Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi na Rushwa - 28/09/2021

Kesi kesi watu wanajipa matumaini humu. Hii kesi si mliizira jamani hata dhamana mkasema hamtamtolea chair abaki huko huko jela. Maisha haya
 
Kwa hiyo Kingayi na wenzake wamemwua komandoo Linjenje!! Huenda Linjenje alikataa kukamatwa kama kuku, wakaamua wammalize! Mungu wa rehema, tunaomba, uipokee roho ya Linjenje, apumzike kwa amani, na wauaji wake walaanike Duniani na mbinguni.

Sasa naelewa kwa nini Hamza alifikia hatua ile. Hivi hili kweli ni Jeshi la Polisi au genge la wauaji na watesaji?

Siro, pamoja na kutokuendelea kufikia ngazi ya upadre, yale mafundisho ya dini, ukiwa mseminari, hayakuweza kukusaidia angalao kuwa tu muumini wa kawaida anayejitahidi kufuata maelekezo na mafundisho ya Mungu?

Hakika hawa wanastahili kufungwa jiwe la kusagia shingoni na kutupwa majini.

Alaanike sana kingayi kwa mauaji anayoyafanya. Haya ni machache tuliyobahatika kuyajua, lakini huenda kuna rundo la watu aliowaua.
 
Daadeki... hii kesi inavua boxer za jeshi la polishi...

Haya majamaa ni maonezi sana, acha yanyooshwe na makomandoo wa JWTZ
Kunyooshwa kivipi wakati polisi wameshatoa dozi ya maana kwa hao wavunja tofali(makomando bandia).
 

Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Leo 28-09-2021​

Updates......
Mawakili wa pande zote mbili, upande wa Utetezi na upande wa Jamhuri wameshaingia Mahakamani.

Watuhumiwa tayari wapo Mahakamani.
Jaji ameshaingia Sasa
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021, Jamhuri dhidi ya Halfan Bwire, Adam Hassana Kasekwa (Adamoo), Mohammed Abdalah Ling'wenya na Freeman Aikael Mbowe.

Watuhumiwa wanapandishwa Kizimbani.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Haya yote yamesababishwa na lile zee lenu lililoonyeshwa njia na mdudu wa 19.

Mama wa watu anaonekana mbaya sababu ya dhambi ya lile jinga
Kwani Mbowe kakamatwa lini? Na ni nani alisema kuwa Mbowe na wenzake wanatumikia kifungo?

Hupaswi kuwa na hasira na mtu mpaka ukashindwa ku reason kawaida tu. Magufuli hayupo. Waliopo warekebishe ambayo aliyakosea.
 
Kibatala;
Kitendo cha Kugongwa gongwa na Bastola na kukwambia watakutupa,Je tishio liliongezeka Moyoni Mwako kutokana na yalivyo kuwa yameshatokea kabla..?

Shahidi;
Sikuogopa chochote kwani nilikuwa na uwezo wa kufanya makubwa zaidi ya niliyofanyiwa.
 
Back
Top Bottom