Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021

Shahidi namba 4 kashamkana shahidi namba 1 ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa ukamataji wa watuhumiwa.

Shahidi namba 4 anasema Jumanne ndiye alikuwa kiongozi, wakati shahidi namba 1 alidai yeye ndiye alikuwa kiongozi.

Patamu hapoooo[emoji23]
 
Picha take iletwe hapa usikute ashaahiwa kunipa uroda[emoji2]
Huyo hapo
FB_IMG_1635763880661.jpg
FB_IMG_1635763866202.jpg
IMG-20211101-WA0004.jpg
 
Maelezo ya shahidi kwenye statement na mahakamani anavyoelezea anajipinga mwenyewe

Mahakamani anasema alikuta kete 25 wakati kwenye statement kasema kete 21
Hawa mashahidi pamoja na polisi ni vilaza wote, mtu akichoandika na anachoeleza havina uhusiano kabisa
 
Back
Top Bottom