Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

Ndiyo kazi ninayo fanya- kuwatahadharisha watu kuwa hizi updates
zimehaririwa kujenga taswira kuwa
1. Mbowe ameonewa
2. serikali haina ushahidi
3.polisi ni wajinga
4. mawakili waserikali hawajui
5. mahakama zinaupendeleo au zimebanwa na dola
Hivi unajua unachokisema hujui unachosema. Watu tuko Mahakamani KILA siku ya kesi. Yanayoripotiwa NI hayo hayo yanayo ripotiwa. Hebu Acha kutaharibia Tamdhilia yetu. Kaa chonjo saa mbaya.
 
Kweli kuna watu akilizao ziko nyuma ya makalio
 
Urio ANAKIRI kuwa hakuna mtu zaidi yake aliyekuwa anawafahamu watuhumiwa na mwenendo mzima wa mipango ya ugaidi, lakini ANAKANA hakuwa 'msiri' wa kina Kingai.

”The lights are on but nobody at home”.[emoji276]
 
Urio ANAKIRI kuwa hakuna mtu zaidi yake aliyekuwa anawafahamu watuhumiwa na mwenendo mzima wa mipango ya ugaidi, lakini ANAKANA hakuwa MSIRI wa kina Kingai.

”The lights are on but nobody at home”.[emoji276]
Hapo ndiyo ujue ukubwa wa serikali na dola zake
 
Hiki kipengele ndo nimemwambia mtu mmoja anayejiona anajua sheria kwamba baada ya kuona shahidi ataharibu zaidi Mawakili wa serikali wakaamua Ku give up.
 
Jamani ninyi mmeonaje? siku ya leo 3rd Feb 22 imekuwa ndefuu mno, kila kitu kinaoba boa tu - yaani bila hawa mashahidi wa uongo kufanya siku iwe fupi ni shidah.
 
Jamani ninyi mmeonaje? siku ya leo 3rd Feb 22 imekuwa ndefuu mno, kila kitu kinaoba boa tu - yaani bila hawa mashahidi wa uongo kufanya siku iwe fupi ni shidah.
nasikia upande wa Mashtaka wapo 27 lkn kufika kwa Lt Dennis Leo Urio wamepotea au Sabaya hatakiwi tena kutoa ushahidi maana ndiye mlalamikaji wa kwanza toka alipokwama Hotel ya Protea kule Machame akidai Mbowe ana makomandoo
 
nasikia upande wa Mashtaka wapo 27 lkn kufika kwa Lt Dennis Leo Urio wamepotea au Sabaya hatakiwi tena kutoa ushahidi maana ndiye mlalamikaji wa kwanza toka alipokwama Hotel ya Protea kule Machame akidai Mbowe ana makomandoo
nasikia upande wa Mashtaka wapo 27 lkn kufika kwa Lt Dennis Leo Urio wamepotea au Sabaya hatakiwi tena kutoa ushahidi maana ndiye mlalamikaji wa kwanza toka alipokwama Hotel ya Protea kule Machame akidai Mbowe ana makomandoo
Du umenikumbusha Sabaya alipoenda na magari yenye namba za UN usiku wa manane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…