Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

Siyo siri kuwa watanzania walio wengi tumekwisha kuonjeshwa shubiri na polisi hata pasipokuwa na uhalali wowote.

Hivi viongozi wa akina Kingai au Mahita tokea juu hadi chini kwa hali hizi:

IMG_20210928_113759_332.jpg


wangali maofisini wakimtumikia nani?

Watuhumiwa hawakupewa chakula kwa siku 10?!

Hivi, yuko wapi Mosses Lijenje?
Yuko wapi Dennis Urio?

Siyo sababu kama hizi kweli zinazopelekea watu kama huyu kuchukua sheria mikononi?

IMG_20210901_201456_008.jpg


Kamanda Sirro utajificha wapi na aibu hii?

Pongezi za dhati ziwafikie makomandoo wa 92KJ. Kwa hakika ni wazalendo kweri kweri.

Ndiyo maana hawakuona ubaya wa kutoa ulinzi kwa mwenyekiti Mbowe.
 
Polisi wetu wanafanya kazi kama Interahamwe militias.
Hawa polisiccm ni zaidi ya ma intaharamwe.
Tunaanza kupata picha ya mauaji yaliyokuwa yakifanyika na ni Nani aliyetaka kumuu Tundu A. Lissu.
Ukweli una tabia ya kujiweka bayana hata uufiche namna gani.
Huwezi ficha Moto ktk majani makavu.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mahakama imepumzika nini?

Naona kama updates zimesimama
 
Ila hii nchi ya ajabu sana ,yaani unatrain makomandoo kibao hlf unawafukuza kazi wanakuwa mtaani tu....yaani tena vijana wa umri mdogo.

Hawa kiuhalisia wangekuwa wanataka kweli kuwa wahalifu hlf wakaunda genge lao wangekamatika kweli?
 
Siyo siri kuwa watanzania walio wengi tumekwisha kuonjeshwa shubiri na polisi hata pasipokuwa na uhalali wowote.

Hivi viongozi wa akina Kingai au Mahita tokea juu hadi chini kwa hali hizi:

View attachment 1955840

wangali maofisini wakimtumikia nani?

Watuhumiwa hawakupewa chakula kwa siku 10?!

Hivi, yuko wapi Mosses Lijenje?
Yuko wapi Dennis Urio?

Siyo sababu kama hizi kweli zinazopelekea watu kama huyu kuchukua sheria mikononi?

View attachment 1955842

Kamanda Sirro utajificha wapi na aibu hii?

Pongezi za dhati ziwafikie makomandoo wa 92KJ. Kwa hakika ni wazalendo kweri kweri.

Ndiyo maana hawakuona ubaya wa kutoa ulinzi kwa mwenyekiti Mbowe.

How Long Can You Live Without Food?​

These studies have uncovered several observations about starvation:

  • An article in Archiv Fur KriminologieTrusted Source states the body can survive for 8 to 21 days without food and water and up to two months if there’s access to an adequate water intake.
  • Modern-day hunger strikes have provided insight into starvation. One study in the British Medical JournalTrusted Source cited several hunger strikes that ended after 21 to 40 days. These hunger strikes ended because of the severe, life-threatening symptoms the participants were experiencing.
  • There seems to be a certain “minimum” number on the body mass index (BMI) scale for survival. According to the journal Nutrition, men with a BMI of less than 13 and women with a BMI of less than 11 cannot sustain life.
  • An article in the British Medical JournalTrusted Source concludes that those who are of a normal weight will lose a higher percentage of their body weight and muscle tissue faster than those who are obese when starving during the first three days.
  • According to the journal Nutrition, women’s body composition makes them able to withstand starvation longer.
 
Siyo siri kuwa watanzania walio wengi tumekwisha kuonjeshwa shubiri na polisi hata pasipokuwa na uhalali wowote.

Hivi viongozi wa akina Kingai au Mahita tokea juu hadi chini kwa hali hizi:

View attachment 1955840

wangali maofisini wakimtumikia nani?

Watuhumiwa hawakupewa chakula kwa siku 10?!

Hivi, yuko wapi Mosses Lijenje?
Yuko wapi Dennis Urio?

Siyo sababu kama hizi kweli zinazopelekea watu kama huyu kuchukua sheria mikononi?

View attachment 1955842

Kamanda Sirro utajificha wapi na aibu hii?

Pongezi za dhati ziwafikie makomandoo wa 92KJ. Kwa hakika ni wazalendo kweri kweri.

Ndiyo maana hawakuona ubaya wa kutoa ulinzi kwa mwenyekiti Mbowe.
Hiyo picha inanichefua sana!
 
Back
Top Bottom