukufu, Kutembea Na Kusimamiwa. Tanzania Ya Sasa INAMTAKA Kiongozi Na Siyo Mtawala Na Magufuli Naturally Ni Kiongozi Japo Kama Binadamu Ni Lazima Tu Atakuwa Na Mapungufu Yake ILA Mema Yake Na Utendaji Kazi Wake Ni Wa KUTUKUKA. Binafsi Namtakia Kila La Kheri Na Inshaallah Dr. John Pombe Magufuli Atapita....Amen!