HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Line Police katika ubora wakeHakuna mhalifu anaweza kusema polisi wanatenda haki. Hivi polisi wamekuja kukukamata badala ya kusalimu amri unaanza kutunisha misuli unataka wakuombee utulie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Line Police katika ubora wakeHakuna mhalifu anaweza kusema polisi wanatenda haki. Hivi polisi wamekuja kukukamata badala ya kusalimu amri unaanza kutunisha misuli unataka wakuombee utulie?
Mahakama huwa haiti mtu kuwa shahidi- ama anaitwa na upande wa mashtaka au wa utetezihuyu Athma alindwe, mahakama inaweza kumuita aje kutoa ushahidi kama itaona ni vyema.
Ni nani anawatishia wanajeshi? anafahamu athari zake,? ni kweli mna Mamlaka lkn hapa mmeenda vibaya!!!Mallya: Kuna Taarifa tunayo tangu tuseme Kuwa Kuna Mashahidi ambao wapo Jeshini, Wapo Wanajeshi wawili wameshaitwa Kutishiwa wasije kutoa Ushahidi.
Huoni watu wamepata nafasi ya kujua mengi kuhusiana na utendaji wa vyombo vyetu vya dola. Ni rahisi kumnyooshe kidole Kagame kumbe na sisi tumo!!Kesi kesi watu wanajipa matumaini humu. Hii kesi si mliizira jamani hata dhamana mkasema hamtamtolea chair abaki huko huko jela. Maisha haya
Huoni watu wamepata nafasi ya kujua mengi kuhusiana na utendaji wa vyombo vyetu vya dola. Ni rahisi kumnyooshe kidole Kagame kumbe na sisi tumo!!
Mbowe na wenzake maji ya shingo, sasa wanatapatapa.
walidhani kuchezea amani ya nchi ni masihara!! ebo!!
Hili Gaidi lingeachiwa liendelee kumbe lingetuletea madhara makubwa sana bora vyombo vyetu vimelikabili.
na pia lilifanikiwa kupandikiza mbegu za kigaidi kwa wananchama wake.
nao wanapaswa wafuatiliwe nyendo zao.
Hopeless.mnamzeesha bure Kibatala wa watu.
Ninayo hofu ya mwisho wa kesi hii, nafsi inaniambia mwisho wake si haki ingawa jaji anaonekana kuwa poa.
Naona wakili wa serikali kaamua kuuliza mambo ya kijeshi tuu kaachana na maswali ya ugaidi[emoji102][emoji102]Leo tena upande wa utetezi katika kesi ya Mbowe wanaendelea kutoa ushahidi wao katika kesi ndogo ya kesi kubwa ambapo leo tarehe 28/09/2021 Mtuhumiwa Lig'wenya anaendelea na ushahidi wake.
=======
Jaji: ameshaingia Sasa
Kesi namba 16 Inatajwa
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021,Jamuhuri dhidi ya Halfan Bwire,Adam Hassana Kasekwa (Adamoo), Mohammed Abdalah Ling'wenya na Freeman Aikael Mbowe
Watuhumiwa wanapandishwa Kuzimbani
Jaji: wakili wa Serikali
Robert Kidando
Abdallah Chavula
Nasoro Katuga
Easter Martin
Tulimanywa Majigo
Jenitreza Kitali
Wakili Peter Kibatala nayeye anatambulisha Orodha yake
Gaston Garubindi
Idd Msawanga
Bonifasia Mapunda
Evaresta Kisanga
Hadija Aron
Michael Mwangasa
Dickson Matata
John Mallya
Fredrick Kihwelo
Nashon Nkungu
Jaji: Wote Mpo tayari kuanza?
Pande zote Mbili wamesema wapo tayari
Jaji: niombe apande Shahidi wapili ambaye alikuwa bado ajamaliza Kutoa Ushahidi wake
Shahidi: anapanda Kizimbani
Kimyaaaaa Kidogo
Jaji: wakili Nashon Nkungu
Nashon: ni kweli Kule Rau Madukani....
Jaji: aina hiyo ya Mswali Ndiyo inaletaga Utata
Nashoni: Ulipoluwa Madukani Ulikuwa unamuona Mshitakiwa wapili, Kweli si Kweli
Shahidi: Ni kweli
Nashon: Wakati tukio linatendeka ulikwepo.?
Shahidi: nilikwepo
Nashon: wakati tukio linatendeka Palikuwa na watu wengi wanashihudia.?
Shahidi: ndiyo palikuwa na watu wengi wanashuhudia
Nashon: Je hapa Mahakamani ulishawahibKuona Mtu yoyote aliyekuwa anashuhudia tukio
Shahidi: Hapana sijaona yoyote
Nashon: ulipokuwa Central Police Moshi, Je ulishuhudia taratibu za Kipolisi zilifanyika kama Kukuandikisha
Shahidi: Hapana Sijaiona
Nashon: Ulishawahi Kuona Detention Register Ya Mosho hapa Mahakamani.?
Shahidi: Hapana
Nashon: Kuna Shahidi alikuja anaitwa Detective Msemwa alisema aliwapokea Central Police Dar je Unamfahamu
Shahidi: Simfahamu
Nashon: Unasemaje kuhusu Maneno yake kuwa aliwapokea Central Police Dar,.Je unamfahamu.?
Shahidi: Simfahamu wala sijawahi Kufika Central Dar
Nashon: Unasemaje kuhusu Detention Register aliyokuja nayo hapa Mahakamani
Shahidi: sifahamu alitoa wapi
Nashon: Kuna sehemu yoyote katika Ile Detention Register ambayo amekuinyesha Ulisaini wakati wanakupokea
Shahidi: sikuona
Nashon: Wakati Dective Msemwa anatoa Ushahidi Anasema alikuwa na Afande Fatuma kama CRO incharge,Je ulishwa kumuina FATUMA hapa Mahakamani.?
Shahidi: Hapana
Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?
Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Jaji: alisema wakati gani
Shahidi: Wakati tunayoka Tazara kwenda Mbweni,Tukiwa kwenye Gari
Nashon: ulielewa nini Kwa Maneno tutakutupa..?
Shahidi: nilijua kuwa watanipoteza,Wataniua alafu hakuna atakaye jua nipo wapi
Nashon: nitakuwa sahihi Nikisema walikupa DEATH THREAT
Shahidi: ni sahihi kwa sababu niliona Moses tulikuwa naye Kweli Rau Madukani alafu ajulikani alipo na wala hatupo naye,nikajua wamemuua na watanifanyia kama yeye nilijisikia Vibaya
Jaji: je Wakili wa Mshitakiwa watatu Fredrick Kihwelo
Jaji: je Mawakili wa serikali Mnaona ni sawa
Fredrick Kihwelo: Sitokuwa na Swali Mheshimiwa Jaji
Jaji: je ni sahihi kwa yeye kuuliza swali kabla hatujafika kama atauliza au lah
Fredrick Kihwelo: nimeamua Kujinyima Haki Mheshimiwa
Jaj: sawa Wakili wa Mshitakiwa wa Nne
Kibatala: Kitendo cha Kugongwa gongwa na Bastola na kukwambia watakutupa,Je tishio liliongezeka Moyoni Mwako kutokana na yalivyo kuwa yameshatokea kabla..?
Shahidi: Hofu ilizidi kuwa Kubwa Kufuatia Kilichokuwa Kimeshatendeka Moshi
Kibatala: Moses Lijenje unamfahamu wakati unaambiwa hayo maneno
Shahidi: Ndiyo nilikuwa namfahamu tulikuwa naye pale Rau Madukani
Kibatala: haiba yake ni nani
Shahidi: alikuwa Mwanajeshi Wa 92 KJ lakini wakati yeye akiwa Mwanajeshi pale mimi nilikuwa bado sijaanza kazi
Kibatala Wakati kesi inaendelea hapa Uliwahi Kusikia kuwa nayeye ni Mshitakiwa.?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulishawahi Kusikia kuwa watamleta baadae
Shahidi: Hapana
Kibatala: Pale Rau Moshi Mkiwa Pale,hawa wakati wanamkamata Adamoo ulisikia Askari yoyote anasema ana HATI YA UKAMATAJI
Shahidi: Hapana
Kibatala: Wakati unaingilia Ukamataji wa Adamoo,Uliskia Askari Polisi yoyote hasa Kingai Kuwa Tafadahali Usiingilie zoezi la Ukamataji , Kwa sababu za Kisheria.?
Shahidi: Hapana sijasikia
Kibatala: Uliwahi Kumsikia hapa Mahakamani Kingai ametoa Warrant of Arrest (Hati ya Ukamataji)
Shahidi: Hapana
Kibatala: Wakati wa Ushahidi Mahita alisema Kingai ndiyo alikuwa akiongozi wao
Shahidi: Ndiyo nilimsikia
Kibatala: Kingai tangu wanatoka Arusha walisema walikuwa wanafahamu wanaenda Kumkamata Adamoo kwa Tuhuma za Ugaidi
Shahidi: Ndiyo nilisikia hivyo
Kibatala: lakini alipokuja hapa alishawahi Kutoa Ruhusa ya Mahakama kwamba wanaenda Kumfanyia Adamoo kitu fulani.?
Shahidi: Hapana Sikusikia
Kibatala: Adamoo alitekwa au Alikamatwa
Shahidi: alitekwa
Kibatala: Kwanini ulikumbuoa mambo ya Rau Madukani Mpaka Maduka ya Mtu na Mpaka Majina ya ya Mwenye Duka
Shahidi: Mimi ndiye niliyemshauri Adamoo twende pale kwa Sababu nilikuwa na Dada yangu na pale ni sehemu ya familia
Kibatala: Umeweza Kufafanua Mpala kutuchorea picha Kwasababu ni Mambo uliyowahi kuyaishi
Wakili wa Serikali: OBJECTION Shahidi ajasema kuwa amewahi Kuishi Rau Madukani
Kibatala: sijasema ameishi Rau Madukani, Nimesema ameeleza Kwa sababu Maelezo yake ameyaishi
Jaji: wakili wa Serikali
Wakili wa Serikali: hilo neno kuyaishi Mbeleni linawezakutumika Vibaya
Jaji: Kibatala
Kibatala: Wacha nibadirishe swali kwa Sababu ya Muda
Kibatala: Wakati Kingai anasema aliwakuta Kwenye kibanda Umiza alitaja Jina.?
Shahidi: Hakutaja Jina
Kibatala: tofauti na Kingai,Wewe umetaja Mpaka Jina
Shahidi: nimetaja Mpaka Jina
Wakili Kibatala: nilisikiabkuwa wakati Unakamatwa ulitoa Vitu Vyako ukaweka Kwenye Kibaraza cha huyo Dada,Nilisikia Vizuri.?
Shahidi: upo sahihi
Kibatala: Je ungejisikia Vizuri kama yule Dada angekwepo wakati wa Ukamataji wako kwa Sababu alikwepo Dukani
Shahidi: Ndiyo ningepata Amani zaidi kama angekuwa Shaidi
Jaji: jana Ulisema Adamoo amekamatiwa wapia
Shahidi: Kati kati ya Glocery na Flemu za Madukani
Jaji: unaweza sasa Kuendelea Kumjibu wakili
Shahidi: Ndiyo ningejisikia Vizuri kama Dada yangu angekwepo
Jaji: unamaanisha Athma
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Wakati wanamshambulia Adamoo hao Askari walikuwa na Silaha
Shahidi: hawakuwa na Silaha,labda wa Nje Kwa sababu katika Ukamataji kwa ufahamu wangu kuna "Inn and Outer" labda walifunga Nje ndiyo walikuwa wamezunguka eneo lile au waliokuja baadae
Kibatala: kwanini unasema Adamoo hakuwa na Bastola wakati wa Ukamataji kwa uhakika
Shahidi: kwa sababu Adamoo nimesafiri naye,Nimelala naye Chumba Kimoja na Tukatoka kuja wote kwa Dada yangu. na Koti ndiyo alikuwa ametoka Kulinunua
Kibatala: Kwa Ufahamu wako ile Bastola imetoka kwa nani.?
Shahidi: kwa Jumanne,Ndiye aliyesema ana bastola na watu walikuwa wamejaa Sana
Kibatala: kwa Ulivyoshuhudia Ule siyo Ukamataji ni Ugomvi
Shahidi: siyo Ukamataji ni Ugomvi
Kibatala: Shahidi umesema Jumanne alimuweka Adamoo Madawa,ulijuaje kuwa yale ni Madawa
Shahidi: kwa sababuJumanne ndiye aliye tamka kama alivyo tanka anapistol ndiyo alitamka Ana madawa
Kibatala: kwanini unaamini Adamoo hakuwa na Madawa ya Kulevya
Shahidi: Mimi ndiye niliyemshauri Adamoo twende pale kwa Sababu nilikuwa na Dada yangu na pale ni sehemu ya familia
Kibatala: Umeweza Kufafanua Mpala kutuchorea picha Kwasababu ni Mambo uliyowahi kuyaishi
Wakili wa Serikali: OBJECTION Shahidi ajasema kuwa amewahi Kuishi Rau Madukani
Kibatala: sijasema ameishi Rau Madukani, Nimesema ameeleza Kwa sababu Maelezo yake ameyaishi
Jaji: wakili wa Serikali
Wakili wa Serikali: hilo neno kuyaishi Mbeleni linawezakutumika Vibaya
Jaji: Kibatala
Wacha nibadirishe swali kwa Sababu ya Muda
Kibatala: Wakati Kingai anasema aliwakuta Kwenye kibanda Umiza alitaja Jina.?
Shahidi: Hakutaja Jina
Kibatala: tofauti na Kingai,Wewe umetaja Mpaka Jina
Shahidi: nimetaja Mpaka Jina
Wakili Kibatala :nilisikiabkuwa wakati Unakamatwa ulitoa Vitu Vyako ukaweka Kwenye Kibaraza cha huyo Dada,Nilisikia Vizuri.?
Shahidi: upo sahihi
Kibatala: Je ungejisikia Vizuri kama yule Dada angekwepo wakati wa Ukamataji wako kwa Sababu alikwepo Dukani
Shahidi: Ndiyo ningepata Amani zaidi kama angekuwa Shaidi
Jaji: jana Ulisema Adamoo amekamatiwa wapia
Shahidi: Kati kati ya Glocery na Flemu za Madukani
Jaji: unaweza sasa Kuendelea Kumjibu wakili
Shahidi: Ndiyo ningejisikia Vizuri kama Dada yangu angekwepo
Jaji: unamaanisha Athma
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Wakati wanamshambulia Adamoo hao Askari walikuwa na Silaha
Shahidi: hawakuwa na Silaha, labda wa Nje Kwa sababu katika Ukamataji kwa ufahamu wangu kuna "Inn and Outer" labda walifunga Nje ndiyo walikuwa wamezunguka eneo lile au waliokuja baadae
Kibatala: kwanini unasema Adamoo hakuwa na Bastola wakati wa Ukamataji kwa uhakika
Shahidi: kwa sababu Adamoo nimesafiri naye,Nimelala naye Chumba Kimoja na Tukatoka kuja wote kwa Dada yangu. na Koti ndiyo alikuwa ametoka Kulinunua
Kibatala: Kwa Ufahamu wako ile Bastola imetoka kwa nani.?
Shahidi: kwa Jumanne,Ndiye aliyesema ana bastola na watu walikuwa wamejaa Sana
Kibatala: kwa Ulivyoshuhudia Ule siyo Ukamataji ni Ugomvi
Shahidi: siyo Ukamataji ni Ugomvi
kibatala: Shahidi umsema Jumanne alimuweka Adamoo Madawa,ulijuaje kuwa yale ni Madawa
Shahidi: kwa sababuJumanne ndiye aliye tamka kama alivyo tanka anapistol ndiyo alitamka Anamadawa
Kibatala: kwanininunaamini Adamoo hakuwa na Madawa ya Kulevya
Shahidi: kwa sababu Adamoo nilikuwa naye kwa kila hatua na alikuwa Mgeni kule Moshi, Ndiyo maana nilimpeleka kwenda Kumtembelea Dada Yangu
Kibatala: Unasemaje Madai ya Mahita kuwa walipowakamata walianza Kuwachukua Muwatembeze Maeneo Mbali kamaViongoza Njia katika Kumtafuta Lijenje
Shahidi: Ni Uongo
Kibatala: husianisha Sasa Swala la Ugeni wa Adamoo na jambo la Mahita kwamba aliwatumia kama Viongoza Njia
Shahidi: ni Uongo kwa sababu Adamoo alikuwa Mgeni afahamu eneo Lolote
Wakili wa Serikali: OBJECTION Shahidi anaulizwa Maswali yanayompeleka Kutoa Opinioni zake, Jambo hili ni Kinyume na Sheria ya Ushahidi
Jaji: unaweza Kusoma hicho Kifungu
Wakili wa Serikali ,anasoma.................
Jaji: Kulingana na Ulichokisoma umaanisha nini kwa neno Persive
Jaji: Kibatala Kama kweli angerejea sheria angetumia Kifungu cha 62 (c) kwa Maoni yangu Shahidi anaulizwa Perception yake yeye,Very strait
Jaji: wakili wa Serikali Sisi tunaendelea Kusisitiza Hilo swali lisiruhusiwe, Kwenye Ushahidi tunaona ni Jambo ambalo si sawa
Jaji, nimewasikiliza pande zote Mbili mimi naona Kuwa Kifungu cha 62 (c) kinaruhusu Shahidi Kutoa Mtazamonwake Kuhusu Jambo analoyolea Ushahidi
kibatala: haya elezea Sasa Unahusinisha Vipi Ugenibwa Adamoo na Maelezo ya Mahita ya kuwatumia kama Viongoza njia
Shahidi: Ni Uongo Adamoo alikuwa Mageni Moshi tulifika Sikubya kwanza, Siku ya Pili,siku ya tatu tunakamatwa
Kibatala: Kingai anasema aliwachukua wadada wawili Mpaka Central Kwenda Kutoa Maelezo je ulishihudia.?
Shahidi: Sikushuhudia
Kibatala:Je Wallet yako na Simu yako Ulisikia Afande Kingai au Mahita kuwa Vifaa Hivyo viliingizwa Kwenye Register Moshi.?
Shahidi:Sikusikia
Kibatala: Mashahidi hao wawili pia walizungumzia Hati ya Uchukuaji wa Vielelezo CERTIFICATE OF SEIZURE je ulisikia
Jaji: Kiswahili Chake Kikosawa
Jaji: tafiri iwe Hati ya Kuhodhi Mali
Kibatala: Ulisikia Kuwa Pistol,Madawa ya Kulevya na Vitu vyako ulisikia kama Viliingizwa kwenye Hati ya Kuhodhi Mali
Shahidi: Sikusikia
Kibatala: Bila shaka Kile kitabu cha Komito Unacho,Je umewahi Kuona Mle Kuna Sehemu yoyote Imeandikwa kuhusu Madawa ya Kulevya
Shahidi: Hapana Hakuna na sijaona
Kibatala: Moaka Leo unatoa Ushahidi hapa Mahakamani uliwahi kusikia au Kuona Adamoo alipatatikana na Madawa ya Kulevya.?
Shahidi: Sijawa Kusikia wala Kuona
Kibatala: Uliwahi Kushuhudia Kuwa Adamoo wamemchukua Sampuli ya mwili wake kwa ajili ya Kwenda Kupima utumiaji wa Madawa ya Kulevya
Shahidi: sijawahi kuona
Kibatala: Uliwahi Kushudia Adamoo akipewa hati ya kumiliki Mali
Shahidi: sikuwahi Kushahidi
Kibatala: uliwahi Kupewa hati ya Kumiliki Mali
Shahidi: Hapana sijawahi
Kibatala: Uliwahi Kushudua Adamoo akipewa nafasi wa Kushuhudia wakatibakitoa Maelezo pale Moshi
Shahidi: Hapana sijawahi
Kibatala:Uliwahi wewe Kupewa nafasi ya Kumyita Shahidi wa Kushudia wakati Ukitoa Maelezo
Shahidi: Hapana
Kibatala: Unauhakika gani Kuwa Adamoo alifanyiwa Mateso akiwa Moshi Polisi Central Station
Shahidi: niliwahi Kumuona Adamoo akiwa anaburutwa,na Baadae wakawahi Kunipiga Kitambaa,lakini nilishawahi Kuona
Kibatala: hayo yanaweza Kuwa ni Matokeo ya Adamoo Kuteswa ,Je ulishuhudia Vipi kuwa Adamoo anateswa
Shahidi: Nilislia Kilio cha Adamoo kwa Sababu Sauti ya Adamoo naijua nilikuwa mwalimu wake katika kozi za Ukomandoo,Nilikuwa namuita Sauti ya Zege tangubakiwa Mwanafunzi wangu 92 KJ
Kibatala: kumbe wewe ni Mwalimu wa Adamoo.?
Shahidi: Ndiyo Mwalimu Mzuri sana
Kibatala: Ukiwa kama Mwalimubwa Adamoo ulishawahi Kusikia anatumia Madawa ya Kulevya
Shahidi: Hapana
Kibatala: ungesikia Adamoo anatumia Madawa Ya Kulevya wakati Mkiwa Jeshini Utaratibu unakuwaje
Shahidi: hayo ni Mambo yakushughulikiwa na Millitary Police
Kibatal:a Mwambie Mheshimiwa Jaji jambo Lingine unalothibitsha kuwa yale Mateso yalikuwa ni ya Adamoo
Shahidi: kwa sababu hata tulipokuwa Cello tuliongea akaniambia ,poa tuh ila mikazo tuh,Nikamwambia na Mimi hivyohivyo,Ila navumilia
Jaji: Unaposema Poa ila Nikazo maana yake nini.?
Shahidi: Kwamba tumeumia ila tunajitahdi Kuvumilia
Kibatala: nakutoa Moshi nataka kwenda Kwenye kusafiri nilisikia unasema wewe ulisafiri na Adamoo kwenye gari Moja
Jaji: ni kweli ulisema wewe na Adamoo mlisafiri kwa gari Moja.?
Shahidi: hapana sifahamu nilihisi tuh kwa sababu sikuona
kibatala: Sasakwa Ufahamu wako wa Kawaida Ulisafiri naye au hukusafiri naye
Shahidi: kama nilivyosema sikuona akipanda ila niliskia Nyuma Buti limefungukiwa anakapndishwa Mtu,Kwa fahamu zangu naweza Kusema tulisafiri naye
Kibatala: katika hisia za Kusafiri naye hapohapo ni kweli Kwamba Gari ilisimama.Sehemu mkala
Shahidi:Hapana ni Uongo
Kibatala: kwamba Gari mkiharibika Mkasimama na Kubadili gari nikweli Usingefahamu..?
Shahidi: Nisingefahamu Japo kuwa nilikuwa nimefungwa Kitambaa,Kakini gari ikisimama nafahamu
Kibatala: Kumbukumbu yako Wakati Shahidi anawapokea Pale Central alisema aliwapokea Kwenye gari Moja.?
Shahidi: kwa Kumbukumbu zangu alisema tulifika pamoja
Shahidi: Kwa Mkupuo mmoja
Kibatala: je kwa mkupo Mmoja au Tofauti Tofauti.?
Kwa Ufahamu wako Nani alikuwa anawapa wenzie Amri tangu huko Moshi
Shahidi: Kingai
Kibatala: Umefanya kazi Jeshini,Mwambie Mheshimiwa JajibKwenye Msafara pakiwa na Senior Officer na Junior Officer Inawezekana vipi Junior Officer Kutoa Amri.?
Kibatala: Inaezekana Vipi Shahidi watatu kwa Maneno yake kwamba alikabidhiwa Watuhumiwa na Junior Officer wakati Kingai Alikwepo
Shahidi: haiwezekani
Shahidi: Haiwezekani,Kwa sababu Kingai alitakiwa kutukabidhisha kwa sababu alikwepo
kibatala: Ulisikia akisema alipokea Chochote kile ili akiingize kama Kidhibiti kwa Kujibu wa sheria
Shahidi: Sikumsikia
Shahidi: Hapana sikusikia
Kibatala: Rudi Tazara ACP kingai alikiri Kuwa Mlienda Mbweni ila hamkwenda Tazara,Je unathibitishaje kuwa Mlienda Tazara
Shahidi: Natihibitisha kwa sababu nilimuona Alex na Chuma Chungulu ambao nilikuwa nao Jeshini,Nathibitisha kwamba Ilikuwa Tazara
Kibatala: Ulijisikiaje safaribyote Kutoka Moshi Mpaka Dar es salaam Ukiwa Umefungwa Pingu
Shahidi: Nilijisikia Vibaya
Kibatala: na Ukahisi nini
Shahidi: Mateso
kibatala: kwa Ufahamu wako Umesema ulipokuwa Tazara ulishuhudia nani alikuwa ametoka kuteswa.?
Shahidi: Denis Urio
Kibatala: Kwenye Kitabu Cha Komito ulimuona ni Shahidi wangapi wa Mashtaka
Shahidi: Shahidi wa Tatu
Kibatala: Urio aliwahi Kukutembele Gerezani ujue kuwa Yupo huru.?
Shahidi Hapana
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: na Unamfahamu Vizuri Denis Urio
Shahidi: Ndiyo ni Mwalimu wangu kabisa wakati naingia Jeshini,na mimeishi naye achumba Kimoja Nikowa kwenye Misheni DARFUR SUDAN
kibatala: uliwahi kwenda sudani na Wapi Kwa Misheni za Kikazi
Shahidi: CONGO
kibatala: unathibitisha Vipi Kwamba Mwenzako Adamoo alikwepo Tazara
Kibatala: Nakutoa Tazara nakurudisha Mbweni,Kuna sehemu unasema Kuwa Ulimuona Kuwa Kingai alikuwa ameingia Kuna kachumba Fulani
Shahhid: Baada ya Mahabusu wenzangu Kusema Mwenzako yupo,Niliita Adamoooooo na akaitaika
Jaji: wapi
Kibatala: Mbweni
Shahidi: palikuwa na Vyumba Vitatu,Mimi niliwekwa kwanza kwenye Chumba cha Kwanza, Kingai akaingia kwenye Chumba Kinachofuata
Jaji: Subiri Kidogo
Jaji: Subiri Kidogo
Jaji :Ukamuona Kingai naingia
Shahidi: Kingai alipoingia akapitiliza Mlangowa Chumba cha Pili, Mimi nilikuwa Chumba cha kwanza Nipo na Jumanne
Kibatala: Goodluck alikuwa ameshika Kitu chochote
Shahidi: alikuwa ameshika Bastola
Kibatala: Kwa Uelewa wako Batola ilikuwa na maana gani
Shahidi: ilikuwa kunitishia na Kutaka kunifanyia Kitendo chochote,kama alivyosema Kunitupa
Nikiwa palepale nilimuona alikuwa Adamoo akitolewa katika Kile Chumba
Kibatala: alikuwa na hali gani
Shahidi: alikuwa amechoka sana na hajala
Kibatala: Ulijuaje kama hajala
Shahidi: Kama mimi sikuwa nakula nayeye pia alikuwa ajala
Kibatala: Hukula kwa siku ngapi
Shahidi: Sikuwa nimekula kwa Muda wa siku 10 Kuanzia tarehe 09 Mpaka tarehe 08 tarehe 09 Mpaka 19 Mwezi wa Nane,Chakula tulienda Kupewa Mahakamani
Kibatala: Inakuwaje Mtu akae Siku zote hizo bila Chakula
Shahidi: walikuwa wanawahudumia Mahabusu Wengine
Jaji:Mahakamani nani alikupa Chakula Mahakamani
Shahidi: Afande Goodluck alileta Ugali na Dagaa na hapo tulishakuwa wengi tayari
Kibatala: inakuwa Ngumu mimi kuamini Kuwa hukula kwa siku 10te 10
Shahidi: Ndiyo ni kweli sikula Chakula
Kibatala: Je maji
Shahidi: Chumba Changu Cha Mahabusu palikuwa na Bomba la maji ndiyo kilichonisaidia
kibatala: ukisema Chakula unamanisha nini.?
Shahidi: Chakula cha Mahabusu,kama wenzetu maana walikuwa Wanatuambia kuwa hawahusiki na sisi Chakula Chao wanawapa Mahabusu wao tuh
Kibatala: Sasa Ikawaje
Shahidi: Yule Afande sasa tuliyejenga naye Urafiki ndiyo alikuwa ananiletea Biscuit na Soda ua Maji special na Pia nilikuwa namuomba ampe Maagizo Adamoo
kibatala: Sasa tunaenda Sawa
Kibatala: Wakati wote Umefungwa Pingu ,ilikuwa Rahisi au Ugumu kiasi gani wakati wa kujisaidia
Shahidi:. .... .... ....
Kibatala: Asante Mheshimiwa Jaji nilikuwa nazingatia hilo
Jaji: Wakati tunasubiri Majibu ya shahidi,Nashauri tujikite sasa kwenye nini hasa Kilitokea wakati wa akumvhujua Maelezo Mashtakiwa wa Pili,
Kibatala: Wakati wote Mkiwa rumande Mwambie Mheshimiwa Jaji kuwa kama Mlishawahi Kupelekwa Hospotali
Shahidi: Hapana
Kibatala: ni hayo tuh Mheshimiwa Jaji
Jaji:ninatumaini sijakuzuia
Kibatala: Hapana Mheshimiwa Jaji nimemeliza tuh
Jaji Naomba tubreak Kwa Dakika 15 Kwa Afya Zetu
Jaji anatoka Sa 4 na Dakika 54
Tumesharudi Mahakamani watu wote
Jaji ameshaingia
Kesi inatwajwa tena
Wakili wa Serikali: Tupo tayari Kuendelea
Jaji: Utetezi Mpo tayari.?
Kibatala: Tupo tayari
Wakili wa Serikali: Chavula anaendelea
Jaji: Shahidi nakukumbusha Kuwa bado Upo Chini ya Kiapo
Wakili wa Serikali: Wewe ni Mohammed Abdilah Ling'wenya
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: wewe ni Komandoo
Shahidi: Ndiyo
Jaji: Umeacha Kuwa Komandoo
Mahakama Kicheko
Wakili wa Serikali: Ujeshi Ukomandoo haufutiki
Shahidi: Ndiyo ni sahihi
Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamsahrti yake.? yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya
Shahidi: Rudia swali
Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamasharti yake.? Yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya
Miiko inakufunga bado
Shahidi: Wakati nipo Kwenye Himaya ya Jeshi
Wakili wa Serikali: Kuna Miiko ya Kijeshi ya hutakiwi Kuongea
Shahidi: kama Yapi
Wakili wa Serikali: Wewe ndiyo utuambie
Shahidi: Wewe ndiyo umeyaleta Ndiyo Utuambie sasa
Wakili wa Serikali: Kwa hiyo kule Jeshimi si Kuna Miiko hata Ukimatila Jeshini utakiwi kuyaeleza
Shahidi: Siyo sahihi
Wakili wa Serikali: Ulipokuwa Jeshini kozi ya Komandoo ulikula Kiapo
Shahidi: Kiapo gani
Wakili wa Serikali: si Ulikula Kiapo,je nikiapo gani
Shahidi: Nitalitumiakia Jeshi Mpaka Kufa
Wakili wa Serikali: Ulikuwa unatumikia Jeshi Kwa Mambo gani
Wakili wa Serikali: Kingime lipi ulikuwa unafanya Jeshini
Shahidi: Kulinda Nchi,Kulinda ,Silaha,Vifaa na Amani ya Ndani na Nje ya Nchi
Shahidi: Force Keeping Congo
Jaji:Focrce Keeping Maana yake nini
Shahidi: tulikuwa tunaforce amani Congo
Jaji: unaw3leza Kutofautisha Peace Keeping na Peace Keeping
Shahidi: Moja Sudani Hatutakiwi Kupigana na Waasi Mpaka watuonyeshee silaha /Mtutu lakini Congo tulikuwa tunatoka tunaenda sehemu kama Tunguu kwa Maelezo kuwa yoyote tutakaye mkuta Tunapigana au Kumuua
Wakili wa Serikali: ni sahihi nikisema Kuwa yna Degree Sita za martial Arts
Wakili wa Serikali: kwa hiyo wewe Mwalimu gani ujui Martial Arsts,Wewe Unafundisha nini
Shahidi: Siyo sahihi
Shahidi Nafundisha kuruka na parashuti,Kupigana Juu ya Maji kwa kutumia silaha na Combats
Wakili wa Serikali kwa hiyo wewe unafahamu kupigana Karates
Shahidi nafahamu
Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi
Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote
Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza
Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili
Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92K
Naomba tubreak Kwa Dakika 15 Kwa Afya Zetu
Jaji: anatoka Sa 4 na Dakika 54
Tumesharudi Mahakamani watu wote
Jaji: ameshaingi
Kesi: inatwajwa tena
Wakili wa Serikali: Tupo tayari Kuendelea
Jaji: Utetezi Mpo tayari.?
Kibatala: Tupo tayari
Wakili wa Serikali: Chavula anaendelea
Jaji: Shahidi nakukumbusha Kuwa bado Upo Chini ya Kiapo
Wakili wa Serikali: Wewe ni Mohammed Abdilah Ling'wenya
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: wewe ni Komandoo
Shahidi: Ndiyo
Jaji: Umeacha Kuwa Komandoo
Mahakama Kicheko
Wakili wa Serikali: Ujeshi Ukomandoo haufutiki
Shahidi: Ndiyo ni sahihi
Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamsahrti yake.? yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya
Shahidi: Rudia swali
Wakili wa Serikali: Ukomandoo na Uanajeshi si unamsahrti yake.? yapi ya Kufanya na yapi siyo ya Kufanya
Miiko inakufunga bado
Shahidi: Wakati nipo Kwenye Himaya ya Jeshi
Wakili wa Serikali: Kuna Miiko ya Kijeshi ya hutakiwi Kuongea
Shahidi: kama Yapi
Wakili wa Serikali: Wewe ndiyo utuambie
Shahidi: Wewe ndiyo umeyaleta Ndiyo Utuambie sasa
Wakili wa Serikali: Kwa hiyo kule Jeshimi si Kuna Miiko hata Ukimatila Jeshini utakiwi kuyaeleza
Shahidi: Siyo sahihi
Wakili wa Serikali: Ulipokuwa Jeshini kozi ya Komandoo ulikula Kiapo
Shahidi: Kiapo gani
Wakili wa Serikali: si Ulikula Kiapo,je nikiapo gani
Shahidi: Nitalitumiakia Jeshi Mpaka Kufa
Wakili wa Serikali: Ulikuwa unatumikia Jeshi Kwa Mambo gani
Wakili wa Serikali: Kingime lipi ulikuwa unafanya Jeshini
Shahidi Kulinda Nchi,Kulinda ,Silaha,Vifaa na Amani ya Ndani na Nje ya Nchi
Shahidi Force Keeping Congo
Jaji: Focrce Keeping Maana yake nini
Shahidi: tulikuwa tunaforce amani Congo
Jaji: unaweleza Kutofautisha Peace Keeping na Peace Keeping
Shahidi: Moja Sudani Hatutakiwi Kupigana na Waasi Mpaka watuonyeshee silaha /Mtutu lakini Congo tulikuwa tunatoka tunaenda sehemu kama Tunguu kwa Maelezo kuwa yoyote tutakaye mkuta Tunapigana au Kumuua
Wakili wa Serikali: ni sahihi nikisema Kuwa yna Degree Sita za martial Arts
Wakili wa Serikali: kwa hiyo wewe Mwalimu gani ujui Martial Arsts,Wewe Unafundisha nini
Shahidi: Siyo sahihi
Shahidi: Nafundisha kuruka na parashuti,Kupigana Juu ya Maji kwa kutumia silaha na Combats
Wakili wa Serikali: kwa hiyo wewe unafahamu kupigana Karates
Shahidi: nafahamu
Jaji: Naona Hamuelewani Wakili uliza kwa Yale Mambo ya kawaida hayo ni Mambo ya Kijeshi
Wakili wa Serikali: Nilifikiri ni Mwalimu atakiwa anajua Mambo yote
Wakili wa Serikali: Kipindi Cha Muda Gani ulitumia kujifunza Kupigana katares Mpaka ukaweza
Jaji: Ndiyo Mwalimubwa amambo ya Jeshi siyo Kiswahili
Shahidi: Miezi Sita ya Kozi,92Kj
Wakili wa Serikali: Ulikaa Miezi sita 92KJ ukijifunza kupigana karates
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: Ulifanya Phase ngapi.?
Wakili wa serikali: ni sehmu Gani Nyingine ulienda Kupata Mafunzo ya karates
Shahidi: phase Moja,Mengine niliyapatia Mahala pengine
Shahidi: nilienda Kujifunza Kick Boxing kwa Wafaransa
Wakili wa Serikali: Kwa Miezi Mingapi
Shahidi: Miezi Mitatu
Wakili wa Serikali: Kozi Nyingine ilikuwa ni nini.?
Shahidi: Kuzuia Uharamia
Shahidi: Sijui wewe
Wakili wa Serikali: Uharamia ni nini
Jaji: tudaidie kama Unaufahamu wowote kwa sababu wengine hatujui ila tumesikia sikiasikia
Shahidi: kwanza Ni Navy kwa Maana kuna kupambana Majini
Shahidi: Mapigano kwenye Majumba
Wakili wa Serikali: Kozi Nyingine
Wakili wa Serikali: Kwa Muda gani
Wakili wa Serikali: Kwa Muda gani
Shahidi: Kwa Miezi Mitatu
Wakili wa Serikali: Kwenye Majumba mnakuwa Mnampiga nani
Shahidi: Jinsi ya Kumtoa Adui Kwenye Majumba
Wakili wa Serikali: hayo Mapigano ya kwenye Majumba ,ni yepi uliyojifunza,Mieleka,ngumi...
Shahidi: Kutumia Silaha
Wakili wa Serikali: Silaha Zipi
Shahidi Kisu,SMG
Wakili wa Serikali Pamoja na Panga
Shahidi: panga sijataja
Wakili wa Serikali: Kisu ulifundishwa namna ya Kukitumia
Shahidi: kisu nilifundishwa
Wakili wa Serikali: Kwa hiyo ulifundishwa kupigana kutumia Mikono
Shahidi: Mheshimiwa Jaji nimeshalijibu swali anarudia tena
Jaji: na mimi naona unarudia tena
Wakili wa Serikali: Hukufundishwa Kupambana na Maadui wako kwa Kutumia Miguu au Mikono
Shahidi: sikufundishwa
Wakili wa Serikali: Katila kozi ya wafaransa ulipata Kujifunza Kickboxing
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: Kwahiyo baada ya Mafunzo hayo unauwezo wa akukabiliana na Adui Mahala Popote anapotokea,Kweli au si Kweli
Shahidi: Kweli
Wakili wa Serikali: Kwa kuchukuliwa kufanya kazi 92KJ wewe Umeaminika Sana,Kweli au Si Kweli
Shahidi: Kweli
Wakili wa Serikali: Na Nidhamu yako ni Yajuu sana Kweli ama si Kweli
Shahidi: Si kweli
Jaji: Ndiyo
Wakili wa Serikali: ili ndani ya 92KJ uoate Bahati ya Kuwa Mwalimu,ni kwamba kwenye Mafunzo uliyopita Umefanya Vizuri kwa kiwango cha Juu
Wakili wa Serikali: kwa hiyo wewe ni Mahiri sana
Shahidi: Kweli
Shahidi: kwa Wastani
Wakili wa Serikali: Mafunzo ulikuwa umefaulu ukaambiwa kawafundishe wenzio
Shahidi: Sikuambiwa hivyo,Jina lilitoka kwenda Starter nikatakiwa kwenda Kuwa Mkufunzi
Wakili wa Serikali: Ili uwe Mkufunzi unatakiwa uwe na Sifa gani
Shahidi: sijuibwakubwa wenyewe, lakini wanakaa kikao na inatoka ORDER kuwa Jina limetoka Kuwa Mkufunzi
Wakili wa Serikali: Umekuwa Mwalimu kwa Muda gani
Shahidi: Mwaka Mmoja
Wakili wa Serikali: bila shaka uliokuwa unawafundisha ulikuwa na maelewano mazuri na wao
Wakili wa Serikali: na Bila shaka wanafunzi wako walifaulu Vizuri
Shahidi: Kweli
Shahidi: Ndiyo walifaulu
Wakili wa Serikali: na wengibwa wanafunzi wako Mlikuwa mkielewana sana
Shahidi: Ndiyo tulikuwa tunaelewana
Wakili wa Serikali: wengi wao walikuwa na upendo na wewe
Shahidi: Ndiyo
Wakili wa Serikali: Wale wanafunzi wako ukiachana na Adamoo Kuna waliokuja kukutembelea
Shahidi: hapa sijaona,ila walikuwa wanakuja Segerea
Wakili wa Serikali: Taja ni nani alikuwa anakuja kukutembelea
Shahidi: ni One Two One
Mallya: OBJECTION wakili anakoelekea Kutaka kutajana Majina ambayo tena ya wanajeshi,Wengine tulishaomba MAHAKAMA wale ambao Ni WANAJESHI wasitajwe Kwakuwa wapo kazini na Wengine Wapo Kwenye USHAHIDI
Wakili wa Serikali: Taja Majina yake,hapa Tupo Mahakamani lazima uwe na Nidhamu
Jaji: Kuna Mtu anataka Kurespond,
Wakili wa Serikali;: Shahidi amekuwa akitaka Wengine Kwa Majina sasa sioni tatizo kwa kutaja huyo anayemtembelea
Mallya: Kuna Taarifa tunayo tangu tuseme Kuwa Kuna Mashahidi ambao wapo Jeshini, Wapo Wanajeshi wawili wameshaitwa Kutishiwa wasije kutoa Ushahidi.
Jaji: Je Mallya unafikiri hao wakitaka Kujua wanafunzi wa Ling'wenya waliomtembelea Magereza watashindwa.?
Mallya: watashindwa,
Jaji: kwanini
Mallya: kwa sababu wanatumia Codes
Wakili wa Serikali: Naomba Nishauriane na wenzangu
Jaji: Ikibidi nihairishe kidogo mjipange
Wakili wa Serikali: Tuendelee Mheshimiwa hilo swali naliacha
Jaji: kabla Ujaliacha tuambie kwanza ,Kuna Umuhimu wa hayo Majina
Wakili wa Serikali: Hapana Mheshimiwa
Wakili wa Serikali: Ile Kombania uliyokuwa unamfundisha Adamoo ilikuwa na Kombania ngapi
Shahidi: Sisi hatuna Kombania tunaita Squad room
Wakili wa Serikali: Kwa ile ya Adamoo ilikuwa na Watu wangapi
Shahidi: na watu 60
Wakili wa Serikali: Siyo wanajeshi wote wanaoingia 92KJ kweli si kweli
Shahidi: Nyoosha swali Vizuri
Wakili wa Serikali: Ili Mtu aingie 92 KJ unatakiwa Uwe na Sifa Maalum
Shahidi: Sielewi
Wakili wa Serikali: Sisi tulikuwa Makutopora wakakata Bogi la 92
Wakili wa Serikali Boginla Makutopora lishakatwa kuna Lipi linafanyika
Shahidi: Wanapimwa Afya
Wakili wa Serikali: kwa hiyo wanaoingia 92KJ Sifa Kuu Afya iwe Nzuri
Shahidi Ndiyo
Wakili wa Serikali: Baada ya Kufuzu Afya, kozi inaanza
Shahidi: inategemea
Wakili wa Serikali: We Umepiga Kipindi gani
Shahidi: Mwaka Mmoja na miezi nane
Wakili wa Serikali: kozi ilikuwa Ngumu sana au Nyepesi Kwako
Shahidi: Mheshimiwa Jaji siwezi Kusema Ngumu au Nyepesi kwa sababu Leo Mkipewa Ugumu kwenye Intro kesho mnapewa Mepesi kwenye Leki
Shahidi: Ndiyo
Wakili: ili uwe Mwalimu kwenye hiyo Kozi unatakiwa Uwe,Mkweli,Mtiifu,Mwenye nidhamu ya haki ya Juu
Wakili wa Serikali: Kwa hiyo sifa hizo zote unazo
Shahidi: siwezibKujua waliokaa wakanichagua
Wakili wa Serikali Kwa hiyi Kuna uwezekano Mtu akafuzu akawa hana hizo sifa
Shahidi: Imawezekana
Wakili wa Serikali: na wewe unawezekana ukawa huna hizo sifa
Shahidi: inawezekana
Wakili wa Serikali: Jeshini Kuna Mahabusu.?
Shahidi: Ipo
Wakili wa Serikali: Ile Mahabusu ya Kijeshi inasimamiwa na Nani.?
Shahidi: Military Police
Wakili wa Serikali: sahihi kwamba wanaofanya Makosa na kuwekwa Mahabusu ya ya Kijeshi wanaweza Kuwekwa kwa muda wa siku 2 au Wiki 2
Shahidi: Unawekwa
Wakili wa Serikali: Uwezi Kushtuka na siyo Ajabu ukiona Mtu kakaa Mahabusu Wiki Mbili,Kule Jeshini
Wakili wa Serikali: Uwezi Kushtuka na siyo Ajabu ukiona Mtu kakaa Mahabusu Wiki Mbili,Kule Jeshini
Shahidi: Unawekwa
Wakili wa Serikali: Vipi kuhusu chakula Ukiwa Mahabusu ya Jeshi
Shahidi: Unakula Resheni yako mara tatu kwa siku
Wakili wa Serikali: Chakula Kinatoka wapi
Shahidi: Chakula cha Serikali ni Cha Jeshi
Wakili wa Serikali: Na wanaoleta Chakula ni MP tuh
Shahidi: kwa kwetu KJ 92 Unachukuliwa na Kupelekwa Mess ukimaliza Kula unarudishwa Mahabusu
Shahidi: Kweli
Wakili wa Serikali: Utakubakiana na Mimi wanaowaletea Chakula ni wale Ma Mp wanaohusika na Mahabusu tuh
Wakili wa Serikali: Kwa Nidhamu ya Kwenye Majeshi wale wanaotunza wanajeshi Kuoe Mahabusu,hawana Nidhamu ya Kusema wale wanaletewa Chakula Nje ya wao wanaotunza Mahabusu
Shahidi: Si kweli
Mimi kwa 92 KJ hatupo chini ya Ulinzi kwamba Utatorika kazini,Unachukuliwa Mahabusu wanakupeleka Mess ukimaliza Kula Unarudi Mahabusu
Wakili wa Serikali: kwa hiyo haiwezekani kupewa chakula Kutoka Nje
Wakili wa Serikali: Chakula cha Nje ya Jeshi
Jaji: Shahidi kashaeleza utaratibu wa wa Chakula,unazungumzia Chakula cha Kutoka wapi
Shahidi: si elewi
Wakili wa Serikali: nitakuwa sahihi nikisema Komandoo Mmoja anaweza kupambana Askari wasio wanajeshi 50
wasiokuwa Makomandoo zaidi ya 50
Shahidi: Si kweli
Wakili wa serikali: komandoo anaweza Kukabiliana na Askari wangapi
😂😂😂😂 Nakuonea huruma Yani kwenye Uzi huu umecomment shombo zaidi ya Mara 3 Ila wanajukwaa wamekupuuza inauma Sana pole SanaHili Gaidi lingeachiwa liendelee kumbe lingetuletea madhara makubwa sana bora vyombo vyetu vimelikabili.
na pia lilifanikiwa kupandikiza mbegu za kigaidi kwa wananchama wake.
nao wanapaswa wafuatiliwe nyendo zao.
Wanawake wengi wa JF wako vizuri sana upstairs, ila wewe si mmoja wao. Na katika hili, utanisamehe sana kama nitakua nimekukwaza.Oooh basi akae milele huko tujue mengi
Ungeacha wajadili wenye akili.Mbowe na wenzake maji ya shingo, sasa wanatapatapa.
walidhani kuchezea amani ya nchi ni masihara!! ebo!!
Una akili timamu?mnamzeesha bure Kibatala wa watu.
Kwani hamza alifanyaje yeye?Hili Gaidi lingeachiwa liendelee kumbe lingetuletea madhara makubwa sana bora vyombo vyetu vimelikabili.
na pia lilifanikiwa kupandikiza mbegu za kigaidi kwa wananchama wake.
nao wanapaswa wafuatiliwe nyendo zao.
Kwani ulishaacha ushoga?Mashujaa waliofukuzwa jeshini!!!
Acha kuwa kiazi umri unakuacha kamanda.
Wanawake wengi wa JF wako vizuri sana upstairs, ila wewe si mmoja wao. Na katika hili, utanisamehe sana kama nitakua nimekukwaza.
Kama ungekua ndiyo wewe, ungekubali kukaa jela milele kwa kosa la kusingiziwa/kubambikiwa? Yaani uache familia yako, maisha yako mazuri uraiani, then ukaishi maisha ya mateso jela, kwa lengo tu la kujua mengi ya huko?
Ahahahah ana hamu na misasati kama sio mifudu au mitohoMjukuu wa mzee Mgaya ana mang'ana!Ana hamu na mikusu😂😂😂😂