What's this for?Hv Shahid akienda kutoa ushahidi mahakamani.. muda wa lunch, mahakama inamnunulia chakula. Je atakula kwny canteen za mahakama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What's this for?Hv Shahid akienda kutoa ushahidi mahakamani.. muda wa lunch, mahakama inamnunulia chakula. Je atakula kwny canteen za mahakama?
Unaona kuna haki itatendeka hapo? Kama bibi ameshatoa hukumu ndo imetoka ivo maana ataogopa kujidhalilisha kutokana na ile interview yake na salim kikeke
Wewe meenyewe ulishangilia si ulibaki na chenji ulizokuwa unateka watu kwenye NoahAliyeshangilia zaidi yuko Ulaya anakata mitaa na kutafuta mashost wapya.
Hata mawakili wa serekali wako vizuri, tatizo ni hao wateja wao hewa (policcm) wanaotumia nguvu nyingi kuliko akili wakijiona wababe wasijue kuwa mahakamani silaha kuu ni lugha na umakini uliokwenda shule!Kumbe Askari waliacha Watu wengine ambao ni ndugu Wa Mtuhumiwa wakaenda kuchukua Shahidi wanao mtaka yeye. Maana Kibatala ni FUNDI anaujua huo Mtaa kuliko Shahidi [emoji28].
Huyu Kibatala, Mallya na Motesbya Serikali ingewaajiri Hawa Ni Vichwa Haswa. Shahidi wa leo kumbe ni Mgonjwa Wa Macho, Anashida Ya Brain hasa kwenye Kumbukumbu, Hajui Chata ni nini na Chapa Ni nini ila Anajua Magazine inapokaa.
Kesho nadhani watamleta dada Esther mwenye ile grocery ambayo washtakiwa Adamoo na Moh'd Lingwenya walikuwa wanakata kilaji. Nataka atuambie alikuwa anawapa hizo bia bure ama vp?Serikali Ina Mashahidi Wangapi? Nafikiri na ni sahihi kwamba Baada ya Kingai, Yule msaidizi wa Sabaya na Yule wa Kukagua Silaha hakuna Shahidi mwingine wa maana atakaye tokea kwenye hii kesi. Naona Sasa Mashahidi wanaokotwa, Muuza Mbege, Kesho sijui shahidi gani ataletwa.
yana ukwel haya mkuu..Maswali wanayoulizwa hayana impact katika kupunguza ushahidi.
Sijui imekuwaje mawakili hawa wamepitiwa kuhusu hili. Kuna jambo haliko sawa hata kidogo kuhusu huyu shahidi.Ilitakiwa akina Kibatala waombe kitambulisho cha NIDA cha huyo dada waoanishe majina, sura na saini yake. Hapo watapata taarifa za kweli pamoja na umri wake aliotaja mahakamani.
Sasa wakiajiriwa serikali tukibambikiwa kesi tutasaidiwa na nani?Kumbe Askari waliacha Watu wengine ambao ni ndugu Wa Mtuhumiwa wakaenda kuchukua Shahidi wanao mtaka yeye. Maana Kibatala ni FUNDI anaujua huo Mtaa kuliko Shahidi [emoji28].
Huyu Kibatala, Mallya na Motesbya Serikali ingewaajiri Hawa Ni Vichwa Haswa. Shahidi wa leo kumbe ni Mgonjwa Wa Macho, Anashida Ya Brain hasa kwenye Kumbukumbu, Hajui Chata ni nini na Chapa Ni nini ila Anajua Magazine inapokaa.
Mambo gani ambayo hata wewe mwenyewe huyajui na huwezi kuyataja?Huwa mnakenua meno hivi hivi alafu mkipigwa na vitu vizito mnaanza kulia!
Yani mnafurahia hizo porojo za kina kibatala wenzenu kuna vitu wanangalia zaidi ya hizo porojo
Mwanasiasa ni Kigeugeu sana.Ilianzishwa mahakama ya kuwashughulikia wapinzani kisha ikaitwa ni mahakama ya uhujumu uchumi na rushwa.
Afisa wa Tiss hawezi kujiexpose hivyo kwenye public.
Kwanza hata hujui kazi ya Tiss ni nini.
Bora porojo kuliko kuwa lofa , na usivyo na akili unafikiri unaweza kupiga watu vitu vizito na wewe ukawa salama, waliopiga watu vitu vizito wako wapi sasa nina uhakika huko walipo hawalali na kuna watu wapo kazini 24 hours kuwasaka kulipiza kisasi, akili za kina sabaya na makonda nyieHuwa mnakenua meno hivi hivi alafu mkipigwa na vitu vizito mnaanza kulia!
Yani mnafurahia hizo porojo za kina kibatala wenzenu kuna vitu wanangalia zaidi ya hizo porojo
Huyu mbona kama anapatikana "Tunisia Road" !??
Afu kaikariri toka 2020Shahidi amekariri hadi Number ya Bastola....yaani Mkamataji pale pale akamtajia namba ya bastola
Yule shahidi fekiIlitakiwa akina Kibatala waombe kitambulisho cha NIDA cha huyo dada waoanishe majina, sura na saini yake. Hapo watapata taarifa za kweli pamoja na umri wake aliotaja mahakamani.
tunaiomba mahakama itoe mapumziko japo ya wiki 2 maana inaonekana mze mboe kachoka sana. wapewe breki kidogo.