Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
Hizo affairs ndugu yangu sio work ethics maadili lazima yazingatiwe ata hayati mwalimu alishawahi sema na nchi za wenzetu kosa ili kubwa sana unaweza kupata penalties sasa wewe unataka kutetea uzinzi kuwa kitu cha kawaida ata kama wote tunafanya as long as mtu yupo capable kusaliti vow ya ndoa ambayo inawekwa kanisani sio kazi ngumu kusaliti vow nyingine yeyote ilo nalo doa bwana regardlessly
Nimekuuliza ni nani katika ccm hayafanyi? usimnyooshee kidole kimoja wakati wapo wengi wachafu kuliko yeye na wanawahonga pesa kibao. Bilali mbona ana wake wawili mbona humsemi!?? hakuna msafi ndani ya ccm professionally and ethically. kama unamponda magufuli mtaje mmoja aliyesafi zaidi yake anayefaa.