Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je umemwambia mheshimiwa Jaji kwamba pale Rau huwezi kunywa kwa Bill? Ni wanataka Cash?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
umejuaje?
Huyu ni wamvizia nje ya mahakama aliwe kimasikhara..!!
Shangaa aiseeMuuza mbege anaoneshwa namba mara moja na majina matatu matatu ya watuhumiwa anayakumbuka mpaka leo! Huyu ni askari wa upelelezi.
Na Mimi lazima niende kunywa mbege hapo[emoji2]December nitatembelea URU MADUKANI. Pisi Kali vile!!!!
Huyo hapoPicha take iletwe hapa usikute ashaahiwa kunipa uroda[emoji2]
Hii kesi inatia hasira sana, wanatupotezea muda tu hawa wapuuz kinachonisikitisha zaid ni kodi zetu tunakamuliwa sana na matumizi yenyewe ndio kama haya.
Hawa mashahidi pamoja na polisi ni vilaza wote, mtu akichoandika na anachoeleza havina uhusiano kabisaMaelezo ya shahidi kwenye statement na mahakamani anavyoelezea anajipinga mwenyewe
Mahakamani anasema alikuta kete 25 wakati kwenye statement kasema kete 21
Mlipowasachi mliwakuta na pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!
Pale Rau bia wanauza au bure???
Dah...
Mpumbavu mmoja huyu! Eti anaikumbuka mpaka leo namba ya bastola waliyo bambikiwa watuhumiwa siku ya tukio! Wizi mtupu.
"Hapana Mkuu, walikua na Bastola Means walitaka wanywe bure halafu wafyatue risasi hewani then watokomee"Mlipowasachi mliwakuta na pesa
Jamaa wameamua tu kumpotezea muda mtu fulaniShahidi namba 4 kashamkana shahidi namba 1 ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa ukamataji wa watuhumiwa.
Shahidi namba 4 anasema Jumanne ndiye alikuwa kiongozi, wakati shahidi namba 1 alidai yeye ndiye alikuwa kiongozi.
Patamu hapoooo[emoji23]
huyu maza anajitakia laana za bure tu... unashuhudia uongo ili watu wafungwe maisha? mkristo unashuhudia uongo mahakamani..anita wewee !!Leo nmegain k2 kipya kumbe bhn ukisain umesimama sahihi yako haiwez fanana na sahihi ya kusain ukiwa umekaa
Katika mashahidi walioto ushahidi wao wa kubumba huyu leo ndiyo funga kazi.Mpumbavu mmoja huyu! Eti anaikumbuka mpaka leo namba ya bastola waliyo bambikiwa watuhumiwa siku ya tukio! Wizi mtupu.