Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyecheza nafasi ya kibatala alikuwa shallow sana.. Wanarudia igizo zima kwa ingizo jipyaMashahidi wanaanza kuingia mitini?
Au huyu wa leo riheso haikwenda vizuri wanaenda kurudia?
Mwuza mbege anayekumbuka namba ya bastola,magazine .... Utajuaje kama ni anti Ezekiel...maana hata sura haikuonekanaLeo siku nzima atakuwa darasani akikaririshwa. Tatizo hawa jamaa hawajui kutafuta vipaji.... Sasa kama yule muuza mbege si wangemtafuta Wema Sepetu awabebe tu...
Hahahaa muuza mbege kiboko yule. Maana anajua kabisa magazine ni nini na inakaa wapi. Kwenye risasi ndo kabobea kabisa... Yaani anaijua bastola kuliko mbege...mwuza mbege anayekumbuka namba ya bastola,magazine .... Utajuaje kama ni anti Ezekiel...maana hata sura haikuonekana
Tatizo kubwa kwenye hii kesi anajaribu kutetea uongo....!huyo wakili wa TIGO akikutetea mahakamani asiee unafungwa hata kama hukutenda kosa.
Hahahaaaa........ Kaina heri nusu shari!Labda wa Leo ataweza kuthibitisha hata kwa 1% ugaidi wa Mbowe !
Mwanasheria wa Tigo tena wakili aliye kwenye kiapo mahakamani, anatuambia hajui kama Freeman Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMAYule alimaliza jana, hana hamu tena ya kurudi mahakamani
Niko hapa Mobitel kumsalimia shahidi!Mkuu nakuona uko njiani unawahi foleni ya buku 7 lumumba🏃🏃🏃
Itakuwa walichekewa kumpa mafunzo huyo shahidi,Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi ilisikiliza shahidi ambae ni mwanasheria wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo. Leo Jamhuri inaleta shahidi mwingine. Kuwa nami.
=========
Jaji ameingia..
Kesi inatajwa..
Robert Kidando anatambulisha Jopo la mawakili wa serikali Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi Jaji anawaita washtakiwa na wote wanaitika kwa kusimama
Wakili wa Serikali: Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa. Mpaka Jana Jioni tulipata Shahidi ambaye tulipanga Kuja naye Leo. Lakini Asubuhi amepata Tatizo la Ki Afya lililosababisha Kushindwa Kuja Mahakamani. Kwa sababu hiyo tunaomba Hairisho Mpaka Kesho
Wakili wa Serikali: Na Kwamba Kwa sababu hii ipo Nje ya Uwezo Wetu pia tunaweza Kupata Shahidi Mwingine
Jaji: Wakili wa Utetezi, Kibatala: Kwa Kufuata amri ya mahakama Iliyokuwa imetolewa Jana, sisi kwa upande wetu tulikuwa tumejiandaa vizuri, Lakini kama wenzetu wanasema hivyo ndiyo Ilivyo tunaomba wenzetu kesho wajitahidi, tuweze kuendelea ili tuweze kumalizia kwa wakati
Jaji: umezungumzia Kwa niaba ya wote au!? Kibatala: kwa niaba ya wote Mheshimiwa Jaji anainama, anaandika. Mahakama ipo kimya wakati Jaji akieendelea kuandika Sura za watu wengi zimeweka makunyanzi Washtakiwa wanacheka na kunong'onezana Jambo fulani, hatuwasikii.
Jaji: kuzingatia maombi yalitolewa na wakili mwandamizi Robert Kidando shahidi kushindwa kufika mahakamani Na kuzingatia ukweli kwamba maombi hayo hayajapingwa na utetezi Nahairisha Shauri mpaka kesho saa 3 ambapo upande wa mashtaka mnaaelekezwa kuleta mashahidi
Jaji anatoka!
Hahaha. Kumsalimia shahidi au kumpa pole kwa nyundo za jana?!Niko hapa Mobitel kumsalimia shahidi!
Shahidi kaingia mitini kazima na simu, ya nini kuaibika bwana.
Ameharibu sana reputation ya kampuni. Binafsi nimeacha matumizi ya tigo. Hata kumpigia simu mtu wa tigo nimesitisha.Wakili wa tigo nadhani usiku wa kuamkia leo ilikua ni mwendo wa nightmare
Sio haki upatikane, aachiwe, haki atapima nani, nataka waseme seme watakavyosema lakini Mbowe na makomandoo wake waachiwe, si suala la haki hapa, tunaona watoa haki wanavyoyumba kila mara nani anawaamini? Wasimamizi wa uchaguzi ni watoa haki, nani anawaamini wale, kama wewe peke yako, sio mimi!Twende kazi! Shahidi wa ngapi leo? Kimsingi Watanzania wengi tungependa kuona hii kesi inaisha haraka, ili haki ipatikane.
Sio haki upatikane, aachiwe, haki atapima nani, nataka waseme seme watakavyosema lakini Mbowe na makomandoo wake waachiwe, si suala la haki hapa, tunaona watoa haki wanavyoyumba kila mara nani anawaamini? Wasimamizi wa uchaguzi ni watoa haki, nani anawaamini wale, kama wewe peke yako, sio mimi!Twende kazi! Shahidi wa ngapi leo? Kimsingi Watanzania wengi tungependa kuona hii kesi inaisha haraka, ili haki ipatikane.
Ungekuwa wewe ungekubali kuruditena leo?? Mininge singizia tumbo aisee.Kwani si mwanasheria wa tigo alikuwa anamalizia kutoa ushahidi wake leo
Loh! Mashahidi wameingia mtini? Hebu wasinikoseshe uhondo! Hii kesi naifuatilia kama tamthiliya hata lile bunge live halioni ndani natamani isiishe haraka. Move tamu sana hii.Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi ilisikiliza shahidi ambae ni mwanasheria wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo. Leo Jamhuri inaleta shahidi mwingine. Kuwa nami.
=========
Jaji ameingia..
Kesi inatajwa..
Robert Kidando anatambulisha Jopo la mawakili wa serikali Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi Jaji anawaita washtakiwa na wote wanaitika kwa kusimama
Wakili wa Serikali: Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa. Mpaka Jana Jioni tulipata Shahidi ambaye tulipanga Kuja naye Leo. Lakini Asubuhi amepata Tatizo la Ki Afya lililosababisha Kushindwa Kuja Mahakamani. Kwa sababu hiyo tunaomba Hairisho Mpaka Kesho
Wakili wa Serikali: Na Kwamba Kwa sababu hii ipo Nje ya Uwezo Wetu pia tunaweza Kupata Shahidi Mwingine
Jaji: Wakili wa Utetezi, Kibatala: Kwa Kufuata amri ya mahakama Iliyokuwa imetolewa Jana, sisi kwa upande wetu tulikuwa tumejiandaa vizuri, Lakini kama wenzetu wanasema hivyo ndiyo Ilivyo tunaomba wenzetu kesho wajitahidi, tuweze kuendelea ili tuweze kumalizia kwa wakati
Jaji: umezungumzia Kwa niaba ya wote au!? Kibatala: kwa niaba ya wote Mheshimiwa Jaji anainama, anaandika. Mahakama ipo kimya wakati Jaji akieendelea kuandika Sura za watu wengi zimeweka makunyanzi Washtakiwa wanacheka na kunong'onezana Jambo fulani, hatuwasikii.
Jaji: kuzingatia maombi yalitolewa na wakili mwandamizi Robert Kidando shahidi kushindwa kufika mahakamani Na kuzingatia ukweli kwamba maombi hayo hayajapingwa na utetezi Nahairisha Shauri mpaka kesho saa 3 ambapo upande wa mashtaka mnaaelekezwa kuleta mashahidi
Jaji anatoka!
Mkuu iyo pua ni yako?Mkuu replica nikupongeze kwa kazi nzuri ya moyo wa kujitolea kutuanikia kila kinachoendelea hapo mahakamani hakika unafanya kazi kubwa na ngumu kwa watanzania ambayo inastahili mshahara mkubwa kuliko ule wanaolipwa wale mazuzu kule uzuzuni shukrani pia kwa mkuu erythrocyte,G day!!!
Tutarajie idadi ya mashahidi wakipungua kwa kesi ya 5GMashahidi wanaanza kuingia mitini?
Au huyu wa leo riheso haikwenda vizuri wanaenda kurudia?
Magufuli Kafa yeye badala ya upinzaniSamia naye hataki upinzani kama Magufuli.