Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 3, 2021: Shahidi Upande wa Mashitaka ashindwa kutokea Mahakamani, kesi yaahirishwa hadi Novemba 4, 2021

Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 3, 2021: Shahidi Upande wa Mashitaka ashindwa kutokea Mahakamani, kesi yaahirishwa hadi Novemba 4, 2021

Mashahidi wanaanza kuingia mitini?

Au huyu wa leo riheso haikwenda vizuri wanaenda kurudia?
Aliyecheza nafasi ya kibatala alikuwa shallow sana.. Wanarudia igizo zima kwa ingizo jipya
 
huyo wakili wa TIGO akikutetea mahakamani asiee unafungwa hata kama hukutenda kosa.
Tatizo kubwa kwenye hii kesi anajaribu kutetea uongo....!

Mtu ukisimamia ukweli huwezi kutetereka hata siku moja.
 
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi ilisikiliza shahidi ambae ni mwanasheria wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo. Leo Jamhuri inaleta shahidi mwingine. Kuwa nami.

=========

Jaji ameingia..

Kesi inatajwa..

Robert Kidando anatambulisha Jopo la mawakili wa serikali Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi Jaji anawaita washtakiwa na wote wanaitika kwa kusimama

Wakili wa Serikali: Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa. Mpaka Jana Jioni tulipata Shahidi ambaye tulipanga Kuja naye Leo. Lakini Asubuhi amepata Tatizo la Ki Afya lililosababisha Kushindwa Kuja Mahakamani. Kwa sababu hiyo tunaomba Hairisho Mpaka Kesho

Wakili wa Serikali: Na Kwamba Kwa sababu hii ipo Nje ya Uwezo Wetu pia tunaweza Kupata Shahidi Mwingine

Jaji: Wakili wa Utetezi, Kibatala: Kwa Kufuata amri ya mahakama Iliyokuwa imetolewa Jana, sisi kwa upande wetu tulikuwa tumejiandaa vizuri, Lakini kama wenzetu wanasema hivyo ndiyo Ilivyo tunaomba wenzetu kesho wajitahidi, tuweze kuendelea ili tuweze kumalizia kwa wakati

Jaji: umezungumzia Kwa niaba ya wote au!? Kibatala: kwa niaba ya wote Mheshimiwa Jaji anainama, anaandika. Mahakama ipo kimya wakati Jaji akieendelea kuandika Sura za watu wengi zimeweka makunyanzi Washtakiwa wanacheka na kunong'onezana Jambo fulani, hatuwasikii.

Jaji: kuzingatia maombi yalitolewa na wakili mwandamizi Robert Kidando shahidi kushindwa kufika mahakamani Na kuzingatia ukweli kwamba maombi hayo hayajapingwa na utetezi Nahairisha Shauri mpaka kesho saa 3 ambapo upande wa mashtaka mnaaelekezwa kuleta mashahidi

Jaji anatoka!
Itakuwa walichekewa kumpa mafunzo huyo shahidi,
Mashahidi wangekuwa wakutafuta kwa tochi.
 
Shahidi kaingia mitini kazima na simu, ya nini kuaibika bwana.

Kama ni hivyo, mashahidi watagoma kudharirika mahakamani...

Kitakachofuata ni baadhi ya mashahidi wa serikali kukataa maigizo au mawakili wa serikali kuomba kupunguza mashahidi wale walio kinyume na matakwa yao...
 
Wakili wa tigo nadhani usiku wa kuamkia leo ilikua ni mwendo wa nightmare
Ameharibu sana reputation ya kampuni. Binafsi nimeacha matumizi ya tigo. Hata kumpigia simu mtu wa tigo nimesitisha.
 
Twende kazi! Shahidi wa ngapi leo? Kimsingi Watanzania wengi tungependa kuona hii kesi inaisha haraka, ili haki ipatikane.
Sio haki upatikane, aachiwe, haki atapima nani, nataka waseme seme watakavyosema lakini Mbowe na makomandoo wake waachiwe, si suala la haki hapa, tunaona watoa haki wanavyoyumba kila mara nani anawaamini? Wasimamizi wa uchaguzi ni watoa haki, nani anawaamini wale, kama wewe peke yako, sio mimi!
 
Twende kazi! Shahidi wa ngapi leo? Kimsingi Watanzania wengi tungependa kuona hii kesi inaisha haraka, ili haki ipatikane.
Sio haki upatikane, aachiwe, haki atapima nani, nataka waseme seme watakavyosema lakini Mbowe na makomandoo wake waachiwe, si suala la haki hapa, tunaona watoa haki wanavyoyumba kila mara nani anawaamini? Wasimamizi wa uchaguzi ni watoa haki, nani anawaamini wale, kama wewe peke yako, sio mimi!
 
Baada ya jana kuahirishwa, Kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe inaendelea kuunguruma leo mahakamani. Jana kesi ilisikiliza shahidi ambae ni mwanasheria wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo. Leo Jamhuri inaleta shahidi mwingine. Kuwa nami.

=========

Jaji ameingia..

Kesi inatajwa..

Robert Kidando anatambulisha Jopo la mawakili wa serikali Peter Kibatala anatambulisha Jopo la mawakili wa utetezi Jaji anawaita washtakiwa na wote wanaitika kwa kusimama

Wakili wa Serikali: Shauri lina kuja kwa ajili ya Kusikilizwa. Mpaka Jana Jioni tulipata Shahidi ambaye tulipanga Kuja naye Leo. Lakini Asubuhi amepata Tatizo la Ki Afya lililosababisha Kushindwa Kuja Mahakamani. Kwa sababu hiyo tunaomba Hairisho Mpaka Kesho

Wakili wa Serikali: Na Kwamba Kwa sababu hii ipo Nje ya Uwezo Wetu pia tunaweza Kupata Shahidi Mwingine

Jaji: Wakili wa Utetezi, Kibatala: Kwa Kufuata amri ya mahakama Iliyokuwa imetolewa Jana, sisi kwa upande wetu tulikuwa tumejiandaa vizuri, Lakini kama wenzetu wanasema hivyo ndiyo Ilivyo tunaomba wenzetu kesho wajitahidi, tuweze kuendelea ili tuweze kumalizia kwa wakati

Jaji: umezungumzia Kwa niaba ya wote au!? Kibatala: kwa niaba ya wote Mheshimiwa Jaji anainama, anaandika. Mahakama ipo kimya wakati Jaji akieendelea kuandika Sura za watu wengi zimeweka makunyanzi Washtakiwa wanacheka na kunong'onezana Jambo fulani, hatuwasikii.

Jaji: kuzingatia maombi yalitolewa na wakili mwandamizi Robert Kidando shahidi kushindwa kufika mahakamani Na kuzingatia ukweli kwamba maombi hayo hayajapingwa na utetezi Nahairisha Shauri mpaka kesho saa 3 ambapo upande wa mashtaka mnaaelekezwa kuleta mashahidi

Jaji anatoka!
Loh! Mashahidi wameingia mtini? Hebu wasinikoseshe uhondo! Hii kesi naifuatilia kama tamthiliya hata lile bunge live halioni ndani natamani isiishe haraka. Move tamu sana hii.
 
Mkuu replica nikupongeze kwa kazi nzuri ya moyo wa kujitolea kutuanikia kila kinachoendelea hapo mahakamani hakika unafanya kazi kubwa na ngumu kwa watanzania ambayo inastahili mshahara mkubwa kuliko ule wanaolipwa wale mazuzu kule uzuzuni shukrani pia kwa mkuu erythrocyte,G day!!!
Mkuu iyo pua ni yako?
 
Back
Top Bottom