KatoboaMakonda chali!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KatoboaMakonda chali!!
Makonda imekula kwake
naona anko kajulikana kabla wameona wamchinjie baharini anko makonda natumai tutakutana kwny cheo Cha kuteuliwaKapita hapo ulipokaa Da Jane? Kaelekea wapi?
Ni kama udiwani, Silinde labda waibe sana ila jimbo linarudi kwa mwenye nalo.Navyoona waunga juhudi wengi wamepewa nafasi
Hajapita huyuVipi Lijuakali naye kapenya?
Maana huyu ndo atanishangaza.
Hapiti momba hata kwa ndumbaDavid Silinde ndaniiiii
GamboNani kapitishwa Arusha???
Ilikuwa lazma gwajima wampe maana alivyoihakaza serikali ya makonda hadi aibu so ili kuficha makucha yake lazma wampe naye ulaji wale pamoja asiongee ongee, finally watakuwa pamoja na makonda ktk baraza la mawaziri lijalo.Gwajima daa ameula
Navyoona waunga juhudi wengi wamepewa nafasi
Great newsssMwana FA Katoboa.