Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Heshima kwa wote.

Nafuatilia hii kesi ya Mbowe na wenzake watatu najikuta nacheka na kusikitika kwa wakati mmoja.

Mosi Magaidi wanampango wa kwenda kulipua vituo vya mafuta na kukata Miti hawana Mabomu wala mapanga au Cheingso.
Pili katika hati ya mashtaka hakuna ushahidi kwamba walikuwa na mkutano au kulikuwa na ushahidi wa kilichopangwa na kupangika.
Tatu kulikuwa na mpango wa kumdhuru Sabaya lakini hakuna aina yoyote ya silaha iliyokamatwa kama kielelezo
Aina hii ya kesi ipo Tanganyika pekee yake yaani Polisi anaweza kukamata na kuandaa mashtaka bila ushahidi wenye mashiko na ukakaa mahabusu muda wa kutosha.

Ipo haja Police wetu kurejea upya darasani na kujifunza namna bora ya kuandaa mashtaka,kupeleleza na hatimaye kupelekea kesi Mahakamani,kinyume chake ni kupoteza fedha za walipa kodi buuure.
Ni tamthilia ya kusadikika tu.
 
Heshima kwa wote.

Nafuatilia hii kesi ya Mbowe na wenzake watatu najikuta nacheka na kusikitika kwa wakati mmoja.

Mosi Magaidi wanampango wa kwenda kulipua vituo vya mafuta na kukata Miti hawana Mabomu wala mapanga au Cheingso.
Pili katika hati ya mashtaka hakuna ushahidi kwamba walikuwa na mkutano au kulikuwa na ushahidi wa kilichopangwa na kupangika.
Tatu kulikuwa na mpango wa kumdhuru Sabaya lakini hakuna aina yoyote ya silaha iliyokamatwa kama kielelezo
Aina hii ya kesi ipo Tanganyika pekee yake yaani Polisi anaweza kukamata na kuandaa mashtaka bila ushahidi wenye mashiko na ukakaa mahabusu muda wa kutosha.

Ipo haja Police wetu kurejea upya darasani na kujifunza namna bora ya kuandaa mashtaka,kupeleleza na hatimaye kupelekea kesi Mahakamani,kinyume chake ni kupoteza fedha za walipa kodi buuure.
... na DPP akatoa baraka zake kesi iende mahakamani.
 
Shahidi: Uliza Maswali Sensible Bwana

Mawakili wa Utetezi Wote wananyanyuka

KIBATALA: No No No No Kaeni Mwacheni


Sijaelewa hapa kwanini Hawa mawakili walisimama? Walimaanisha nini?
 
Ile nguvu yote waliyotumia ili haya maelezo yasisomwe ilikuwa ni kuiepuka hii aibu kubwa kwa Mkiti, kesi ngumu sana hii kwa Mwamba
Kwa anaefuatilia hata km Hana ufahamu wowote wa sheria, ni kesi nyepesi Sana.Ni jaji tu atende haki.

Ukimsikiliza Kingai utajua kabisa ni kesi ya kutunga ambayo hana ushahidi wowote bali kupoteza muda na rasimali za taifa bila sababu yyte.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Zaidi ya kununuliwa nguo na nauli. Hakuna chochote kingine ambacho wangekipata kwa kazi hizo za kulipuwa vituo, kukata miti, pamoja na kumdhuru Sabaya.

Mbowe amekamatwa haraka haraka kwasababu ya issue ya madai ya katiba mpya.
 
Yaani Mimi nilivyosikia kuna "Caution Statement" ya mshtakiwa No.2 inabishaniwa nikajua ina jambo kuubwa la maana ndani yake kumbe inadhihirisha tu uovu wa Kingai na kundi lake!!
... Ile trial within a trial kimsingi haikuwa na ulazima sana zaidi ya kuendelea kuwaweka Mbowe na makomandoo mahabusu unnecessarily! Japo imetufumbua macho wengi, kwa ushahidi aliotoa RPC Kingai leo, kesi ndogo haikuwa na umuhimu.
 
Nimeona hayo maelezo yao ila sina imani tena na hao majaji wanaobadilishwa kila siku na wanaosaka teuzi.

Ingredients za ugaidi kulingana na Kingai ni; kukata magogo kuyaweka barabarani na kutaka kuchoma vituo vya mafuta moto, haya kwao sio kutaka kufanya vurugu.

Lakini wakiulizwa kama watuhumiwa walikutwa na silaha yoyote wanasema hapana, walikutwa na maelezo yoyote kuonesha watuhumiwa walikuwa na hiyo mipango ya ugaidi wanasema hapana, jamaa hawakujiandaa na huu uongo wao kabisa.

Maelezo waliyochukua kwa kuwalazimisha watuhumiwa kwa kiasi kikubwa yanapingana na majibu ya maswali wanayoulizwa kwenye cross examination na mawakili wa utetezi, hii inathibitisha kauli ya waziri wa mambo ya ndani hawa polisi wetu kweli ni failures.
 
Shahidi: Uliza Maswali Sensible Bwana

Mawakili wa Utetezi Wote wananyanyuka

KIBATALA: No No No No Kaeni Mwacheni


Sijaelewa hapa kwanini Hawa mawakili walisimama? Walimaanisha nini?
Hawa mawakili walitaka kusepa mambo yameanza kuwa magumu
 
Tuweke akiba ya maneno. Hata Ile kesi ndogo Kwa macho ya wengi ilikuwa jaji asipokee kile kilelezo lakini Jaji siyani alikipokea kile kielelezo na akajiyoa kusikiliza kesi. Mbaya zaidi hakukuwa na cha kumfanya.

Kwa hiyo huo ushahidi wa Kingai tuuangalie Kwa jicho la tahadhali sana. Ikumbukwe hawa majaji hawaaminiki tena.
 
Tuweke akiba ya maneno. Hata Ile kesi ndogo Kwa macho ya wengi ilikuwa jaji asipokee kile kilelezo lakini Jaji siyani alikipokea kile kielelezo na akajiyoa kusikiliza kesi. Mbaya zaidi hakukuwa na cha kumfanya.

Kwa hiyo huo ushahidi wa Kingai tuuangalie Kwa jicho la tahadhali sana. Ikumbukwe hawa majaji hawaaminiki ten
Ni kweli majaji hawahaminiki lakini hata wakiibeba jamhuri kiasi gani wakati mwingine mbeleko lazima ichanike tu.
 
Shahidi: Uliza Maswali Sensible Bwana

Mawakili wa Utetezi Wote wananyanyuka

KIBATALA: No No No No Kaeni Mwacheni


Sijaelewa hapa kwanini Hawa mawakili walisimama? Walimaanisha nini?
Kingai aliwapiga na kitu kizito kichwani
 
Mawakili wa utetezi kesi ya mbowe wanatafuta credit kwa MAJORITY'S badala ya kutafuta credit kwa JAJI ambae ndio mwamuzi wa kesi yenyewe.

Hivyo hvyo wafuasi wa upande wa utetezi wanashupalia ushabiki ambao hauna mantiki kwenye kesi wanaacha maswala ya msingi kwenye kesi.

Nimeona mengi mno kwenye kesi ya sabaya na hii ya mbowe watu wanajikitika kwenye maswali na maelezo ambayo sio msingi wa kesi hvyo hayana maana.

Nipo hapa nafatilia taratibu.
Ya msingi Kama yapi yaliyoachwa pls dadavua.
 
Mbona mnahaha sana? Huyu ndiyo kwanza shahidi wa 1 upande wa serikali, kuna wengine 19 wanakuja, subirini!!
Unaelewa maana ya key witness?? Hivi unajua cheo cha huyu shahidi Vs anachoongea mahakamani?? Mfano : Kaulizwa hivi umesema walitaka kukata miti ili kufunga barabara huko Morogoro na Iringa sasa hebu tueleze ulienda huko kuona miti waliyotaka kuikata? Anajibu sikwenda!! [emoji12][emoji12]
 
Mawakili wa utetezi kesi ya mbowe wanatafuta credit kwa MAJORITY'S badala ya kutafuta credit kwa JAJI ambae ndio mwamuzi wa kesi yenyewe.

Hivyo hvyo wafuasi wa upande wa utetezi wanashupalia ushabiki ambao hauna mantiki kwenye kesi wanaacha maswala ya msingi kwenye kesi.

Nimeona mengi mno kwenye kesi ya sabaya na hii ya mbowe watu wanajikitika kwenye maswali na maelezo ambayo sio msingi wa kesi hvyo hayana maana.

Nipo hapa nafatilia taratibu.
Sio maswali umiza?
Mtu anapigwa swali mpaka mawakili wote wananyanyuka bila ruhusa ya jaji sio mchezo kasimame pale kizimbani uulizwe tukusikie.
 
Back
Top Bottom