Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hizo affairs ndugu yangu sio work ethics maadili lazima yazingatiwe ata hayati mwalimu alishawahi sema na nchi za wenzetu kosa ili kubwa sana unaweza kupata penalties sasa wewe unataka kutetea uzinzi kuwa kitu cha kawaida ata kama wote tunafanya as long as mtu yupo capable kusaliti vow ya ndoa ambayo inawekwa kanisani sio kazi ngumu kusaliti vow nyingine yeyote ilo nalo doa bwana regardlessly

Nimekuuliza ni nani katika ccm hayafanyi? usimnyooshee kidole kimoja wakati wapo wengi wachafu kuliko yeye na wanawahonga pesa kibao. Bilali mbona ana wake wawili mbona humsemi!?? hakuna msafi ndani ya ccm professionally and ethically. kama unamponda magufuli mtaje mmoja aliyesafi zaidi yake anayefaa.
 
kitu kibaya kabisa kwa ccm ni system.utamuona mtu mzuri kabisa wakati wa kugombea but akishaingia madarakani "system"iliyomuweka madarakani ndiyo inamuendesha.yaani utashangaa ule moto aliokuwa nao wote unapotea anabaki mtizamaji tu.yaani utabaki unashangaa hata huyu?.hapo kuna system inambeba,akishaingia lazima aitumikie

Hata JK alipoingia mwaka 2005 walimsifia mno. Magufuli akishakuwa Rais na akaanza mambo yake, wataanza kulalamika hawa. Kazi yetu itakuwa kuwakumbusha. Watu wamesahau kabisa kwamba tatizo si nani anagombea. Bali jumba zima linaloitwa CCM. Kwani Magufuli akiwa Rais atafanya kazi na nani? Si hawahawa kina Hawa Ghasia, Mwigulu, Makamba, Sophia Simba, Nagu etc.? Je, kwa kuwa networks za wezi na incompetency iko supported na CCM machinery itakayomweka madarakani, atawezaje kuvunja hizo networks and to break hegemony? Naamini, voters will be well advised to vote CCM out regardless of who the presidential candidate is.
 
napingana na wewe kwa nguvu zote eti Kikwete alionewa aibu. ukweli ni kwamba hata mkapa hakumshinda Kikwete na yeye mwenyewe analijua hilo kama sio nyerere basi urais kipindi kile kilikuwa cha kikwete. acheni kupindisha ukweli eti alionewa huruma wakati kura hata 1995 zilitosha.

Ni katika mkutano mkuu wa taifa jana ambapo mikoa na kanda kadhaa zilionekana kufadhaishwa na matokeo ya mchujo wa tano bora na tatu bora. Mikoa hiyo haikuweza kutoa ushirikiano kwa mheshimiwa mwenyekiti kwa kuwa ilitawaliwa na huzuni huenda na chuki. Mikoa mingine iliyonuna ni Mtwara na Lindi kwani nao hawakuipokea salam ya JK kama ilivyozoeleka .Membe alitarajia sana ,Lowasa alitaraji sana. Mwandosya alidhani kama ya kikwete kuwa safari hii watamuonea aibu wakala kichwa Tanga walikua na ndoto za ghafla zikatoweka. Mfumo wa vyama vya siasa kuketi kikanda na kimikoa unabidi kutazamwa ki-great thinking
 
Aiseeee...kufumba na kufumbua CCM imekua moja, nyuma ya mgombea mmoja. Shkamoo ccm!!!
Sasa lazima nkubali kua mission ya UKAWA kushika nchi imekua next to impossible, maana hamna namna nyingine sasa
 
Nimekuuliza ni nani katika ccm hayafanyi? usimnyooshee kidole kimoja wakati wapo wengi wachafu kuliko yeye na wanawahonga pesa kibao. Bilali mbona ana wake wawili mbona humsemi!?? hakuna msafi ndani ya ccm professionally and ethically. kama unamponda magufuli mtaje mmoja aliyesafi zaidi yake anayefaa.

Bilali ni Muslim afu Ana wake wives yaani sio mistress sasa kama amna wasafi alternative hazijaisha bado tuna ukawa tuwape ao atuwezi kujigeuza lab rats et tufanyiwe majaribio ii ni nchi sio maabara
 
Kwa uteuzi huu wa CCM kwa kumpitisha Magufuli hakika nakuambia UKAWA lazima wagawane mikeka.

Natamani kusikia nasaha za ocampo four

ocampo four jana nilikutana nae NAM hotel hapa dom akihaha jinsi gani atarudi kwao maana akaunti na 4u yote anayo Bashe ambaye amechanganyikiwa kiasi cha kushindwa kupatikananika.
 
Last edited by a moderator:
Nyumba 60 mnapiga kelele fisadi wakati watu wameamua kuweka vitega uchumi wazi, wakificha hela napo mtasema fisadi maana mtaanza jamaa na vyeo vyote ana nyumba moja ya kawaida. Kwa level ya Magufuri yaani umri wake na nyadhifa alizoshika nyumba 60 ni kawaida kwake, kama mbunge wa eneo lile itakuwa ajabu kama alikomaa bungeni Chato iwe wilaya alafu asiwe miongoni mwa wananchi wa Chato wanaojenga nyumba kwa ajili ya kupangisha watumishi wa serikali na wengine (fursa ya kibiashara). Tuamke watz wenzangu si kila mtu anapofanya kitu kikubwa ni fisadi na hii ipo hata maifisini yaani mnalipwa mshahara mmoja mwingine kajenga na mwingine kajaza shelf la viatu alafu baadae aliejenga anaambiwa fisadi

Nakupa tano mkuu. Kwani ni wapi imeandikwa kuwa mtumishi wa umma ni lazima awe maskini. Unakuta mko ofisi moja but mna financial approach tofauti. Wewe unaejishughulisha kwa kutumia muda wako vizuri pamoja na kuanzisha shughuli ndogo ndogo nje ya ajira na nje ya muda wa kazi ikiwemo kuwa na nidhamu na matumizi ya fedha unayoipata, ukijenga tu, inakuwa nongwa.
 
Magufuli Hafai Kuwa Rais: Siyo Msafi na Hajawahi kuwa Msafi

1. Nyumba za Serikali
Kwa hakika hili ni doa kubwa sana kwa Magufuli. Ni katika kipindi alichokuwa Waziri wa Ujenzi (awamu ya 3) alishawishi kwa nguvu na msukumo mkubwa sana mpaka kufanikiwa uuzaji wa nyumba za serikali.

Hii hatua ya Magufuli halina tofauti na kile alichokiita CAG Professor Assad “Political Entrepreneurship”. Professor Assad mara baada ya kuingia madarakani alisema wazi kwamba mradi wa Magufuli wa kuuza nyumba za serikali ni ufisadi mkubwa sana. Professor Assad alizidi kusema ya kwamba alichokifanya Magufuli yalikuwa kwa manufaa yake binafsi na ilikuwa ni “personal political entrepreneurship”.

Katika uamuzi huo, Magufuli alienda mbali zaidi mpaka kugawa bure baadhi ya nyumba kwa ndugu zake na mahawara zake. Kwa mfano Dada Kabula ambaye ni mmiliki hewa wa Kebby’s Hotel iliyopo Mwe
Duh! no comment.....​


Umejiandikisha BVR? Kama 'hapana', pole sana; kama 'ndiyo' tukutane kwenye kisanduku cha kupigia kura.​
 
...kwa uwezo mdogo walionesha hao wagombea ktk kujieleza sidhani kama ccm itakubali kushiriki kwenye mdaharo wowote...
 
Nyumba 60 mnapiga kelele fisadi wakati watu wameamua kuweka vitega uchumi wazi, wakificha hela napo mtasema fisadi maana mtaanza jamaa na vyeo vyote ana nyumba moja ya kawaida. Kwa level ya Magufuri yaani umri wake na nyadhifa alizoshika nyumba 60 ni kawaida kwake, kama mbunge wa eneo lile itakuwa ajabu kama alikomaa bungeni Chato iwe wilaya alafu asiwe miongoni mwa wananchi wa Chato wanaojenga nyumba kwa ajili ya kupangisha watumishi wa serikali na wengine (fursa ya kibiashara). Tuamke watz wenzangu si kila mtu anapofanya kitu kikubwa ni fisadi na hii ipo hata maifisini yaani mnalipwa mshahara mmoja mwingine kajenga na mwingine kajaza shelf la viatu alafu baadae aliejenga anaambiwa fisadi

Unaufahamu mshahara wa Magufuli? Kama huufahamu, utafute halafu linganisha huo mshahara na nyumba 60. Then, rudia kupost tena kwamba "nyumba 60 si ufisadi bali kuweka mali wazi", "Nyumba 60 ni kawaida kwake". Na nyumba 60 ni za nini? Kwani yeye tembo? Ukiangalia kwa makini utagundua hahitaji nyumba 60. Ni ushamba tu.
 
WATU WALIOMZIDI LOWASSA UBORA..
1. Mwanamke Balozi Amina Salim Ali
2. Mwanamke AshaRose Migiro
3. Mtoto mdogo aliyeingia bungeni 2010, Kijana January Makamba
4. ....,.............. Huyu simtaji, maana hata Lowassa hakupanga kupambana nae.. 😀😀


Kiufupi, Lowassa amezidiwa mbali sana na wanawake wawili, wanawake ambao hata kujieleza walipata shida jana, lakini ndo hivyo tena..

Hivi lowassa alifikiria kupata kweli??!! 😀😀😀😀

Kwanini lakini aligombea?!!😀😀


My take: Uchaguzi huu nikiwa mzima lazima nikampe mwalimu mwenzangu wa CM kura yake moja.. Naamini itachangia kumfikisha ikulu..

Hongera kaka Magufuli, wewe ushapita, hawa wanaozidiwa uwezo na wanawake wanaingia tano bora wao hawapo mi naona zengwe tu...😀😀😀


Wanawake oyeee... Yaani CCM wamenifurahisha sana, Eti wameona ni bora wanawake wawili wasiojua kujieleza kuliko mwanaume mmoja mwizi😀😀😀😀🏃🏃🏃💨💨💨💨💨💨
 
Unaanza kutulisha matango pori baada ya kuona Magufuli kapeta,wewe huko kwenye system umeyajuaje haya.Story za vijiweni unaleta hapa.Magufuli kafaidika kwa kutokuwa na makundi na vita ya Team Membe na Lowassa ndio imemsaidia,given na historia ya utendaji wake.

Hapana, sio mimi ni liyesema hayo, yaliandikwa humu ndani mwezi kuwa kuna mgombea wa CCM ameongezewa Ulinzi.ilifahamika ni Magufuli.

Sasa watia nia 40 akaongezewa ulinzi mmoja kwa lipi?kiprotokali anayetoa oda za aina hiyo anafahamika. nilichofanya ni ku-connect dots backwards, mimi zio mtabiri.

usinune sana ni siasa tu. mfikie hatua mkubali you have been played.
 
Back
Top Bottom