Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Nyie ndugu ... Hamuoni kwamba maneno yenu yanajenga chuki?

Kufurahia tena "hadharani" mateso ya binadamu mwenzio ni tabia za Kinyani. Muwe "watu".
Furahabya wananchi ni kuona gaidi akidhibitiwa
 
Subirini, haraka ya nini? Au mmesahau ishu ya PGO? Mlishangilia mapemaa kabla mechi haijaisha matokeo yake mkagaragazwa, sheria siyo sawa na porojo za JF
Wewe huipendi tanzania kama jina lako, zero kama nyinyi ndio matatizo yote ya ile nchi kuwa maskini na ufala mwingi
 
Yani Posho ya ex-Commando ni ndogo kuliko Posho ya Body guard wa Harmonize?!!! Kuweni serious. Kuendelea na hii kesi ni upuuzi na ni matumizi mabaya ya rasilimali watu.
 
Kingai, kama kweli Mungu yupo na wote tunaamini hivyo aisee hutoboi ndugu yangu, kikombe hiki kinakudondokea , watu hawa unawatesa bure, familia zinalia hazina chakula kisa tu kumkomoa Mbowe aachane na siasa.

Yetu macho ndugu.

Acha mihemko, mmeshikilia mtuhumiwa muda wote huo, mmekamata moshi mkampeleka mpaka Dar, halafu baadae mnakuja na ushahidi wa maneno yaliyoandikwa eti ndio maelezo aliyotoa mtuhumiwa.

Ninini hasa kitatufanya tuamini huo ushahidi ni kweli umetolewa na mtuhumiwa? na Je hajateswa na kulazimishwa kusaini hayo maelezo?

Mawakili wanawauliza maswali ya msingi, lakini kwa uzuzu wenu mmeshindwa kuelewa lengo la maswali hayo, kwa mwenendo wa kesi nzima, mbowe alitakiwa kuwa mshtakiwa namba moja, je ni kwanini si mshtakiwa namba moja?

Mnadai hamkumkakata sababu upelelezi juu yake ulikuwa haujakamilika, je upelelezi juu ya hawa wengine ulikamilika lini hadi wakakamatwa? Na kama upelelezi juu ya watuhumiwa watatu ilikuwa umekamilika, huyu mliyemuacha nje anazurura hadi anaenda nje ya nchi ni upelelezi wa aina gani mlikuwa mnaufanya juu yake, ambapo matokeo ya upelelezi huo ni yapi (ushahidi) yakawafanya mumkamate? Eleweni maswali ya mawakili yanalenga kutoa picha gani.

Kama maswali hayo ni magumu achana nayo usinijibu kimihemko na hoja za kiuvccm.
Point! Cha kujiuliza ktk hii kesi Nani mtuhumiwa mkuu/supermind wa hiyo plan. Hivi unawezaje kukamilisha upelelezi wa waliopewa kazi bila ya kumtia mkononi kwanza aliye plan huo mchongo.
 
Acha mihemko, mmeshikilia mtuhumiwa muda wote huo, mmekamata moshi mkampeleka mpaka Dar, halafu baadae mnakuja na ushahidi wa maneno yaliyoandikwa eti ndio maelezo aliyotoa mtuhumiwa.

Ninini hasa kitatufanya tuamini huo ushahidi ni kweli umetolewa na mtuhumiwa? na Je hajateswa na kulazimishwa kusaini hayo maelezo?

Mawakili wanawauliza maswali ya msingi, lakini kwa uzuzu wenu mmeshindwa kuelewa lengo la maswali hayo, kwa mwenendo wa kesi nzima, mbowe alitakiwa kuwa mshtakiwa namba moja, je ni kwanini si mshtakiwa namba moja?

Mnadai hamkumkakata sababu upelelezi juu yake ulikuwa haujakamilika, je upelelezi juu ya hawa wengine ulikamilika lini hadi wakakamatwa? Na kama upelelezi juu ya watuhumiwa watatu ilikuwa umekamilika, huyu mliyemuacha nje anazurura hadi anaenda nje ya nchi ni upelelezi wa aina gani mlikuwa mnaufanya juu yake, ambapo matokeo ya upelelezi huo ni yapi (ushahidi) yakawafanya mumkamate? Eleweni maswali ya mawakili yanalenga kutoa picha gani.

Kama maswali hayo ni magumu achana nayo usinijibu kimihemko na hoja za kiuvccm.
Tuliaminishwa upelelezi umekamilika na wapo tayari kwa kesi, Jana Kibatala kamuuliza Kingai kuwa hiyo spray ya sumu Lingwenya alipanga kwenda kununua kwa Nani? Akajibu upelelezi bado unaendeleaje. Kwakweri nilijisikia haibu sana
 
RPC Kingai ameeleza hatua kwa hatua bila kuacha shaka jinsi Freeman Mbowe alivyopanga kumuuwa aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Ole Lengai Sabaya...
Kwamba?

“Mbowe alituelekeza tufuatilie nyendo zake na tumdhuru kwa spray ya sumu. Ling'wenya alifuatilia mtu wa kupata sumu."

Mbowe ndiye anachagua cha kudhuria, basi commando ni Mbowe siyo Adamoo.
 
Rpc kingai alikuwa akiagizwa na mbowe au mim sieewi hii scene?
 
Hayo maelezo ukiyadoma mara mbili unapata kitu, huyo afande akikutana na mawakili wa utetezi kazi anayo, anaweza kuonekana sio muadilifu na kazi yake, yamepangiliwa kitoto mno, siwatetei hao washitakiwa lakini maelezo ya huyo afande yana shaka nyingi,

Nakumbuka kuna diku niliambiwa niandike maelezo dah yalibafilishwa mnoo
 
Back
Top Bottom