Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Kesi ingeisha Leo kama muuza mbege angepewa karatas atuoneshe sahihi yake kama inafanana na iliyopo kwny document
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipochoka ni kwenye namba ya silaha, kweli?Yaani navuta picha eneo LA kamatakamata huyu Kingai kahesabu na kete na kampa idadi Shahidi! Nyoko kweli. Ushahidi wa kipuuzi namna hii ni kuporezeana muda
Hata Kama tunapinga sera za mama na lichama lake tusimvunjie heshima kumbuka yeye ni mama na ni Rais pia.Hangaya mswalihina!!! maajabu ya dunia! Kuachia Ali choki nani anapakua mzigo au amebakia kuchokonoa/kusaga vibinti vidogo!!!??
Ngoja kwanza hz ni kete za madawa haya tuhesabu pamoja 1,2,3.....58
subiri leo yatatoa tongotongo kabisa nyau wewewee!!!hahidi: Kuna saa Macho yanashida .
PGO imefanya watengeneze uongo uliopitiliza... "Haya dada mtaro, Bastola hii hapa.. meza namba yake.."Ngoja kwanza hz ni kete za madawa haya tuhesabu pamoja 1,2,3.....58
Wametuonamo😆😆
Bila shaka wewe ni shabiki wa Simba Mkuuleo wafuasi wa Mbowe hamjaroga?
naona shahidi anatiririka kweli, sindano zinaiingia sawasawa!!
siku ile mliloga sana hadi shahidi akashindwa kutofautisha kati ya "utalii" na "ugaidi".
Wafuasi wa mboe acheni kuloga.
Yote ni “staged”, tatizo shahidi ni kilaza na waliobambika kesi nao ni vilaza wahed.Ujinga mtupu! Yaani Askari from nowhere ataje namba za silaha?
Huyu nae poyoyo! Na huyu shahidi yaani RAIA wa kawaida akazikariri faster hadi Leo?
Mtiririko upi hapo?leo wafuasi wa Mbowe hamjaroga?
naona shahidi anatiririka kweli, sindano zinaiingia sawasawa!!
siku ile mliloga sana hadi shahidi akashindwa kutofautisha kati ya "utalii" na "ugaidi".
Wafuasi wa mboe acheni kuloga.
DED wa jf anahojiwa kwa kurusha maudhui bila kibari, akitoka huko ataona yafaa ipi. Haki au batriTujuzeni yanayojil
Mm tuu hapa nshazisahau😆PGO imefanya watengeneze uongo uliopitiliza... "Haya dada mtaro, Bastola hii hapa.. meza namba yake.."
Wanasiasa wa afrika ni mahodari wa maigizoAfu Hangaya anajifanya mswahilina huku anatesa wapinzani wake.
hawa mashahidi huwa hawapewi kuyasoma maelezo yako kabla ya kupanda kizimbani? naomba nijuzwe.Maelezo ya shahidi kwenye statement na mahakamani anavyoelezea anajipinga mwenyewe
Mahakamani anasema alikuta kete 25 wakati kwenye statement kasema kete 21
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bila shaka wewe ni shabiki wa Simba Mkuu
Picha take iletwe hapa usikute ashaahiwa kunipa uroda[emoji2]Anaficha sura yake,tutaifukunyua tu huyu ni shahidi wa uwongo kabisa