Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Aibu Kaka, ni aibu...kesi inaenda kumwacha mtu uchi hii
Ushabiki tu umekujaa , tungekua hatujuhi kama Kingai na Sabaya waliteuliwa na Magufuli kufanya kazi pamoja Hai ili kumdhibiti Mheshimiwa Mbowe sawa.

Aibu yenu hii MaCCM mnaigawa nchi vipande vipande.
 
Akili yako haina akili au ni makusudi tu.
 
Ushabiki tu umekujaa , tungekua hatujuhi kama Kingai na Sabaya waliteuliwa na Magufuli kufanya kazi pamoja Hai ili kumdhibiti Mheshimiwa Mbowe sawa.
Aibu yenu hii MaCCM mnaigawa nchi vipande vipande.
Nchi igawanyike kwa lipi? Alishindwa kuigawa nchi Lowassa 2015 ije kuwa leo? Hakuna takataka yeyote TZ hii anaweza kusababisha nchi igawanyike
 
Akili yako haina akili au ni makusudi tu.
Huna hoja ya kubishana na mimi maana unjuwa kabisa matendo maovu ya mbowe yana wekwa kweupeeeeeeeeeeee yaani huna cha kuniambia bora unyamaze maana unaweza kuchwekwa hadi na watoto wako kama wanasoma commet zako
 
MaCCM aliewaroga kafa . Mimi sina hasira na kesi za kisiasa, hasa hizi ziliandaliwa kwenye uchaguzi na wapambe wa Magufuli ili kumfurahisha Magufuli.Kufunga watu mnatufunga kila siku, hakuna jipya.
 
26 October 2021


Tupo tunafuatilia kwa karibu mwenendo mzima wa kesi hii ya kihistoria.





 
Mkuu kama itawezekana kila au baada ya updates moja kuwe na alama inayoitenganisha na nyingine ili itupe wepesi wa kuyatafuta maandishi yanayofuata.
 
Watu hawataki kujifunza, nilizani matukio yote yaliyokwishatokea mara baada ya uchaguzi mkuu 2020 yametosha kutufundisha kuwa uonevu haufai?
 
Sawa, fungeni tu watu na makesi ya kisiasa na CHADEMA ifuteni. Ili CCM isipoteze chaguzi. Chama dola ehee
Bado hakijapatikana chama mbadala wa kuongoza nchi hii, vilivyopo vyote ni vya kihuni na wachumia tumbo, wapo wapi akina Mdee, Slaa, Mashinji, Lowassa n.k., n.k., watu waliwaamini na kuwapigania, wengine walipoteza na maisha yao, mwisho wa siku kwa njaa zao za kipuuzi wakasaliti mapambano!! In short bado hakuna wapinzani makini TZ wa kupewa nchi...
 
huna hoja ya kubishana na mimi maana unjuwa kabisa matendo maovu ya mbowe yana wekwa kweupeeeeeeeeeeee yaani huna cha kuniambia bora unyamaze maana unaweza kuchwekwa hadi na watoto wako kama wanasoma commet zako
Haaa haaa just haa haa MaCCM mnaangaika humu kupiga propaganda ili uongo e Kingai uonekane, ila ni ukweli MaCCM mmekwama. Kesi ya kisiasa na yauongo. Lengo ni kuifuta CHADEMA inawanyima MaCCM kushinda chaguzi.
 
Tuache ushabiki...

Mawakili wa Mbowe waumize vichwa kupambana na kesi na wapenzi na mashabiki tuache siasa...tuwape uhuru mawakili wapambane na kesi kwa vifungu vya sheria kumchomoa au kumnusuru mwenyekiti..

Kuna vingi hatuvijui, acha mapambano ya kisheria yaendelee, ikiwezekana na TL aje naye kuongeza nguvu...hii ngoma haijakaa sawa...
 
Mawakili wa Bwana Mwamba wanauliza maswali ya kipuuzi sana, kabla hajachelewa awatoe hawa vilaza
 
Acheni kuwapa watu kesi za kisiasa na zauongo, kuiba na kukimbia na masanduku ya kura haitoshi . Uamini ulichoandika.😃
 
Walianza kuchoma ofisi zao na kusingizia CCM! Wakapiga mabomu mkutano wao wenyewe na kusingizia polisi.

Wakaona mchezo umenoga wakaamua kulipua “nchi”, uroho wa madaraka kwa gharama yeyote.

Sasa ni wazi hata aliyemuua Akwilina ni nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…