ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Hahaa mbona unajichanganya, kwani kati ya kazi na masomo kipi huanza?ivi jamani mbona kama mimi sijaelewa au nyie mmelewa vipi shahidi namba 3 anasema kaanza kazi 2013 na uko elfu 2004,2006 sijui kasoma kozi za mambo ya bunduki zanzibar na mambo mengine mara sijui 2010 kasomaje ayo mambo wakati kazi kaanza 2013?
huanza masomo mkuu na kuna kozi mtu huzisomea akiwa kazini pia maajabu yako ivi kuna kozi za kijeshi mtu hufundishwa akiwa raia maana shaid kasema kazi kaanza 2013 lakin kuna kozi za silaha kazisoma 2004,2006 hadi na 2010 plz rudia mahojiano yake na wakili wa serikali naruhusu kukosolewa maana najifunza pia.Hahaa mbona unajichanganya, kwani kati ya kazi na masomo kipi huanza?
Mimi mwenyewe sijaona connection yoyote na hii case ya mwamba. Yeye kazi yake ni kuchunguza bunduki na milipuko, sasa ikiwa bunduki aliyoichunguza ni nzima ndio itafanya ugaidi?Mbona huu ushahidi wa huyu shahidi wa 3 tatu ni kama anaelezea background yake tu?
Kiufupi tu, kama shahidi anasema kaanza kazi 2013, basi maana yake ni kwamba hizo kozi alizisoma kabla hajaanza kazi, tatizo lako umefikiria mbali sana mpaka umetoboa nyavu, au vinginevyo kama ukiwa sahihi kwenye fikra zako, basi ni kosa la shahidi katoa maelezo yasiyo sahihi hasa kama kozi za askari mtu huanza kuzisomea akiwa tayari kazini.huanza masomo mkuu na kuna kozi mtu huzisomea akiwa kazini pia maajabu yako ivi kuna kozi za kijeshi mtu hufundishwa akiwa raia maana shaid kasema kazi kaanza 2013 lakin kuna kozi za silaha kazisoma 2004,2006 hadi na 2010 plz rudia mahojiano yake na wakili wa serikali naruhusu kukosolewa maana najifunza pia.
Nenda kampe faraja gaidi wakoUnachekelea Magu kufa?! Wewe ni sukumagang lisilo kuwa na akili!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee.. Hata kina Lema walikuwepo wako wapi?oooooh hujui yameisha kabisa haya unayo yaona ni masalia madogo madogo...,ukitaka kujua yamesisha walikuwepo kina MAKONDA wako wapi walikuwa zaidi ya MUNGU mtu,walikuwepo kina Cyprian MUSIBA,walikuwepo kina Sabaya, walikuwepo kina Chalamila.MUNGU fundi aiseee.Hivi haya unayo yaona yanaenda kuisha hilo la MBOWE limetengenezwa na mtu mwenye roho mbaya amabye ameshafariki.
Huyu mwenye Shoka atakuwa nani sijui daaah...
Unalitetea liuaji katili na gaidiJana kuna shahidi ambaye hakutokea, leo wanaleta mwingine. Nina uhakika tutaendelea kushuhudia aibu tupu.
Juzi walimleta Kaaya ambaye ni genge la uhalifu la Sabaya. Ambaye walimuita “power” kwasababu ya uhalifu.
Ambaye hakutokea jana lazima alikuwa na makandokando zaidi ya Power Kaaya ambaye ni kada mtiifu wa ccm.
Wa leo ngoja tuone. Naona wamechelewa kupita kiasi, kesi ilitakiwa ianze saa tatu na sasa ni saa nne kasoro...Kwasababu kesi za kubambika ni aibu tupu kama zinafuatiliwa na Taifa zima pamoja na mataifa ya nje.
Mtu mwenyewe si umesikia ni koplo??Inaitwa firing Pin siyo fine pin
Atapigwa mamayo kwanza halafu utafuatia wewe.Piga ndani kagaidi hako
Huyu Mungu si ndio yule yule mliemkejeli kipindi kile Magufuli anasema tuombe kwa ajili ya corona,? Mkasema Mungu ana kazi nyingi hawezi kusikiliza wajinga?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkibanwa ndio mnakumbuka uwepo wa Mungu ee?
Na Mungu huyo huyo akamchukua yule aliyekuwa anasema tumtangulize Mungu mbele kumbe alikuwa mnafiki wa kutupwa nã dharau na kejeli na kutukana watu.Huyu Mungu si ndio yule yule mliemkejeli kipindi kile Magufuli anasema tuombe kwa ajili ya corona,? Mkasema Mungu ana kazi nyingi hawezi kusikiliza wajinga?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkibanwa ndio mnakumbuka uwepo wa Mungu ee?
Tuweke rekodi sawa ina maana alisoma kozi hizo kabla hajawa polisi/hajaajiliwa upolisi.... au haya ni mafunzo yanayopatikaa ukisha ajiliwa polisiHahaa mbona unajichanganya, kwani kati ya kazi na masomo kipi huanza?
Tatizo ni kwamba pamoja na kula kiapo mahakamani bado mtu anaweza kusema uongo na asifanywe kitu chochote, sasa sijui kwa nini wanapoteza muda kuwaapisha na jaji kupoteza bure muda wa mahakama kuwakumbusha kwamba uko chini ya kiapo.
Basi ongozeni nyie maombi ili gaidi atoke rumandeHamna muuaji anaweza kuongoza maombi kwa Mungu.
Kwa hiyo mtu akisema tumtangulize Mungu mbele hawezi kufa?Na Mungu huyo huyo akamchukua yule aliyekuwa anasema tumtangulize Mungu mbele kumbe alikuwa mnafiki wa kutupwa nã dharau na kejeli na kutukana watu.
Jiwe aka magufuli ameshakuwa mafunza na kunuka.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
So huyu koplo anayesema fine pini badala ya firing pin ni graduate kumbe?Endelea kujifariji Mama saidi.Huyu shahidi wa leo inaonyesha yupo vizuri.Halafu ndugu yangu usitushikie akili bana kwa kutuaminisha polisi wote hawajasoma,wengi tumehitimu nao vyuo vikuu.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app