Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021

Je akitokea kiongozi mwingine atakuwa muongo ?

Shahidi : ndio

Kingai na mahita Wana Hali ngumu Sana kwa ushahidi huu wa kutunga...

Shahidi namba 4 kashamkana shahidi namba 1 ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa ukamataji wa watuhumiwa.

Shahidi namba 4 anasema Jumanne ndiye alikuwa kiongozi, wakati shahidi namba 1 alidai yeye ndiye alikuwa kiongozi.

Patamu hapoooo
 
Kingai alisema yeye ndiye aliyekuwa kiongozi kwenye ukamataji nk...Shahidi huyu anatofautiana naye!

Mallya: Kwenye Maelezo Yako umeeleza Mahali Kiongozi wao, Afande nani

Shahidi: Afande Jumanne

Mallya: akitokea Mtu akisema yeye ndiyo Kiongozi aliyekwepo atakuwa Muongo

Shahidi: Ndiyo

Mallya: Unamfahamu Kingai

Shahidi: Hapana
 
Ogopa sana kuingia kwenye 18 za hawa Mawakili Wasomi! Mallya, Kibatala, Mtobesya, et al!!! Yaani maswali yao, ni lazima tu yakutie kitanzini!

Huyu Muuza mbege na rafiki mkubwa wa Mzee Mgaya aka johnthebaptist, leo atajuta kuwafahamu hawa Mawakili Wasomi.
 
Hii kesi iwe fundisho kwa vyama vingine ambavyo badala ya kufanya kazi za siasa, vinajigeuza kuwa Genge la kihalifu.
inapaswa kujitathimini kila wakati.
Wafariji wenzenu akina TLP
 
We mwenye ushahidi wa ukweli umeshindwa nini kuupelema mahakamani? nyie ndo mnaodai mnapenda haki? mbona hamzingatii haki za mashahidi? ushaona upande wa pili wakimdhihaki mke wa yule "komandoo" humu? acheni mahakama ifanye kazi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…