Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
naomba kujua sababui za kuficha uso na wakati huohuo unajitambulisha kwa majina kamili nk.
Ilitakiwa akina Kibatala waombe kitambulisho cha NIDA cha huyo dada waoanishe majina, sura na saini yake. Hapo watapata taarifa za kweli pamoja na umri wake aliotaja mahakamani.