yeah, ati shahdi alishuhudia Adamoo akiwa anauza kete mtaani ..pamoja na kuwa na kitu kimevimba kiunoni ila hakujua ni kitu gani hadi Police walipokuja kumtia nguvuni kumbe ilikuwa Bunduki.Tumerudi Rau Madukani tenaa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah, ati shahdi alishuhudia Adamoo akiwa anauza kete mtaani ..pamoja na kuwa na kitu kimevimba kiunoni ila hakujua ni kitu gani hadi Police walipokuja kumtia nguvuni kumbe ilikuwa Bunduki.Tumerudi Rau Madukani tenaa[emoji23]
Shahidi wa leo ni muuza mbege wa RAUNamsubiri Shahidi wa 4, sijui ni Ijiipiii....
RC halafu kavaa baibui plus barakoa[emoji23]Alarming.... ipo shida hapa!!!!!
RC halafu kavaa baibui plus barakoa[emoji23]
Leo mbege mpyaa toka Rau aisee, leta mbege Anita.Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine.
Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 11/01/2021
==========
Watuhumiwa wote wamekwishawasili katika ukumbi wa mahakama tayari kuanza kwa kesi.
Jaji: Ameingia sasa
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 inatajwa
Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe na wenzake
Wakili wa Serikali, Robert Kidando anatambulisha Jopo lake
1. Pius Hilla
2. Abdallah Chavula,
3. Jenitreza Kitali,
4. Nasorro Katuga,
5. Esther Martin,
6. Ignasi Mwinuka
7. Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala anawatambulisha Mawakili Wa Utetezi
1.Jeremiah Mtobesya
2.Michael Mwangasa
3.Seleman Matauka
4.Nashon Nkungu
5.Alex Massaba
6.Michael Lugina
7.Maria Mushi
8.Hadija Aron
9.Dickson Matata
10.Jonathan Mndeme
11.Fredrick Kihwelo
12.John Malya
Jaji: anawait Washitakiwa 1,2,3 na 4 Wanasimama Kuitikia
Wakili wa Serikali: Kwa Upande wetu tuna shahidi Mmoja kwa Leo na tupo tayari Kuendelea Kwa Upande wetu tupo tayari kuendelea
Wakili Peter Kibatala: Tupo tayari na sisi Kuendelea
Wakili wa Serikali: Mmoja anatoka Kwenda Kumuita Shahidi Nje ya Chumba Cha Mahakama Mahakama Ipo Kimya Kidogo
Shahidi anapita ni Mdada Kajitanda Buibui na Kavaa Barakoa Kubwa sana Kumziba Sura,
Jaji: Majina Yako
Shahidi: Anita Varelian Mtali
Jaji: umri Shahidi: 45yrs
Jaji: Kabila
Shahidi: Mchaga
Jaji: Shughuli Zako
Shahidi: Nafanya Biashara
Jaji: Dini yako
Shahidi: R. C
Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii Kuwa Ushahidi nitakao toa utakuwa ni kweli, kweli tupu Eeeh Mungu nisaidie
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Shahidi Ataongozwa na Wakili Esther Martin
Wakili wa Serikali: Esther Ikumbushe Mahakama Majina yako
Shahidi: Anita Varelian Mtali
Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi
Shahidi: Moshi, RAU madukani.
Jaji: Jina lako la Tatu sijalipata Vizuri ni Mtali.?
Shahidi: Mtaro
Wakili wa Serikali: Umeishi kwa Muda gani Rau
Shahidi: Miaka 08
Wakili wa Serikali: Unafanya Shughuli gani
Shahidi: Nafanya Biashara ya Kuuza Mbege
Wakili wa Serikali: Ulianza lini Biashara yako ya Mbege
Shahidi: Miaka 08 ninayo
Wakili wa Serikali: Mbali na Biashara yako ya Mbege una bishara gani Nyingine
Shahidi: Kuna Glocery, Stationary, Banda la Tigo Pesa na Kuna Sehemu ya Kutolea Movie
Wakili wa Serikali: Iambie Mahakama 05 Mwezi 08 2020 ulikuwa wapi
Shahidi: Sehemu yangu ya Biashara, Nikifanya Usafi
Wakili wa Serikali: Saa ngapi
Shahidi: Saa Saba Kasoro
Wakili wa Serikali: Ya Muda gani
Shahidi: Ya Mchana
Wakili wa Serikali : Kabla ya Kufika eneo lako la Biashara ulikuwa umetoka wapi?
Shahidi: Nilikuwa Nimetoka Nyumbani Nikaenda Saloon Kuosha Nywele
Wakili wa Serikali: Na Ulipotoka Saloon kuelekea sehemu yako Kufanya Usafi
Shahidi: Nilikuta Wakaka Watatu walikuwa wamekaa Mbele Yangu walikuwa wanakunywa na Kusajili Laini
Wakili wa Serikali: Walikuwa wanakunywa nini
Shahidi: Walikuwa wanakunywa Bia
Wakili wa Serikali: Hizo laini walikuwa wanasajili wapi
Shahidi: Kuna Vijana wanapitaga Mitaani Kusajili Laini
Wakili wa Serikali: Ukiwa unafanya Usafi kitu gani Kingine ulishuhudia
Shahidi: Kuna wakaka wawili walikuwa wanapitapita wakiongea na simu, Wanaenda wanarudi wakiongea na Simu
Wakili wa Serikali: Hao wanaopita ni tofauti na wale uliposema walikuwa wanakunywa Bia
Shahidi: Hapana ni walewale
Wakili wa Serikali: Kutoka Kwako Unapofanyia Kazi Mpaka Glocery ni Umbali gani
Shahidi: Kama Hatua 10
Wakili wa Serikali: Hapo Katikati sasa, Kati ya Glocery na ulipo, pana kitu gani
Shahidi: Pana uwazi
Wakili wa Serikali: Baada ya Muda kitu gani kilitokea
Shahidi: Wakati wanaongea na Simu Walitokea watu wawili wakaongea kwa sauti kali "Mpo chini ya Ulinzi Mnahusika na Mambo ya Kigaidi, chuchumaa Chini Mikono Juu"
Wakili wa Serikali: Kitu gani Kingine ulisikia
Shahidi: Chuchumaa Chini Mnahusika na Mambo ya Kigaidi Wakili wa Serikali: Ni watu gani sasa hao
Shahidi: Ni Askari
Wakili wa Serikali: Ulikuwa unafanya nini wakati huo
Shahidi: Nafanya Usafi
Wakili wa Serikali: Pana umbali gani kutoka Walipo na Mpaka Ulipokuwa unafanya Usafi
Shahidi: Hatua 05
Wakili wa Serikali: Ulisikia nini Kingine
Shahidi: Sikusikia Kingine zaidi ya Chuchumaa Chini Nyoosha Mikono Juu
hahahaaaaaaaMUNGU asimame na akina Mbowe ili tumshinde huyu shetani, ibilisi, dikteta na katili.
Shahidi hata sauti anashindwa kutoa, mambo ya urongo hata viongo vya mwili hugoma kutoa ushirikiano.hahidi: Walitokea Askari Wengine watatu wakawa wamefika eneo la Tukio
Wakili wa Serikali: Ongeza Sauti
Saa Saba kasoro aanafanya usafi sehemu ya biashara?Shahidi: Sehemu yangu ya Biashara, Nikifanya Usafi
Wakili wa Serikali: Saa ngapi
Shahidi: Saa Saba Kasoro
Wakili wa Serikali: Ya Muda gani
Shahidi: Ya Mchana
ha ha ha, huu ni usanii mkubwa mno tena wa waziwazi. 🤣🤣🤣“Chuchumaa chini, mpo chini ya ulinzi…. mnahusika na mambo ya ugaidi”. Alisikia shahidi.
FUTUHIIII, ndiyooo… ni FUTUHI.[emoji276]
Akifungwa Kuna shida yoyote?Gaidi damu ya Chacha wangwe inamlilia lazima afungwe
Aisee mbege ya leo ni tamu, kesi ya ugaidi ilifunguliwa Rau madukani na polisi! Nilisema leo mbege mpya.Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine.
Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 11/01/2021
==========
Watuhumiwa wote wamekwishawasili katika ukumbi wa mahakama tayari kuanza kwa kesi.
Jaji: Ameingia sasa
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 inatajwa
Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe na wenzake
Wakili wa Serikali, Robert Kidando anatambulisha Jopo lake
1. Pius Hilla
2. Abdallah Chavula,
3. Jenitreza Kitali,
4. Nasorro Katuga,
5. Esther Martin,
6. Ignasi Mwinuka
7. Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala anawatambulisha Mawakili Wa Utetezi
1.Jeremiah Mtobesya
2.Michael Mwangasa
3.Seleman Matauka
4.Nashon Nkungu
5.Alex Massaba
6.Michael Lugina
7.Maria Mushi
8.Hadija Aron
9.Dickson Matata
10.Jonathan Mndeme
11.Fredrick Kihwelo
12.John Malya
Jaji: anawait Washitakiwa 1,2,3 na 4 Wanasimama Kuitikia
Wakili wa Serikali: Kwa Upande wetu tuna shahidi Mmoja kwa Leo na tupo tayari Kuendelea Kwa Upande wetu tupo tayari kuendelea
Wakili Peter Kibatala: Tupo tayari na sisi Kuendelea
Wakili wa Serikali: Mmoja anatoka Kwenda Kumuita Shahidi Nje ya Chumba Cha Mahakama Mahakama Ipo Kimya Kidogo
Shahidi anapita ni Mdada Kajitanda Buibui na Kavaa Barakoa Kubwa sana Kumziba Sura,
Jaji: Majina Yako
Shahidi: Anita Varelian Mtali
Jaji: umri Shahidi: 45yrs
Jaji: Kabila
Shahidi: Mchaga
Jaji: Shughuli Zako
Shahidi: Nafanya Biashara
Jaji: Dini yako
Shahidi: R. C
Shahidi: Naapa Mbele ya Mahakama hii Kuwa Ushahidi nitakao toa utakuwa ni kweli, kweli tupu Eeeh Mungu nisaidie
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Shahidi Ataongozwa na Wakili Esther Martin
Wakili wa Serikali: Esther Ikumbushe Mahakama Majina yako
Shahidi: Anita Varelian Mtali
Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi
Shahidi: Moshi, RAU madukani.
Jaji: Jina lako la Tatu sijalipata Vizuri ni Mtali.?
Shahidi: Mtaro
Wakili wa Serikali: Umeishi kwa Muda gani Rau
Shahidi: Miaka 08
Wakili wa Serikali: Unafanya Shughuli gani
Shahidi: Nafanya Biashara ya Kuuza Mbege
Wakili wa Serikali: Ulianza lini Biashara yako ya Mbege
Shahidi: Miaka 08 ninayo
Wakili wa Serikali: Mbali na Biashara yako ya Mbege una bishara gani Nyingine
Shahidi: Kuna Glocery, Stationary, Banda la Tigo Pesa na Kuna Sehemu ya Kutolea Movie
Wakili wa Serikali: Iambie Mahakama 05 Mwezi 08 2020 ulikuwa wapi
Shahidi: Sehemu yangu ya Biashara, Nikifanya Usafi
Wakili wa Serikali: Saa ngapi
Shahidi: Saa Saba Kasoro
Wakili wa Serikali: Ya Muda gani
Shahidi: Ya Mchana
Wakili wa Serikali : Kabla ya Kufika eneo lako la Biashara ulikuwa umetoka wapi?
Shahidi: Nilikuwa Nimetoka Nyumbani Nikaenda Saloon Kuosha Nywele
Wakili wa Serikali: Na Ulipotoka Saloon kuelekea sehemu yako Kufanya Usafi
Shahidi: Nilikuta Wakaka Watatu walikuwa wamekaa Mbele Yangu walikuwa wanakunywa na Kusajili Laini
Wakili wa Serikali: Walikuwa wanakunywa nini
Shahidi: Walikuwa wanakunywa Bia
Wakili wa Serikali: Hizo laini walikuwa wanasajili wapi
Shahidi: Kuna Vijana wanapitaga Mitaani Kusajili Laini
Wakili wa Serikali: Ukiwa unafanya Usafi kitu gani Kingine ulishuhudia
Shahidi: Kuna wakaka wawili walikuwa wanapitapita wakiongea na simu, Wanaenda wanarudi wakiongea na Simu
Wakili wa Serikali: Hao wanaopita ni tofauti na wale uliposema walikuwa wanakunywa Bia
Shahidi: Hapana ni walewale
Wakili wa Serikali: Kutoka Kwako Unapofanyia Kazi Mpaka Glocery ni Umbali gani
Shahidi: Kama Hatua 10
Wakili wa Serikali: Hapo Katikati sasa, Kati ya Glocery na ulipo, pana kitu gani
Shahidi: Pana uwazi
Wakili wa Serikali: Baada ya Muda kitu gani kilitokea
Shahidi: Wakati wanaongea na Simu Walitokea watu wawili wakaongea kwa sauti kali "Mpo chini ya Ulinzi Mnahusika na Mambo ya Kigaidi, chuchumaa Chini Mikono Juu"
Wakili wa Serikali: Kitu gani Kingine ulisikia
Shahidi: Chuchumaa Chini Mnahusika na Mambo ya Kigaidi Wakili wa Serikali: Ni watu gani sasa hao
Shahidi: Ni Askari
Wakili wa Serikali: Ulikuwa unafanya nini wakati huo
Shahidi: Nafanya Usafi
Wakili wa Serikali: Pana umbali gani kutoka Walipo na Mpaka Ulipokuwa unafanya Usafi
Shahidi: Hatua 05
Wakili wa Serikali: Ulisikia nini Kingine
Shahidi: Sikusikia Kingine zaidi ya Chuchumaa Chini Nyoosha Mikono Juu
Wakili wa Serikali: Walikuwa Askari wangapi
Shahidi: Wawili
Wakili wa Serikali: Hali ya Pale ilikuwaje
Shahidi: Ilikuwa ni Utulivu
Wakili wa Serikali: Nini Kilifuata
Shahidi: Walitokea Askari Wengine watatu wakawa wamefika eneo la Tukio
Wakili wa Serikali: Ongeza Sauti
Wakili wa Serikali: Kitu gani Kiliendelea
Shahidi: Baada ya Kuwa Askari watano alitokea Mmoja akaniambia anaomba nisogee anahitaji Kuwafanyia Upekuzi
Wakili wa Serikali: Ni Askari gani huyo
Shahidi: Alinitambulisha anaitwa Askari Polisi Jumanne
Kuna shida mahaliWakili wa Serikali: Esther Ikumbushe Mahakama Majina yako
Shahidi: Anita Varelian Mtali
Wakili wa Serikali: Unaishi Wapi
Shahidi: Moshi, RAU madukani.
Jaji: Jina lako la Tatu sijalipata Vizuri ni Mtali.?
Shahidi: Mtaro
Aisee mbege ya leo ni tamu, kesi ya ugaidi ilifunguliwa Rau madukani na polisi! Nilisema leo mbege mpya.
Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 inatarajiwa kutoa uamuzi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu. Uamuzi huo ambao utatolewa na Jaji Mustapha Siyani (Jaji Kiongozi...www.jamiiforums.com
Wakili Peter Madeleka Achambua Kilichoendelea Leo Mahakamani Katika Kesi Ya Mwenyekiti Wa Chadema Freeman Mbowe, Mambo Mazito Yaibuka,mashahidi Watofautiana Ushahidi
- Movement order (amri / ruhusa ya kuondoka) haikuwepo kwa ASP Mahita kuruhusiwa kuondoka kituo chake cha kazi, hivyo alichofanya ASP ni cha kienyeji hakutumwa na Polisi wala ofisa mkubwa aliye na nyota zaidi ya tatu ktk kushughulika na kesi ya tuhuma za kigaidi. ASP Mahita angekuwa anafanya kazi rasmi angetumia movement order kuripoti kila mkoa aliokuwa anapita yaani Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Dar es Salaam
- Watuhumiwa kupelekwa kituo kidogo cha Mbweni badala ya vituo vingine vikubwa vya polisi Dsm
- Kwenda kituo cha Mbweni ilikuwa kwa sababu zingine zisizo za kiusalama
- Chakula kwa watuhumiwa je walipewa au la
- Kupokelewa kwa maelezo ya watuhumiwa chini ya onyo
- Ushahidi wa mamalishe
- Tumkumbuke hii ni hatua ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ( a trial within a trial)