pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Ndo maana kesi nyingi za serikali dpp anaishia kuzifuta zinawavua nguo Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahitaji kuonyesha weledi wetu wa kitanzania.Yaani maswali ya mawakili wa utetezi yana onyesha wazi hii kesi ni ya kutunga. Sijui kwanini bado iko mahakamani kupoteza muda na kodi zetu
Pale kizimbani unaweza kukimbia aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakili: Nini maana Terrorism?
Shahidi: Ni mambo ya Utalii
Afu anajiita mtaalam? Daah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekumbuka notes za kubumba alizopewaWakili wa Serikali: Uliulizwa swali kwamba Katika Ushahidi wako wote hujataja Jina la Silaha aliyekamatwa nazo, Kwanini hukutaja
Shahidi: Kwanza sijui Adamoo...
Haahaaa, vp unawezatibgwa au kulogwa??Kwenye maisha epuka sana kuwa shahidi wa jambo lolote lile.
Yaani Waafrika ni shida tupu. Yaani Mwaafrika akishindwa kuelezea maana ya kiingereza inakuwa ni kicheko na inaanzishiwa thread hapa JF!! Ujinga mtupu!Shahidi wa Tatu Koplo Hafidh Mohamed akihojiwa na Wakili wa utetezi John Mallya Mahakamani leo;
MALLYA: Kwenye ripoti yako umesema hapa kuna errors...
Kweli kabisa mkuu. Me nishawahi kuona shahidi anatiwa kidole mahakamani sababu ya kusahau maelezo [emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye maisha epuka sana kuwa shahidi wa jambo lolote lile.
Ungepita kulia ukaenda zako bila ya kucoment lolote.Yaani Waafrika ni shida tupu. Yaani Mwaafrika akishindwa kuelezea maana ya kiingereza inakuwa ni kicheko na inaanzishiwa thread hapa JF!! Ujinga mtupu!
Unyumbuz wenuUngepita kulia ukaenda zako bila ya kucoment lolote.
Kinachokuma ni nini?
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Atawarudishi tofauti na wewe akili yako kaondoka nazo mwendazake,atakurudishia ukimfuataKwa hiyo mtu akisema tumtangulize Mungu mbele hawezi kufa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mibavicha akili zenu aliondoka nazo lisu zote kwenda kwa amsterdam?
Waliifanyia riheso wakati wakitengeneza muvi....Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali kwamba Katika Ushahidi wako wote hujataja Jina la Silaha aliyekamatwa nazo, Kwanini hukutaja
Shahidi: Kwanza sijui Adamoo...
Inategemea na mazingira mkuu. Imagine kama hajui maana yake, atakuwa ameandika nini kwenye ripoti?Yaani Waafrika ni shida tupu. Yaani Mwaafrika akishindwa kuelezea maana ya kiingereza inakuwa ni kicheko na inaanzishiwa thread hapa JF!! Ujinga mtupu!
Huyo ni mtalii tena wa ndani Kwa Sasa anatalii kwenye Moja ya gereza na mahakamo Moja . 🏃Shahidi wa Tatu Koplo Hafidh Mohamed akihojiwa na Wakili wa utetezi John Mallya Mahakamani leo;
MALLYA: Kwenye ripoti yako umesema hapa kuna errors. Je kuna errors ngapi?...
Kuna mtu humu JF ananeno lake anasema huu ni weledi wa kitanzania. Lengo la kumleta huyu shahidi wa leo ni lipi haswa? kama yeye si wa fingerprint wamlete huyo wa fingerprint, sio hizi story za leo.Kama umemsikia shahidi wa leo hii, "terrorism" ni utalii, na "terrorist" ndio ugaidi.
Na hakuishia hapo tu kujichanganya, hata kuhusu eneo analojipambanua yeye kuwa ni mtaalam wake!
Haya tunayoyashuhudia mahakamani na hawa mashahidi ndiyo sura sahihi ya nchi yetu ilivyo sasa hivi.
Tumevurugika sana kama nchi.
Lazima tucheke, maana kama hujui unatakiwa useme "sijui".Yaani Waafrika ni shida tupu. Yaani Mwaafrika akishindwa kuelezea maana ya kiingereza inakuwa ni kicheko na inaanzishiwa thread hapa JF!! Ujinga mtupu!
Kaandaeni shahidi mwengine huko aje maana bila ya hivyo hamna uwezo wa kumshinda mbowe hata sikumoja.Unyumbuz wenu