Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

nipo ndani shauri linaendelea...

wakili wa serikali:
KINGINE LIPI ULIKUWA UNAFANYA JESHINI

shahidi:
FORCE KEEPING CONGO

jaji:
FOCRCE KEEPING MAANA YAKE NINI

shahidi:
TULIKUWA TUNAFORCE AMANI CONGO

Jaji:
unaweza Kutofautisha force Keeping na Peace Keeping

Shahidi:
MOJA SUDANI HATUTAKIWI KUPIGANA NA WAASI MPAKA WATUONYESHEE SILAHA /MTUTU LAKINI CONGO TULIKUWA TUNATOKA TUNAENDA SEHEMU KAMA TUNGUU KWA MAELEZO KUWA YOYOTE TUTAKAYE MKUTA TUNAPIGANA AU KUMUUA.

Wakili wa Serikali:
ni sahihi nikisema Kuwa una Degree Sita za martial Arts


Shahidi:
Siyo sahihi

Wakili wa Serikali:
kwa hiyo wewe Mwalimu gani ujui Martial Arsts, Wewe Unafundisha nini

Shahidi:
Nafundisha kuruka na parashuti, Kupigana Juu ya Maji kwa kutumia silaha na Combats
 
Tatizo inawezekana hata hujui hii kesi ni ya matukio ya Julai 2020. Sasa niambie nani alikuwa Rais 2020, mama au lile zee?
Nani aliyemkamata Mbowe? Na kusema ana ushahidi? Mi nashauri kwanza ondoa chuki. Uwe normal. Then andika kwa heshima za kiafrika na malezi mema. Inawezekana nisikubaliane na Magufuli ila nikabaki najiheshimu mimi hata kama yeye simweshimu.
 
Shukuruni Mungu mashujaa wa JWTZ wameamua kuwa watulivu. Wakiamua hivyo vijamaa vyenu vitalamba mchanga kwa kutumia vijambio

Au umesahau Hamza alichowatendea
Mashujaa waliofukuzwa jeshini!!!

Acha kuwa kiazi umri unakuacha kamanda.
 
Nani aliyemkamata Mbowe? Na kusema ana ushahidi? Mi nashauri kwanza ondoa chuki. Uwe normal. Then andika kwa heshima za kiafrika na malezi mema. Inawezekana nisikubaliane na Magufuli ila nikabaki najiheshimu mimi hata kama yeye simweshimu.
Ushwahi ona shoga anatunza heshima yake???

Haiwezekani maana Hana,ndio huyo jamaa unayejaribu kumweka sawa.
 
hivi ndivo mataifa ya kigeni wakiona kesi inayomkabili mbowe
IMG_0930.jpg
 
Haya manenoo "...........poa tuh ila mikazo tuh ......" yamenikumbusha jarida la sani ... mzee kifimbo cheza na madenge
 
Kwa hiyo Kingayi na wenzake wamemwua komandoo Linjenje!! Huenda Linjenje alikataa kukamatwa kama kuku, wakaamua wammalize! Mungu wa rehema, tunaomba, uipokee roho ya Linjenje, apumzike kwa amani, na wauaji wake walaanike Duniani na mbinguni.

Sasa naelewa kwa nini Hamza alifikia hatua ile. Hivi hili kweli ni Jeshi la Polisi au genge la wauaji na watesaji?

Siro, pamoja na kutokuendelea kufikia ngazi ya upadre, yale mafundisho ya dini, ukiwa mseminari, hayakuweza kukusaidia angalao kuwa tu muumini wa kawaida anayejitahidi kufuata maelekezo na mafundisho ya Mungu?

Hakika hawa wanastahili kufungwa jiwe la kusagia shingoni na kutupwa majini.

Alaanike sana kingayi kwa mauaji anayoyafanya. Haya ni machache tuliyobahatika kuyajua, lakini huenda kuna rundo la watu aliowaua.
Asilimia kubwa ya waliopita seminari au waliofikia ata hatua ya ufrater alafu wakaishia njiani wakarudi huku kwenye mishe za kijamii tu huwa wanaasili ya ugaidi ndani mwao we wafatirie tu utagundua hicho kitu
 
Leo tena upande wa utetezi katika kesi ya Mbowe wanaendelea kutoa ushahidi wao katika kesi ndogo ya kesi kubwa ambapo leo tarehe 28/09/2021 Mtuhumiwa Lig'wenya anaendelea na ushahidi wake.

=======



Jaji: ameshaingia Sasa

Kesi namba 16 Inatajwa

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021,Jamuhuri dhidi ya Halfan Bwire,Adam Hassana Kasekwa (Adamoo), Mohammed Abdalah Ling'wenya na Freeman Aikael Mbowe

Watuhumiwa wanapandishwa Kuzimbani

Jaji: wakili wa Serikali

Robert Kidando
Abdallah Chavula
Nasoro Katuga
Easter Martin
Tulimanywa Majigo
Jenitreza Kitali

Wakili Peter Kibatala nayeye anatambulisha Orodha yake
Gaston Garubindi
Idd Msawanga
Bonifasia Mapunda
Evaresta Kisanga
Hadija Aron
Michael Mwangasa
Dickson Matata
John Mallya
Fredrick Kihwelo
Nashon Nkungu

Jaji: Wote Mpo tayari kuanza?

Pande zote Mbili wamesema wapo tayari

Jaji: niombe apande Shahidi wapili ambaye alikuwa bado ajamaliza Kutoa Ushahidi wake

Shahidi: anapanda Kizimbani

Kimyaaaaa Kidogo

Jaji: wakili Nashon Nkungu

Nashon: ni kweli Kule Rau Madukani....

Jaji: aina hiyo ya Mswali Ndiyo inaletaga Utata

Nashoni: Ulipoluwa Madukani Ulikuwa unamuona Mshitakiwa wapili, Kweli si Kweli

Shahidi: Ni kweli
Nashon: Wakati tukio linatendeka ulikwepo.?

Shahidi: nilikwepo

Nashon: wakati tukio linatendeka Palikuwa na watu wengi wanashihudia.?

Shahidi: ndiyo palikuwa na watu wengi wanashuhudia

Nashon: Je hapa Mahakamani ulishawahibKuona Mtu yoyote aliyekuwa anashuhudia tukio

Shahidi: Hapana sijaona yoyote

Nashon: ulipokuwa Central Police Moshi, Je ulishuhudia taratibu za Kipolisi zilifanyika kama Kukuandikisha

Shahidi: Hapana Sijaiona

Nashon: Ulishawahi Kuona Detention Register Ya Mosho hapa Mahakamani.?

Shahidi: Hapana

Nashon: Kuna Shahidi alikuja anaitwa Detective Msemwa alisema aliwapokea Central Police Dar je Unamfahamu

Shahidi: Simfahamu

Nashon: Unasemaje kuhusu Maneno yake kuwa aliwapokea Central Police Dar,.Je unamfahamu.?

Shahidi: Simfahamu wala sijawahi Kufika Central Dar

Nashon: Unasemaje kuhusu Detention Register aliyokuja nayo hapa Mahakamani

Shahidi: sifahamu alitoa wapi

Nashon: Kuna sehemu yoyote katika Ile Detention Register ambayo amekuinyesha Ulisaini wakati wanakupokea

Shahidi: sikuona

Nashon: Wakati Dective Msemwa anatoa Ushahidi Anasema alikuwa na Afande Fatuma kama CRO incharge,Je ulishwa kumuina FATUMA hapa Mahakamani.?

Shahidi: Hapana

Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?

Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje

Jaji: alisema wakati gani

Shahidi: Wakati tunayoka Tazara kwenda Mbweni,Tukiwa kwenye Gari

Nashon: ulielewa nini Kwa Maneno tutakutupa..?

Shahidi: nilijua kuwa watanipoteza,Wataniua alafu hakuna atakaye jua nipo wapi

Nashon: nitakuwa sahihi Nikisema walikupa DEATH THREAT

Shahidi: ni sahihi kwa sababu niliona Moses tulikuwa naye Kweli Rau Madukani alafu ajulikani alipo na wala hatupo naye,nikajua wamemuua na watanifanyia kama yeye nilijisikia Vibaya

Jaji: je Wakili wa Mshitakiwa watatu Fredrick Kihwelo

Jaji: je Mawakili wa serikali Mnaona ni sawa

Fredrick Kihwelo: Sitokuwa na Swali Mheshimiwa Jaji

Jaji: je ni sahihi kwa yeye kuuliza swali kabla hatujafika kama atauliza au lah

Fredrick Kihwelo: nimeamua Kujinyima Haki Mheshimiwa

Jaj: sawa Wakili wa Mshitakiwa wa Nne

Kibatala: Kitendo cha Kugongwa gongwa na Bastola na kukwambia watakutupa,Je tishio liliongezeka Moyoni Mwako kutokana na yalivyo kuwa yameshatokea kabla..?

Shahidi: Hofu ilizidi kuwa Kubwa Kufuatia Kilichokuwa Kimeshatendeka Moshi

Kibatala: Moses Lijenje unamfahamu wakati unaambiwa hayo maneno

Shahidi: Ndiyo nilikuwa namfahamu tulikuwa naye pale Rau Madukani

Kibatala: haiba yake ni nani

Shahidi: alikuwa Mwanajeshi Wa 92 KJ lakini wakati yeye akiwa Mwanajeshi pale mimi nilikuwa bado sijaanza kazi

Kibatala Wakati kesi inaendelea hapa Uliwahi Kusikia kuwa nayeye ni Mshitakiwa.?

Shahidi: Hapana

Kibatala: Ulishawahi Kusikia kuwa watamleta baadae

Shahidi: Hapana

Kibatala: Pale Rau Moshi Mkiwa Pale,hawa wakati wanamkamata Adamoo ulisikia Askari yoyote anasema ana HATI YA UKAMATAJI

Shahidi: Hapana

Kibatala: Wakati unaingilia Ukamataji wa Adamoo,Uliskia Askari Polisi yoyote hasa Kingai Kuwa Tafadahali Usiingilie zoezi la Ukamataji , Kwa sababu za Kisheria.?

Shahidi: Hapana sijasikia

Kibatala: Uliwahi Kumsikia hapa Mahakamani Kingai ametoa Warrant of Arrest (Hati ya Ukamataji)

Shahidi: Hapana

Kibatala: Wakati wa Ushahidi Mahita alisema Kingai ndiyo alikuwa akiongozi wao

Shahidi: Ndiyo nilimsikia

Kibatala: Kingai tangu wanatoka Arusha walisema walikuwa wanafahamu wanaenda Kumkamata Adamoo kwa Tuhuma za Ugaidi

Shahidi: Ndiyo nilisikia hivyo

Kibatala: lakini alipokuja hapa alishawahi Kutoa Ruhusa ya Mahakama kwamba wanaenda Kumfanyia Adamoo kitu fulani.?

Shahidi: Hapana Sikusikia

Kibatala: Adamoo alitekwa au Alikamatwa

Shahidi: alitekwa

Kibatala: Kwanini ulikumbuoa mambo ya Rau Madukani Mpaka Maduka ya Mtu na Mpaka Majina ya ya Mwenye Duka

Shahidi: Mimi ndiye niliyemshauri Adamoo twende pale kwa Sababu nilikuwa na Dada yangu na pale ni sehemu ya familia

Kibatala: Umeweza Kufafanua Mpala kutuchorea picha Kwasababu ni Mambo uliyowahi kuyaishi

Wakili wa Serikali: OBJECTION Shahidi ajasema kuwa amewahi Kuishi Rau Madukani

Kibatala: sijasema ameishi Rau Madukani, Nimesema ameeleza Kwa sababu Maelezo yake ameyaishi

Jaji: wakili wa Serikali

Wakili wa Serikali: hilo neno kuyaishi Mbeleni linawezakutumika Vibaya

Jaji: Kibatala

Kibatala: Wacha nibadirishe swali kwa Sababu ya Muda

Kibatala: Wakati Kingai anasema aliwakuta Kwenye kibanda Umiza alitaja Jina.?

Shahidi: Hakutaja Jina

Kibatala: tofauti na Kingai,Wewe umetaja Mpaka Jina

Shahidi: nimetaja Mpaka Jina

Wakili Kibatala: nilisikiabkuwa wakati Unakamatwa ulitoa Vitu Vyako ukaweka Kwenye Kibaraza cha huyo Dada,Nilisikia Vizuri.?

Shahidi: upo sahihi

Kibatala: Je ungejisikia Vizuri kama yule Dada angekwepo wakati wa Ukamataji wako kwa Sababu alikwepo Dukani

Shahidi: Ndiyo ningepata Amani zaidi kama angekuwa Shaidi

Jaji: jana Ulisema Adamoo amekamatiwa wapia

Shahidi: Kati kati ya Glocery na Flemu za Madukani

Jaji: unaweza sasa Kuendelea Kumjibu wakili

Shahidi: Ndiyo ningejisikia Vizuri kama Dada yangu angekwepo

Jaji: unamaanisha Athma

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Wakati wanamshambulia Adamoo hao Askari walikuwa na Silaha

Shahidi: hawakuwa na Silaha,labda wa Nje Kwa sababu katika Ukamataji kwa ufahamu wangu kuna "Inn and Outer" labda walifunga Nje ndiyo walikuwa wamezunguka eneo lile au waliokuja baadae

Kibatala: kwanini unasema Adamoo hakuwa na Bastola wakati wa Ukamataji kwa uhakika

Shahidi: kwa sababu Adamoo nimesafiri naye,Nimelala naye Chumba Kimoja na Tukatoka kuja wote kwa Dada yangu. na Koti ndiyo alikuwa ametoka Kulinunua

Kibatala: Kwa Ufahamu wako ile Bastola imetoka kwa nani.?

Shahidi: kwa Jumanne,Ndiye aliyesema ana bastola na watu walikuwa wamejaa Sana

Kibatala: kwa Ulivyoshuhudia Ule siyo Ukamataji ni Ugomvi

Shahidi: siyo Ukamataji ni Ugomvi

Kibatala: Shahidi umesema Jumanne alimuweka Adamoo Madawa,ulijuaje kuwa yale ni Madawa

Shahidi: kwa sababuJumanne ndiye aliye tamka kama alivyo tanka anapistol ndiyo alitamka Ana madawa

Kibatala: kwanini unaamini Adamoo hakuwa na Madawa ya Kulevya

Shahidi: Mimi ndiye niliyemshauri Adamoo twende pale kwa Sababu nilikuwa na Dada yangu na pale ni sehemu ya familia

Kibatala: Umeweza Kufafanua Mpala kutuchorea picha Kwasababu ni Mambo uliyowahi kuyaishi

Wakili wa Serikali: OBJECTION Shahidi ajasema kuwa amewahi Kuishi Rau Madukani

Kibatala: sijasema ameishi Rau Madukani, Nimesema ameeleza Kwa sababu Maelezo yake ameyaishi

Jaji: wakili wa Serikali

Wakili wa Serikali: hilo neno kuyaishi Mbeleni linawezakutumika Vibaya

Jaji: Kibatala

Wacha nibadirishe swali kwa Sababu ya Muda

Kibatala: Wakati Kingai anasema aliwakuta Kwenye kibanda Umiza alitaja Jina.?

Shahidi: Hakutaja Jina

Kibatala: tofauti na Kingai,Wewe umetaja Mpaka Jina

Shahidi: nimetaja Mpaka Jina

Wakili Kibatala :nilisikiabkuwa wakati Unakamatwa ulitoa Vitu Vyako ukaweka Kwenye Kibaraza cha huyo Dada,Nilisikia Vizuri.?

Shahidi: upo sahihi

Kibatala: Je ungejisikia Vizuri kama yule Dada angekwepo wakati wa Ukamataji wako kwa Sababu alikwepo Dukani

Shahidi: Ndiyo ningepata Amani zaidi kama angekuwa Shaidi

Jaji: jana Ulisema Adamoo amekamatiwa wapia

Shahidi: Kati kati ya Glocery na Flemu za Madukani

Jaji: unaweza sasa Kuendelea Kumjibu wakili

Shahidi: Ndiyo ningejisikia Vizuri kama Dada yangu angekwepo

Jaji: unamaanisha Athma

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Wakati wanamshambulia Adamoo hao Askari walikuwa na Silaha

Shahidi: hawakuwa na Silaha, labda wa Nje Kwa sababu katika Ukamataji kwa ufahamu wangu kuna "Inn and Outer" labda walifunga Nje ndiyo walikuwa wamezunguka eneo lile au waliokuja baadae

Kibatala: kwanini unasema Adamoo hakuwa na Bastola wakati wa Ukamataji kwa uhakika

Shahidi: kwa sababu Adamoo nimesafiri naye,Nimelala naye Chumba Kimoja na Tukatoka kuja wote kwa Dada yangu. na Koti ndiyo alikuwa ametoka Kulinunua

Kibatala: Kwa Ufahamu wako ile Bastola imetoka kwa nani.?

Shahidi: kwa Jumanne,Ndiye aliyesema ana bastola na watu walikuwa wamejaa Sana

Kibatala: kwa Ulivyoshuhudia Ule siyo Ukamataji ni Ugomvi

Shahidi: siyo Ukamataji ni Ugomvi

kibatala: Shahidi umsema Jumanne alimuweka Adamoo Madawa,ulijuaje kuwa yale ni Madawa

Shahidi: kwa sababuJumanne ndiye aliye tamka kama alivyo tanka anapistol ndiyo alitamka Anamadawa

Kibatala: kwanininunaamini Adamoo hakuwa na Madawa ya Kulevya

Shahidi: kwa sababu Adamoo nilikuwa naye kwa kila hatua na alikuwa Mgeni kule Moshi, Ndiyo maana nilimpeleka kwenda Kumtembelea Dada Yangu

Kibatala: Unasemaje Madai ya Mahita kuwa walipowakamata walianza Kuwachukua Muwatembeze Maeneo Mbali kamaViongoza Njia katika Kumtafuta Lijenje

Shahidi: Ni Uongo

Kibatala: husianisha Sasa Swala la Ugeni wa Adamoo na jambo la Mahita kwamba aliwatumia kama Viongoza Njia

Shahidi: ni Uongo kwa sababu Adamoo alikuwa Mgeni afahamu eneo Lolote

Wakili wa Serikali: OBJECTION Shahidi anaulizwa Maswali yanayompeleka Kutoa Opinioni zake, Jambo hili ni Kinyume na Sheria ya Ushahidi

Jaji: unaweza Kusoma hicho Kifungu

Wakili wa Serikali ,anasoma.................

Jaji: Kulingana na Ulichokisoma umaanisha nini kwa neno Persive

Jaji: Kibatala Kama kweli angerejea sheria angetumia Kifungu cha 62 (c) kwa Maoni yangu Shahidi anaulizwa Perception yake yeye,Very strait

Jaji: wakili wa Serikali Sisi tunaendelea Kusisitiza Hilo swali lisiruhusiwe, Kwenye Ushahidi tunaona ni Jambo ambalo si sawa

Jaji, nimewasikiliza pande zote Mbili mimi naona Kuwa Kifungu cha 62 (c) kinaruhusu Shahidi Kutoa Mtazamonwake Kuhusu Jambo analoyolea Ushahidi

kibatala: haya elezea Sasa Unahusinisha Vipi Ugenibwa Adamoo na Maelezo ya Mahita ya kuwatumia kama Viongoza njia

Shahidi: Ni Uongo Adamoo alikuwa Mageni Moshi tulifika Sikubya kwanza, Siku ya Pili,siku ya tatu tunakamatwa

Kibatala: Kingai anasema aliwachukua wadada wawili Mpaka Central Kwenda Kutoa Maelezo je ulishihudia.?

Shahidi: Sikushuhudia

Kibatala:Je Wallet yako na Simu yako Ulisikia Afande Kingai au Mahita kuwa Vifaa Hivyo viliingizwa Kwenye Register Moshi.?

Shahidi:Sikusikia

Kibatala: Mashahidi hao wawili pia walizungumzia Hati ya Uchukuaji wa Vielelezo CERTIFICATE OF SEIZURE je ulisikia

Jaji: Kiswahili Chake Kikosawa

Jaji: tafiri iwe Hati ya Kuhodhi Mali

Kibatala: Ulisikia Kuwa Pistol,Madawa ya Kulevya na Vitu vyako ulisikia kama Viliingizwa kwenye Hati ya Kuhodhi Mali

Shahidi: Sikusikia

Kibatala: Bila shaka Kile kitabu cha Komito Unacho,Je umewahi Kuona Mle Kuna Sehemu yoyote Imeandikwa kuhusu Madawa ya Kulevya

Shahidi: Hapana Hakuna na sijaona

Kibatala: Moaka Leo unatoa Ushahidi hapa Mahakamani uliwahi kusikia au Kuona Adamoo alipatatikana na Madawa ya Kulevya.?

Shahidi: Sijawa Kusikia wala Kuona

Kibatala: Uliwahi Kushuhudia Kuwa Adamoo wamemchukua Sampuli ya mwili wake kwa ajili ya Kwenda Kupima utumiaji wa Madawa ya Kulevya

Shahidi: sijawahi kuona

Kibatala: Uliwahi Kushudia Adamoo akipewa hati ya kumiliki Mali

Shahidi: sikuwahi Kushahidi

Kibatala: uliwahi Kupewa hati ya Kumiliki Mali

Shahidi: Hapana sijawahi

Kibatala: Uliwahi Kushudua Adamoo akipewa nafasi wa Kushuhudia wakatibakitoa Maelezo pale Moshi

Shahidi: Hapana sijawahi

Kibatala:Uliwahi wewe Kupewa nafasi ya Kumyita Shahidi wa Kushudia wakati Ukitoa Maelezo

Shahidi: Hapana

Kibatala: Unauhakika gani Kuwa Adamoo alifanyiwa Mateso akiwa Moshi Polisi Central Station

Shahidi: niliwahi Kumuona Adamoo akiwa anaburutwa,na Baadae wakawahi Kunipiga Kitambaa,lakini nilishawahi Kuona

Kibatala: hayo yanaweza Kuwa ni Matokeo ya Adamoo Kuteswa ,Je ulishuhudia Vipi kuwa Adamoo anateswa

Shahidi: Nilislia Kilio cha Adamoo kwa Sababu Sauti ya Adamoo naijua nilikuwa mwalimu wake katika kozi za Ukomandoo,Nilikuwa namuita Sauti ya Zege tangubakiwa Mwanafunzi wangu 92 KJ

Kibatala: kumbe wewe ni Mwalimu wa Adamoo.?

Shahidi: Ndiyo Mwalimu Mzuri sana

Kibatala: Ukiwa kama Mwalimubwa Adamoo ulishawahi Kusikia anatumia Madawa ya Kulevya

Shahidi: Hapana

Kibatala: ungesikia Adamoo anatumia Madawa Ya Kulevya wakati Mkiwa Jeshini Utaratibu unakuwaje

Shahidi: hayo ni Mambo yakushughulikiwa na Millitary Police

Kibatal:a Mwambie Mheshimiwa Jaji jambo Lingine unalothibitsha kuwa yale Mateso yalikuwa ni ya Adamoo

Shahidi: kwa sababu hata tulipokuwa Cello tuliongea akaniambia ,poa tuh ila mikazo tuh,Nikamwambia na Mimi hivyohivyo,Ila navumilia

Jaji: Unaposema Poa ila Nikazo maana yake nini.?

Shahidi: Kwamba tumeumia ila tunajitahdi Kuvumilia

Kibatala: nakutoa Moshi nataka kwenda Kwenye kusafiri nilisikia unasema wewe ulisafiri na Adamoo kwenye gari Moja

Jaji: ni kweli ulisema wewe na Adamoo mlisafiri kwa gari Moja.?

Shahidi: hapana sifahamu nilihisi tuh kwa sababu sikuona

kibatala: Sasakwa Ufahamu wako wa Kawaida Ulisafiri naye au hukusafiri naye

Shahidi: kama nilivyosema sikuona akipanda ila niliskia Nyuma Buti limefungukiwa anakapndishwa Mtu,Kwa fahamu zangu naweza Kusema tulisafiri naye

Kibatala: katika hisia za Kusafiri naye hapohapo ni kweli Kwamba Gari ilisimama.Sehemu mkala

Shahidi:Hapana ni Uongo

Kibatala: kwamba Gari mkiharibika Mkasimama na Kubadili gari nikweli Usingefahamu..?

Shahidi: Nisingefahamu Japo kuwa nilikuwa nimefungwa Kitambaa,Kakini gari ikisimama nafahamu

Kibatala: Kumbukumbu yako Wakati Shahidi anawapokea Pale Central alisema aliwapokea Kwenye gari Moja.?

Shahidi: kwa Kumbukumbu zangu alisema tulifika pamoja

Shahidi: Kwa Mkupuo mmoja

Kibatala: je kwa mkupo Mmoja au Tofauti Tofauti.?

Kwa Ufahamu wako Nani alikuwa anawapa wenzie Amri tangu huko Moshi

Shahidi: Kingai

Kibatala: Umefanya kazi Jeshini,Mwambie Mheshimiwa JajibKwenye Msafara pakiwa na Senior Officer na Junior Officer Inawezekana vipi Junior Officer Kutoa Amri.?

Kibatala: Inaezekana Vipi Shahidi watatu kwa Maneno yake kwamba alikabidhiwa Watuhumiwa na Junior Officer wakati Kingai Alikwepo

Shahidi: haiwezekani

Shahidi: Haiwezekani,Kwa sababu Kingai alitakiwa kutukabidhisha kwa sababu alikwepo

kibatala: Ulisikia akisema alipokea Chochote kile ili akiingize kama Kidhibiti kwa Kujibu wa sheria

Shahidi: Sikumsikia

Shahidi: Hapana sikusikia

Kibatala: Rudi Tazara ACP kingai alikiri Kuwa Mlienda Mbweni ila hamkwenda Tazara,Je unathibitishaje kuwa Mlienda Tazara

Shahidi: Natihibitisha kwa sababu nilimuona Alex na Chuma Chungulu ambao nilikuwa nao Jeshini,Nathibitisha kwamba Ilikuwa Tazara

Kibatala: Ulijisikiaje safaribyote Kutoka Moshi Mpaka Dar es salaam Ukiwa Umefungwa Pingu

Shahidi: Nilijisikia Vibaya

Kibatala: na Ukahisi nini

Shahidi: Mateso

kibatala: kwa Ufahamu wako Umesema ulipokuwa Tazara ulishuhudia nani alikuwa ametoka kuteswa.?

Shahidi: Denis Urio

Kibatala: Kwenye Kitabu Cha Komito ulimuona ni Shahidi wangapi wa Mashtaka

Shahidi: Shahidi wa Tatu

Kibatala: Urio aliwahi Kukutembele Gerezani ujue kuwa Yupo huru.?

Shahidi Hapana

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: na Unamfahamu Vizuri Denis Urio

Shahidi: Ndiyo ni Mwalimu wangu kabisa wakati naingia Jeshini,na mimeishi naye achumba Kimoja Nikowa kwenye Misheni DARFUR SUDAN

kibatala: uliwahi kwenda sudani na Wapi Kwa Misheni za Kikazi

Shahidi: CONGO

kibatala: unathibitisha Vipi Kwamba Mwenzako Adamoo alikwepo Tazara

Kibatala: Nakutoa Tazara nakurudisha Mbweni,Kuna sehemu unasema Kuwa Ulimuona Kuwa Kingai alikuwa ameingia Kuna kachumba Fulani

Shahhid: Baada ya Mahabusu wenzangu Kusema Mwenzako yupo,Niliita Adamoooooo na akaitaika

Jaji: wapi

Kibatala: Mbweni

Shahidi: palikuwa na Vyumba Vitatu,Mimi niliwekwa kwanza kwenye Chumba cha Kwanza, Kingai akaingia kwenye Chumba Kinachofuata

Jaji: Subiri Kidogo

Jaji: Subiri Kidogo

Jaji :Ukamuona Kingai naingia

Shahidi: Kingai alipoingia akapitiliza Mlangowa Chumba cha Pili, Mimi nilikuwa Chumba cha kwanza Nipo na Jumanne

Kibatala: Goodluck alikuwa ameshika Kitu chochote

Shahidi: alikuwa ameshika Bastola

Kibatala: Kwa Uelewa wako Batola ilikuwa na maana gani

Shahidi: ilikuwa kunitishia na Kutaka kunifanyia Kitendo chochote,kama alivyosema Kunitupa

Nikiwa palepale nilimuona alikuwa Adamoo akitolewa katika Kile Chumba

Kibatala: alikuwa na hali gani

Shahidi: alikuwa amechoka sana na hajala

Kibatala: Ulijuaje kama hajala

Shahidi: Kama mimi sikuwa nakula nayeye pia alikuwa ajala

Kibatala: Hukula kwa siku ngapi

Shahidi: Sikuwa nimekula kwa Muda wa siku 10 Kuanzia tarehe 09 Mpaka tarehe 08 tarehe 09 Mpaka 19 Mwezi wa Nane,Chakula tulienda Kupewa Mahakamani

Kibatala: Inakuwaje Mtu akae Siku zote hizo bila Chakula

Shahidi: walikuwa wanawahudumia Mahabusu Wengine

Jaji:Mahakamani nani alikupa Chakula Mahakamani

Shahidi: Afande Goodluck alileta Ugali na Dagaa na hapo tulishakuwa wengi tayari

Kibatala: inakuwa Ngumu mimi kuamini Kuwa hukula kwa siku 10te 10

Shahidi: Ndiyo ni kweli sikula Chakula

Kibatala: Je maji

Shahidi: Chumba Changu Cha Mahabusu palikuwa na Bomba la maji ndiyo kilichonisaidia

kibatala: ukisema Chakula unamanisha nini.?

Shahidi: Chakula cha Mahabusu,kama wenzetu maana walikuwa Wanatuambia kuwa hawahusiki na sisi Chakula Chao wanawapa Mahabusu wao tuh

Kibatala: Sasa Ikawaje

Shahidi: Yule Afande sasa tuliyejenga naye Urafiki ndiyo alikuwa ananiletea Biscuit na Soda ua Maji special na Pia nilikuwa namuomba ampe Maagizo Adamoo

kibatala: Sasa tunaenda Sawa

Kibatala: Wakati wote Umefungwa Pingu ,ilikuwa Rahisi au Ugumu kiasi gani wakati wa kujisaidia

Shahidi:. .... .... ....

Kibatala: Asante Mheshimiwa Jaji nilikuwa nazingatia hilo

Jaji: Wakati tunasubiri Majibu ya shahidi,Nashauri tujikite sasa kwenye nini hasa Kilitokea wakati wa akumvhujua Maelezo Mashtakiwa wa Pili,

Kibatala: Wakati wote Mkiwa rumande Mwambie Mheshimiwa Jaji kuwa kama Mlishawahi Kupelekwa Hospotali

Shahidi: Hapana

Kibatala: ni hayo tuh Mheshimiwa Jaji

Jaji:ninatumaini sijakuzuia

Kibatala: Hapana Mheshimiwa Jaji nimemeliza tuh

Jaji Naomba tubreak Kwa Dakika 15 Kwa Afya Zetu

Jaji anatoka Sa 4 na Dakika 54

Tumesharudi Mahakamani watu wote

Jaji ameshaingia

Kesi inatwajwa tena

Wakili wa Serikali:
Tupo tayari Kuendelea

Jaji: Utetezi Mpo tayari.?

Kibatala: Tupo tayari

Wakili wa Serikali: Chavula anaendelea

Jaji: Shahidi nakukumbusha Kuwa bado Upo Chini ya Kiapo

Wakili wa Serikali: Wewe ni Mohammed Abdilah Ling'wenya

Shahidi: Ndiyo

Wakili wa Serikali: wewe ni Komandoo

Shahidi: Ndiyo

Jaji: Umeacha Kuwa Komandoo

Mahakama Kicheko

Wakili wa Serikali: Ujeshi Ukomandoo haufutiki

Shahidi: Ndiyo ni sahihi

Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamsahrti yake.? yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya

Shahidi: Rudia swali

Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamasharti yake.? Yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya

Miiko inakufunga bado

Shahidi: Wakati nipo Kwenye Himaya ya Jeshi

Wakili wa Serikali: Kuna Miiko ya Kijeshi ya hutakiwi Kuongea

Shahidi: kama Yapi

Wakili wa Serikali: Wewe ndiyo utuambie

Shahidi: Wewe ndiyo umeyaleta Ndiyo Utuambie sasa

Wakili wa Serikali: Kwa hiyo kule Jeshimi si Kuna Miiko hata Ukimatila Jeshini utakiwi kuyaeleza

Shahidi: Siyo sahihi

Wakili wa Serikali: Ulipokuwa Jeshini kozi ya Komandoo ulikula Kiapo

Shahidi: Kiapo gani

Wakili wa Serikali: si Ulikula Kiapo,je nikiapo gani

Shahidi: Nitalitumiakia Jeshi Mpaka Kufa

Wakili wa Serikali: Ulikuwa unatumikia Jeshi Kwa Mambo gani

Wakili wa Serikali: Kingime lipi ulikuwa unafanya Jeshini

Shahidi: Kulinda Nchi,Kulinda ,Silaha,Vifaa na Amani ya Ndani na Nje ya Nchi

Shahidi: Force Keeping Congo

Jaji:Focrce Keeping Maana yake nini

Shahidi: tulikuwa tunaforce amani Congo

Jaji: unaw3leza Kutofautisha Peace Keeping na Peace Keeping

Shahidi: Moja Sudani Hatutakiwi Kupigana na Waasi Mpaka watuonyeshee silaha /Mtutu lakini Congo tulikuwa tunatoka tunaenda sehemu kama Tunguu kwa Maelezo kuwa yoyote tutakaye mkuta Tunapigana au Kumuua

Wakili wa Serikali: ni sahihi nikisema Kuwa yna Degree Sita za martial Arts

Wakili wa Serikali: kwa hiyo wewe Mwalimu gani ujui Martial Arsts,Wewe Unafundisha nini

Shahidi: Siyo sahihi

Shahidi Nafundisha kuruka na parashuti,Kupigana Juu ya Maji kwa kutumia silaha na Combats

Wakili wa Serikali kwa hiyo wewe unafahamu kupigana Karates

Shahidi nafahamu

Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi

Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote

Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza

Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili

Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92K

Naomba tubreak Kwa Dakika 15 Kwa Afya Zetu

Jaji: anatoka Sa 4 na Dakika 54

Tumesharudi Mahakamani watu wote

Jaji: ameshaingi

Kesi: inatwajwa tena

Wakili wa Serikali: Tupo tayari Kuendelea

Jaji: Utetezi Mpo tayari.?

Kibatala: Tupo tayari

Wakili wa Serikali: Chavula anaendelea

Jaji: Shahidi nakukumbusha Kuwa bado Upo Chini ya Kiapo

Wakili wa Serikali: Wewe ni Mohammed Abdilah Ling'wenya

Shahidi: Ndiyo

Wakili wa Serikali: wewe ni Komandoo

Shahidi: Ndiyo

Jaji: Umeacha Kuwa Komandoo

Mahakama Kicheko

Wakili wa Serikali: Ujeshi Ukomandoo haufutiki

Shahidi: Ndiyo ni sahihi

Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamsahrti yake.? yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya

Shahidi: Rudia swali

Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamsahrti yake.? yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya

Miiko inakufunga bado

Shahidi: Wakati nipo Kwenye Himaya ya Jeshi

Wakili wa Serikali: Kuna Miiko ya Kijeshi ya hutakiwi Kuongea

Shahidi: kama Yapi

Wakili wa Serikali: Wewe ndiyo utuambie

Shahidi: Wewe ndiyo umeyaleta Ndiyo Utuambie sasa

Wakili wa Serikali: Kwa hiyo kule Jeshimi si Kuna Miiko hata Ukimatila Jeshini utakiwi kuyaeleza

Shahidi: Siyo sahihi

Wakili wa Serikali: Ulipokuwa Jeshini kozi ya Komandoo ulikula Kiapo

Shahidi: Kiapo gani

Wakili wa Serikali: si Ulikula Kiapo,je nikiapo gani

Shahidi: Nitalitumiakia Jeshi Mpaka Kufa

Wakili wa Serikali: Ulikuwa unatumikia Jeshi Kwa Mambo gani

Wakili wa Serikali: Kingime lipi ulikuwa unafanya Jeshini

Shahidi Kulinda Nchi,Kulinda ,Silaha,Vifaa na Amani ya Ndani na Nje ya Nchi

Shahidi Force Keeping Congo

Jaji: Focrce Keeping Maana yake nini

Shahidi: tulikuwa tunaforce amani Congo

Jaji: unaweleza Kutofautisha Peace Keeping na Peace Keeping

Shahidi: Moja Sudani Hatutakiwi Kupigana na Waasi Mpaka watuonyeshee silaha /Mtutu lakini Congo tulikuwa tunatoka tunaenda sehemu kama Tunguu kwa Maelezo kuwa yoyote tutakaye mkuta Tunapigana au Kumuua

Wakili wa Serikali: ni sahihi nikisema Kuwa yna Degree Sita za martial Arts

Wakili wa Serikali: kwa hiyo wewe Mwalimu gani ujui Martial Arsts,Wewe Unafundisha nini

Shahidi: Siyo sahihi

Shahidi: Nafundisha kuruka na parashuti,Kupigana Juu ya Maji kwa kutumia silaha na Combats

Wakili wa Serikali: kwa hiyo wewe unafahamu kupigana Karates

Shahidi: nafahamu

Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi

Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote

Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza

Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili

Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92Kj
Ninayo hofu ya mwisho wa kesi hii, nafsi inaniambia mwisho wake si haki ingawa jaji anaonekana kuwa poa.
 
Hakuna mhalifu anaweza kusema polisi wanatenda haki. Hivi polisi wamekuja kukukamata badala ya kusalimu amri unaanza kutunisha misuli unataka wakuombee utulie?
 
Back
Top Bottom