Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi - 27/09/2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi - 27/09/2021

Jeshi lipi unaloliongelea? Hili ambalo huwa wanafanya operesheni za usafi kukiwa na maandamano au jingine?
Nimeamini linaweza kutumika ,maana kama wenzao wa ngerengere walishiriki kumtesa luteni urio hawashindwi kufoji hats documents
 
Hao tayari walikuwa wapo nje ya jwtz kwa sababu mbalimbali hawakuwa watumishi wa jwtz mpaka kipindi uonevu wa kuwabambikia kesi unaanza, isipokuwa huyo mmoja LT urio yeye bado alikuwa bado ni Mtumishi huku akituhumiwa kufanya connection ya hao Asikari kupelekwa kwa mbowe, kwa kifupi hao walinzi wa mbowe siyo magaidi bali wamebambikiwa kesi kwa lengo la kumdhoofisha mbowe na chadema kwa ujumla mpigie sele 0787132277 au 0715132277 akupe full story
Samahani boss huyu sele kakufanyia nini? Mbona umekuwa ukiweka mawasiliano yake humu JF shida nini hasa? Sio mara ya kwanza nikiona ukifanya hivi.

Hiki unachofanya sio kitu kizuri.
 
Nimeamini linaweza kutumika ,maana kama wenzao wa ngerengere walishiriki kumtesa luteni urio hawashindwi kufoji hats documents
Lt Urio hana kosa ameonewa zaidi kwani yeye alimpa walinzi mbowe baada ya kuombwa Asikari wa kumlinda hakujua kuwa huko mbeleni hao walinzi wa mbowe watakuja kubambikiwa kesi za uongo kwa mbinu za Sabaya na Polisiccm wasio na ubinadamu
 
Samahani boss huyu sele kakufanyia nini? Mbona umekuwa ukiweka mawasiliano yake humu JF shida nini hasa? Sio mara ya kwanza nikiona ukifanya hivi.

Hiki unachofanya sio kitu kizuri.
Sele ni chadema hana wasiwasi na lolote mpigie atakupa taarifa zote endapo unataka chochote cha siri za ndani
 
Sele ni chadema hana wasiwasi na lolote mpigie atakupa taarifa zote endapo unataka chochote cha siri za ndani
Una agenda ya siri wewe sio bure. Huwezi kuanika mawasiliano ya mtu hivi bila kuweka uthibitisho kuwa ameridhia ufanye hivi
 
NINI KILIKUWA KINAENDELEA JESHINI?
Je ndani ya jeshi kulikuwa na fukuto kuhusu mustakabali wa nchi kuendelea kutawaliwa na CCM?

Hii kesi inaibua mengi mtambuka kuhusu wanajeshi kuwekwa mahabusu na kuteswa
Aisee ...kamgogolo flani kwa mbaaali..
 
Hata hivyo hawa Wajeda kuna siku huko mbeleni watatoa malipizi dhidi ya wenzao. Hawa jamaa huwa visa vyao haviishi hadi pale watakapolipiza.
Inamaana huyo Denis urio bado yupo kazini hadi leo ama
 
Hapo ndipo kuna utata mkubwa na pia yasemekana Lt Urio ameteswa kwa uonevu kisa kuwa na undugu na mbowe na kusaidia kumpatia walinzi ambao walikuwa watumishi wa jwtz awali kabla ya kuachishwa kazi
Sasa ni nani aliyeyevujisha iyo siri ya mbowe kupatiwa walinzi na LT Urio
 
kwa kifupi hao walinzi wa mbowe siyo magaidi bali wamebambikiwa kesi kwa lengo la kumdhoofisha mbowe na chadema kwa ujumla mpigie sele 0787132277 au 0715132277 akupe full story

Heheheh Mkuu Sele alikutapeli nini??

Mbona kama unataka kumnyoosha flani hvi hehehehe. au ndio namba ya Mahita nini?

Msamehe mkuu, huwezi toa namba kirahisi hvo ili watu wakapate udaku tu
 
Watu wenye akili hawawezi kushindana na mapolisi 2a form 4 tena ambao interviews zao ni mbio na urefu
 
Sele ni chadema hana wasiwasi na lolote mpigie atakupa taarifa zote endapo unataka chochote cha siri za ndani
Kaka huwa unanifurahisha sana unapompamban sele 😅😅😅
 
Back
Top Bottom